Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani


jf kuna udambwi udambwi mdau,,,ishu ya HAAARP IMENIVUTIA SANA NA NIMEANGALIA VIDEO ZAKE KADHAA YUTYUBU
 

binafs nimevutiwa na HAAARP ina maana hata Iran anakumbana na kibano cha HAAARP????
 
Mkuu Juve thanks for the link... Nimekuta vitu huko mpaka nywele kichwani zinasisimka,
 

Mkuu upo deep sana real appriciate,,usichoke kutupa darasa huru.
 
Maelezo yako ni mazuri,ila naomba tuwe kee na source mbalimbali ili tuweze kujifunza zaidi pia weka na issue za Africa na Tz kuhusu hayo maswala.
 
Hawa jamaa ndiyo waliotoa pesa zao kupitia rais Kennedy msaada kwa Nyerere baada ya uhuru kujenga yale majengo mawili makubwa ya chuo kikuu cha Dar es Salaam.
 
dah nimejifunza ulimwengu wetu ila bado nahitaji kufahamu zaidi juu ya nephilims na jinsi ambavyo wanaendelea ku survive juve ningependa uje ufafanue zaidi hawa watu maana hata mimi kuna jambo huwa naliafiki kwamba adam hakuwa kiumbe wa kwanza mwenye mwonekano wa binadamu walikuwepo kabla yake maake hata biblia inasema baada ya kaini kumuua abil kunasehemu alikimbilia na huko alikutana na watu na akaoa sasa hao watu walitokea wapi? wakati abili na kaini ndo walikuwa watoto pekee wa adamu na hawa kwa wakati ule
:confused3:
 
Hawa jamaa ndiyo waliotoa pesa zao kupitia rais Kennedy msaada kwa Nyerere baada ya uhuru kujenga yale majengo mawili makubwa ya chuo kikuu cha Dar es Salaam.

mkuu Ritz u mean Hall II na hall V????
 
Last edited by a moderator:

Mkuu juve2012,salute kwako,nimekuwa nimmoja wa watu mfuatiliaji wa hivi vitu,lakini nimegundua nilikuwa
na kiu bila kupata nilichohitaji,asante saana umekuwa msaada mkubwa sana wa kunifanya kujua vitu viiingi
ambavyo vitakuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu ya kiroho na kimwili pia.Be blessed.
Naendelea kuwa mwanafunzi wako mwaminifu'

am
 
mkuu juve hembu nipe darasa la hawa nephilims na madhara yake na vingne vng, i real need to know it as from bible say my people perish by lacking of knowledge.
 
Ndugu zangu mbona hamleti jibu jamani?niliwapa kahome work sijui mmekasahau?niliwaomba mgeuze neno "illuminati"kinyume.Kwa kifupi linakuwa "itanimulli",sivyo?sasa bonya hiyo itanimulli.com!nini kinafunguka jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…