Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Hivi unajua mwanzo wa Dini za Abrahamic?

Abraham na wanawe hawajawahi kuabudu kwenye dini yeyote iwe Uyahudi,Ukristo na Uislamu
Kwanza huyo Abram alikua anaabudu Miungu ya Wakaldayo kabla Elohim hajamtokea na kwa Taarifa yako Wakaldayo waliabudu miungu ya Zoadic yaani Miungu ya Babel
Sasa ukija na abracadabra za kua alikua Muslim nakuona hamnazo maana hizo dini zote mbeleni zilikuja maelfu ya miaka mbele baada ya hao watu kutoweka
Hivi nyie hicho kitabu chenu kimejaa uongo na uzushi ambao hata historical background inawapiga chenga halafu mnadai kilishushwa na mungu Allah
Hio inadhihilisha huyo mungu wenu kilaza na hana historical information,
Someni historia acheni kulishana nyanyachungu wazee!
😁😁
Shida yenu ni kwamba huo uongo mnaodanganywa huko makanisani ndio mnauleta katika discussion

Huo uongo wa huko kanisani mnaita DOGMA uishie huko huko hapa lete ushahidi wa mandiko

Kuna watu kama wewe kipindi hicho Cha Mtume walijifanya wanajua sana hapo Allah anawauliza
Mlikuwepo kipindi Cha hao watu au mnazua zua tu

Quran2:133
Je! Mlikuwapo yalipo mfikia Yaaqub mauti, akawaambia wanawe: Mtamuabudu nani baada yangu? Wakasema: Tutamuabudu Mungu wako na Mungu wa baba zako, Ibrahim na Ismail na Is- hak, Mungu Mmoja tu, na sisi tunasilimu kwake.

Sasa hayo unayoyasema kuwa Ibrahim, Isaka na Yakobo na wanawe Yakobo hawakuwa waislam unatakiwa utoe ushahidi wa mandiko kuwa dini Yao ni ipi hizo DOGMA zenu pelekeni huko kanisani
 
Mbona swali umeuliza kitoto sana!?
Ulitakiwa useme wayahudi wasiokua wazayuni.Wayahudi wasiokuwa wazayuni waliishi na wapalestina vizuri tu na pia nao wana haki na hiyo ardhi kwasababu wamekulia hapo vizazi na vizazi.

Unazungumzia Kwa minajili ipi?Kama unazungumzia Kwa minajili ya kiislam basi mitume na manabii wengi walikua wana wa Israel sio wayahudi.Katika uislam uyahudi ni dini sio kabila au asili.Na uislam haujaanzia Kwa uzao wa Ismail usitake kudanganya watu.Uislam ulianzia toka enzi za Nabii Adam Hadi kuja kwa Muhammad.

Kujisalimisha katika uislam ni kuitakidi na kukubali kuwa Mungu ni mmoja na Muhammad ndiye mtume aliyeletwa kukamilisha hiyo dini.
Kujisalimisha Kwa wahindu ambao wanasema Mungu ni Ng'ombe sijui Mungu jike Saraswati hakufananii na kujisalimisha Kwa uislam.
Tunasema Yesu alikua muislam kwasababu alitumwa kuja kuitangaza ya kuwa Mungu mmoja na dini kamili ni uislam.
Maana ya uisilamu si ndio kujisalimisha, unajua sababu gani wamesema hivi, sababu hakuna maandiko yeyote ya 'kabla ya kushushwa kwa Koran kwa Mohammad' yanayoongelea uislamu popote, ndio maana mkiulizwa hilo swali mnakimbilia kusema maana ya uislamu ni kujisalimisha kwa Mungu

Pia hao wayahudi ambao waliishi vizuri na wapelstina sasa hivi wako wapi, utamaduni wao ni upi, yule Mungu wao waliokuwa wakimtambua kama jehova abdo wapo hao? Ikiwa kama mnasema lile eneo ni la mazayuni feki wakizungu..

Nipe tofauti kuu kati ya wana wa israeli na wayuhudi, hujui kuwa uyahudi ni dini, neno limetokana Judea pahala walikuwa wakiishi, kabla halijatambulika kama israel hii sasa(eneo).?
 
Mkuu Quran imejibu maswali mengi ambayo Bible haina majibu. Mfano Bible haijaelezea ni miungu gani waliabudu kipindi cha Ibrahim, Quran imeelezea na juzi juzi hapa Iraq wamefukua fukua Mabaki ya Babylon na ku approve hio Miungu iliotajwa, How did Muhammad know?

Kuna mamia ya predictions kwenye uisilamu nyengine zimekuwa proved miaka ya karibuni, vitu havijaandikwa hata

Mkuu Quran imejibu maswali mengi ambayo Bible haina majibu. Mfano Bible haijaelezea ni miungu gani waliabudu kipindi cha Ibrahim, Quran imeelezea na juzi juzi hapa Iraq wamefukua fukua Mabaki ya Babylon na ku approve hio Miungu iliotajwa, How did Muhammad know?

Kuna mamia ya predictions kwenye uisilamu nyengine zimekuwa proved miaka ya karibuni, vitu havijaandikwa hata kwenye Biblia.
Biblia inasema kipindi cha ibrahimu, babeli iliyokuwa ur ya wakaldayo waliabudu miungu mingine tofauti na Yahweh hilo linatabulika ila ni Miungu gani tena haswa kwa majina nadhani haina maana kwa tuwajue ili iweje? As long walikuwa miungu wasiopaswa kuabudiwa utambulisho huo unatosha...
 
Biblia inasema kipindi cha ibrahimu, babeli iliyokuwa ur ya wakaldayo waliabudu miungu mingine tofauti na Yahweh hilo linatabulika ila ni Miungu gani tena haswa kwa majina nadhani haina maana kwa tuwajue ili iweje? As long walikuwa miungu wasiopaswa kuabudiwa utambulisho huo unatosha...
Sasa kitu kilichocopy Biblia iweje kitoe description bora zaidi?
 
Sasa kitu kilichocopy Biblia iweje kitoe description bora zaidi?
Utakuwa umenielewa bibilia haijataka kutoa description zaidi kwa sababu sio center of attention, lengo ni kumjua Mungu sio shetani, sababu ukimjua Mungu huna haja ya kuangaika na shetani, ndio maana maelezo ya miungu hiyo ni machache kwenye biblia
 
Muhimu ni kua hapo Kuna msikiti iuliosimama maelfu ya miaka, na upo mpaka saa hii na utaendelea kuwepo kwa uwezo wa Mungu.

Hayo ya imaginary kanisa au hekalu lililo kuwapo hapo hayana mashiko sababu hakuna dalili.
Hata waislamu waliacha misikiti mingi mikubwa Hispania ambayo imefanywa makanisa au majumba ya makumbusho.
Kazi iendelee, waumini wa dini zote waendeshe ibada kwenye nyumba zao ibada.
 
Back
Top Bottom