Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Sis sidhan Kama tunabisha uislamu ulikuja na muhamad kwamaan uliukuta ukristo ambao kipindihicho dini hii ilitimia injili aliyoteremshiwa nabii Isa alysam (yesu) lkn kuja kwa muhamad ni kukamilisha imani hii ya dini ya mungu mmoja na mitume na manabii wake wote ambao wapo waliandkwa katk injili hadi kuwa kuran swala la huo msikiti kuwa wa kikristo na baadae kuwa wa kiislamu mm sjaona shida hapa ukiwa waislamu wanaamini katika injili hivyo sijui Kama kunatatizo kwahilo
 
Kwanza nieleze neno UYAHUDI tena kwa mara nyingine. Neno au jina Myahudi/Yahudi/Jew in englishi limeanza hasa kutumika baada ya mfalme Suleiman kuondoka madarakani/KUFA. Israel ni combination ya makabila 12, nitayazungumzia makabila 2 kwa maana ya mjadara hu; Yuda na Lawi, makabila haya yanatokana na majina ya watoto wa kiume ya mtu aliyeitwa Israel au Yakobo/Yacoub. Now baada ya mfalme Suleima kufariki, Waisrael hawakupendezwa na matendo ya mfalme wao so mrithi wake hawakuridhika nae, walihisi nae angefanya kama alivyo baba yake, Suleiman ni mtoto wa Daudi, Daudi ni mtoto wa mzee Yesse na Yesse alizaliwa na mtu anaitwa Boaz, tuishie hapo kwanza, now kabila hili la kina Daudi yaani Yuda ndio lilikua kabila la watawala na kabila la Lawi lilikua kabila na viongozi wa dini, sasa Israel nzima haikuridhika na mrithi huyu wa Suleiman kama nilivyosema and hence wakaona waachane na mambo ya ukoo huo wa Daudi, Daudi ndiye hasa aliufanya mji wa Yerusalem/Jerusalem kua makao makuu yake/Ikulu, makabila 10 katika 12 yakaasi likiwepo kabila la Lawi ambalo ndio hasa lina deal na mambo ya IMANI, yaani marabi (Rabi ni kama alivyo askofu kwenye Ukristo na sheikh mkuu kwenye Uislam ) la kabila la Yuda pamoja na Benyamin wao hawakukubaliana na huo UASI, wakabaki Yerusalem, yale makabila 10 yaenda mji wa Samaria na makao makuu ya nchi yalikua Damascus hi ya leo huko Syria; waliobaki Yerusalem wakaanza kuitwa wa YUDA baadae ndio neno YAHUDI lilianza kutumika as from that day, huwezi kulikuta hilo neno wakati Israel ikiwa na makabila yake 12, now to answer your question, hi dini ya UYAHUDI (though mimi sioni kama ni dini, UYAHUDI ni kabila but kwa muktadha hu tuendelee ) ilianza na baba yao Waarabu na Waisrael mzee Ibrahimu but sehemu maalumu ya kuabudia kwa maana ya JENGO ambalo ndio limetengeneza UZI lilijengwa na mfalme Suleiman hapo hapo kwenye mji wa baba yake, alianza kuijenga IKULU kwanza/makazi yake then akaja akajenga hilo jengo la kuabudia, hapo ndio walikua wakikutana kwa ajili ya mambo ya dini yao. Hope nimejibu kiasi fulani
umesoma biblia ipi kati ya hizi ??

 
Sis sidhan Kama tunabisha uislamu ulikuja na muhamad kwamaan uliukuta ukristo ambao kipindihicho dini hii ilitimia injili aliyoteremshiwa nabii Isa alysam (yesu) lkn kuja kwa muhamad ni kukamilisha imani hii ya dini ya mungu mmoja na mitume na manabii wake wote ambao wapo waliandkwa katk injili hadi kuwa kuran swala la huo msikiti kuwa wa kikristo na baadae kuwa wa kiislamu mm sjaona shida hapa ukiwa waislamu wanaamini katika injili hivyo sijui Kama kunatatizo kwahilo

Mnaamini katika injili ila mnakataa kuwa Yesu ni Mungu[emoji28][emoji28],unafiki uongo ndio muongozo wa kiislamu.
 
Mnaamini katika injili ila mnakataa kuwa Yesu ni Mungu[emoji28][emoji28],unafiki uongo ndio muongozo wa kiislamu.
injili ipi unayokusudia ?? ya yesu , ya paulo , ya Marko , Ya yohanna , ya mathayo , ya Luka au maelfu ya injili ambazo baadhi ya makanisa hawazikubali ??

Biblia ipi hapo ni sahihi ??

 
dini ya uislamu habari yake ipo katika Quran takatifu na sio issue ya kihistoria ,kwaiyo wakuu tuheshimiane na kila moja akae na dini yake hatulazimishani ,acheni kujifanya munajua dini ya kiislamu kwa kuleta habari ya abunuasi hapo ,wabilahi towfiq.
Kwani nani aliandika hicho kitabu?
 
Tena mimi nililiandika humu toka mwendazake yupo hai, kwa sauti kubwa, hisomee:

 
Alikua ni mwana wa Israel aliyeitawala Palestina hakuwa myahudi.

Qur'an haikutaja kabila bro.
Ila inaeleza kuwa Daud alipewa Zabur kuwaongoza wana wa israel na Suleyman ndiye akarithi hiyo kazi.
Na wana wa israel ni uzao wa Nabii Yakuub.
Ambae babaye ni Ishaq mtoto wa Ibrahim .
😄 🤣 😂 😆
 
Uislamu ni dini iliyoanzishwa na wapagani wa Kiarabu wa Yaman hasa wa kabila la Qureysh kabla Muhammad hajazaliwa.
Waarabu hao walikuwa na miungu inayokadiliwa kufikia mia tatu sitini na tano, ambapo kila siku ilikuwa na mungu wake.
Baba yake Muhammad mzee Abdallah (mtumwa wa Allah) alikuwa akifanya kazi katika jumba moja lililojaa masanamu.
Allah ni jina la mungu wa kiislamu ambaye ni mkuu wa masanamu ambaye aliitwa Al Hubal.
Waarabu wa mwanzo walikuwa wakiabudu jeshi la mbinguni, yaani mwezi na nyota kabla ya Muhammad. Waarabu hao walijulikana kwa jina la Stars Family kwa sababu waliabudu jeshi la mbinguni, na mpaka hivi leo nembo za jeshi la mbinguni utalikuta juu ya kila msikiti yaani mwezi na nyota.
Kwa nini waislamu hudai kwamba Allah ni mkubwa???
Ni kwa sababu baada ya kuboresha dini, zilichambuliwa sanamu ndogo na kuwekwa pembeni, ili liabudiwe lililokuwa kubwa la hayo. Hii ndiyo sababu ya waislamu kupiga kelele kama walivyofanya kwa Artemi mungu mke wa Waefeso.
Allah ni jina la kubuni kwa ajili ya kupeleka watu jehanum ya moto. Ni jina lisilo na nguvu, halina uwezo wala nguvu, ndiyo maana waislamu hupigania Allah, na badala yake wamekuwa wakipigana kwa ajili yake kwa sababu hana uwezo kabisa kabisa.
View attachment 2099974
Hii nzuri nimeicopy kabisa.
 
Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa wakati wa utawala wa Rashidun, specifically under the caliphate of Umar ibn al-Khattab, one of the closest companions of the Islamic Prophet Muhammad. The construction of Al-Aqsa Mosque began in the 7th century CE. It is important to note that the Al-Aqsa Mosque, which is part of the larger complex known as Haram al-Sharif in Jerusalem, has a rich history and has undergone various modifications and renovations over the centuries. It is one of the oldest and most revered Islamic sites.
 
Hii nzuri nimeicopy kabisa.
Nimrekebishe tu huyo mburura .
Quraysh asili Yao sio Yemeni no Saudia.
Pia upagani unapingana na vitendo vya uislam.
Kuanzia itikadi mpaka ibada.
Wapagani Wana miungu mingi uislam unaitakidi Mungu mmoja.
 
Nimrekebishe tu huyo mburura .
Quraysh asili Yao sio Yemeni no Saudia.
Pia upagani unapingana na vitendo vya uislam.
Kuanzia itikadi mpaka ibada.
Wapagani Wana miungu mingi uislam unaitakidi Mungu mmoja.
Kabila la Quraysh lina asili yake katika eneo la Arabia. Quraysh ilikuwa moja ya makabila makubwa na yenye ushawishi katika eneo hilo, hasa katika enzi za kabla ya Uislamu na katika miaka ya mwanzo ya Uislamu. Kabila hili lilikuwa na makabila madogo yaliyojumuisha Waarabu wa Kiarabu, na liliishi karibu na mji wa Mecca.

Jina Quraysh linasemekana lilitokana na jina la babu wa kabila hilo, Quraysh bin Kilab. Mji wa Mecca ulikuwa makao makuu ya Quraysh, na walikuwa wakusimamia Kabla ya, eneo la ibada kwa Waarabu .

Pia, ni muhimu kutambua kwamba Mtume Muhammad, mwanzilishi wa Uislamu, alizaliwa ndani ya kabila la Quraysh, na kutoka kwake, Uislamu ulienea katika eneo hilo na baadaye ulimwenguni kote.
 
Hii nzuri nimeicopy kabis
Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa wakati wa utawala wa Rashidun, specifically under the caliphate of Umar ibn al-Khattab, one of the closest companions of the Islamic Prophet Muhammad. The construction of Al-Aqsa Mosque began in the 7th century CE. It is important to note that the Al-Aqsa Mosque, which is part of the larger complex known as Haram al-Sharif in Jerusalem, has a rich history and has undergone various modifications and renovations over the centuries. It is one of the oldest and most revered Islamic sites.
Halafu pale alaqswa Kuna kiwanja kitakatifu,dome mbili ya sinagogi na dome ya msikiti.
Kabila la Quraysh lina asili yake katika eneo la Arabia. Quraysh ilikuwa moja ya makabila makubwa na yenye ushawishi katika eneo hilo, hasa katika enzi za kabla ya Uislamu na katika miaka ya mwanzo ya Uislamu. Kabila hili lilikuwa na makabila madogo yaliyojumuisha Waarabu wa Kiarabu, na liliishi karibu na mji wa Mecca.

Jina Quraysh linasemekana lilitokana na jina la babu wa kabila hilo, Quraysh bin Kilab. Mji wa Mecca ulikuwa makao makuu ya Quraysh, na walikuwa wakusimamia Kabla ya, eneo la ibada kwa Waarabu .

Pia, ni muhimu kutambua kwamba Mtume Muhammad, mwanzilishi wa Uislamu, alizaliwa ndani ya kabila la Quraysh, na kutoka kwake, Uislamu ulienea katika eneo hilo na baadaye ulimwenguni kote.
Kafuatilie makabila halisi ya Yemeni na Saudia.
Maana asiki ya Yemeni ni watu weusi Quraysh ni watu wa jamii weupe huwezi mkuta Quraysh mweusi.
Na kabila kubwa Yemeni toka zamani ni ABRI.
nenda kawasome.
Mtume kuzaliwa Quraysh hai justify kuwa uislam hnatokana na upagani.
Kwasababu hata Nabii Ibrahim alizaliwa na baba mchonga miungu ya kisanamu.
Ingekua Uislam unatokana na upagani basi mtume asingepingwa,itikadi ya Imani ingefanana,ibada zingefanana na kusingekuwa na mabadiliko kiasi hicho labda kungekuwa na modification.
Unachodai wewe gari imetokana na pikipiki ilhali ukitizama kuanzia muundo mpaka ufanyaji kazi vinatofautiana.
 
Halafu pale alaqswa Kuna kiwanja kitakatifu,dome mbili ya sinagogi na dome ya msikiti.

Kafuatilie makabila halisi ya Yemeni na Saudia.
Maana asiki ya Yemeni ni watu weusi Quraysh ni watu wa jamii weupe huwezi mkuta Quraysh mweusi.
Na kabila kubwa Yemeni toka zamani ni ABRI.
nenda kawasome.
Mtume kuzaliwa Quraysh hai justify kuwa uislam hnatokana na upagani.
Kwasababu hata Nabii Ibrahim alizaliwa na baba mchonga miungu ya kisanamu.
Ingekua Uislam unatokana na upagani basi mtume asingepingwa,itikadi ya Imani ingefanana,ibada zingefanana na kusingekuwa na mabadiliko kiasi hicho labda kungekuwa na modification.
Unachodai wewe gari imetokana na pikipiki ilhali ukitizama kuanzia muundo mpaka ufanyaji kazi vinatofautiana.
Mkuu sijapinga mambo ya ibada wala kuhusu kutokana na upagani ,hizo mimi sjui ,mimi nimekueleza tu asili ya hiyo jamaii na imetoka wap na chimbuko lake basi.
 
Mkuu sijapinga mambo ya ibada wala kuhusu kutokana na upagani ,hizo mimi sjui ,mimi nimekueleza tu asili ya hiyo jamaii na imetoka wap na chimbuko lake basi.
Aya kaka mkubwa na Mimi nimeeleza kuhusu knowledge nilopata.
 
Msikiti wa Al-Aqsa ulijengwa wakati wa utawala wa Rashidun, specifically under the caliphate of Umar ibn al-Khattab, one of the closest companions of the Islamic Prophet Muhammad. The construction of Al-Aqsa Mosque began in the 7th century CE. It is important to note that the Al-Aqsa Mosque, which is part of the larger complex known as Haram al-Sharif in Jerusalem, has a rich history and has undergone various modifications and renovations over the centuries. It is one of the oldest and most revered Islamic sites.

Ulijengwa juu ya misingi ya hekalu la wayahudi lililobomolewa.
 
Safi kabisa,nakuonyesha kama wewe hujui chochote katika historia.

Asili ya jina Uyahudi limetokana na nini na wapi na lini uyahudi ulijulikana...?

Pili,Yakobo ni mjukuu wa nabii Ibrahimu ambaye alimzaa nabii Is'haqa. Sasa nionyeshe kama Uyahudi ulikuwepo tu kipindi cha nabii Yusufu au baba yake Yakobo achilia mbali kipindi cha baba yetu wa Imani Ibrahimu,huko mbali sana.

Kisha utaniambia nini maana ya Uislamu.

Nipo ...
Nafikiri Kuna tofauti kubwa kati ya DINI na IMANI, Yawezekana Ibrahim na wengineo kabla ya Musa walikuwa na IMANI lakini siyo Dini. Ibrahim alikuwa na IMANI juu ya Mungu muumba ilikuwa ni IMANI hisiyo na mfumo/mtindo maalumu (DIni)! Hii mifumo ya kiimani(Dini) ilikuja wakati wa Musa ambapo Mungu alimpatia mfumo/mtindo maalumu wa kumwabudu yeye. Mtindo ambao Ungewatofautisha Waisrael na jamii zingine.

Hii mitindo ilikuja kuanza kupewa majina baadaye, majina utolewa na waanzilishi/wafuasi au wapinzani, majina Aya yanalenga kushadadia au kupondea ili mtindo Fulani uonekane Bora kuliko mwingine. Mfano Islam (kujikabidhi Kwa Mungu) ni jina zuri ambalo mzazi/mwanzilishi alimbatiza mwanaye(mtindo mpya wa IMANI) na jina likilenga kuwakosoa wale waliojikabidhi Kwa Yesu badala ya Mungu na kujiita Wakristo.
 
dini ya uislamu habari yake ipo katika Quran takatifu na sio issue ya kihistoria ,kwaiyo wakuu tuheshimiane na kila moja akae na dini yake hatulazimishani ,acheni kujifanya munajua dini ya kiislamu kwa kuleta habari ya abunuasi hapo ,wabilahi towfiq.
Usitishe watu.
Tulia na uongo wako
 
Back
Top Bottom