residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Kuimba kwaya kwangu kwa miaka 8 na kuwa mzee wa kanisa kwa zaidi ya miongo miwili, nimegundua mengi sana kuhusu wanakwaya na mahusiano.Hahahaha braza usije ikawa unawachafua mbna unafatilia sna maisha Yao
Ila waimbaji na hao wanojiita watu was kwanya kwaya hkn kitu Zaid ya umalaya
Pale "Area D" karibu na marehemu Chavai.Ilisemwa kuwa Rose Muhando aliwahi kuishi na mwanaume kindoa huko Dodoma kabla ya kuja DSM.
Alifanya nini mkuuKatika hao wanawake wote aliyekuwa hatari ni Christina Shusho, yule ni zaidi ya Ibilisi. Kwa kile Christina Shusho alichomtenda yule Pastor aliyekuwa mumewe ipo siku Mungu atalipiza.
Karma is real.
Upendo Kilahiro alishaolewa na bonge flani wa South Africa ni mchungaji, mumewe Amon Kilahiro naye alioa kwa ndoa mpya.Kwa Upendo hapana, wapo wote na mumewe huko USA mbona
Nimefafanua katika post namba 242Alifanya nini mkuu
Siku hizi uimbaji wake usikitisha sana, injili na nyimbo za dunia ni mafuta na maji.Issue iko hivi (sad story)
Yule Pastor aliyekuwa amemuoa Christina Shusho ni mtu poa sana, real Pastor, mtu mwenye kujiheshimu na kupenda kumtumikia Mungu kwa haki siku zote.
Jamaa alimkuta Christina akiwa hoi bin taaban kijamii huko mikoani, asiyekuwa na mbele wala nyuma, mshamba kwa 100% lakini Pastor akagundua kipaji cha Uimbaji kilichojificha ndani ya Christina. Jamaa akaingia chimbo kukiboresha kipaji, muonekano wake na swaga mpaka binti akawa presentable kwenye jamii, akamtafutia walimu wazuri wa sauti, melody na muziki, akasaka mashairi kwa watu mbalimbali, akazama studio kufanya audio rekodi, akawapa wataalamu wakazipitia ili kuona mapungufu, na kurejea upya studio ili kuziweka vyema, zilipo tiki, akaingia madhabahuni kuziombea ili ujumbe wa zile nyimbo upenye kwa watu, kisha video shooting ikafanyika na kurudiwa mara kadhaa, wataalamu waliporidhika, nyimbo zikaanza kuachiwa moja baada ya nyingine na zika hit balaa, mfano wa Unikumbuke, Wakuabudiwa nk.
Vision aliyokuwa nayo Pastor kupitia sauti ya uimbaji wa Christina ilikuwa ni kuhakikisha gospel inapigwa world wide, alitaka kumuona Christina akiimba gospel hadi viunga vya Ikulu mbalimbali dunia mfano Tz, Kenya, Nigeria, South Africa, USA, UK nk akialikwa kama honorable gospel singer kwenye special events za new year festivals, inauguration ceremony nk. Jamaa hakuwa na mipango ya kutaka kutajirika kupitia gospel.
Sasa wakati cheche kidogo tu za mafanikio zilipoanza kuchipuka, Christina akaanza kubadilika, tamaa ya pesa ikamuingia, Christina akaamua kuuza talanta yake ya thamani kwa kuona aibu ya kuwa mwanapunda wa kumbeba Yesu (wito wa kumtumikia Mungu) lakini akaona fahari ya kuwa nguruwe kisa kavikwa pini ya dhahabu puani (umaarufu wa kisanii), na kilichofuata kimebakia kuwa ni historia. Leo hii Christina ni mtu wa kutafuta followers mitandaoni hadi kwa kick, kuimba ili kupata pesa, kudanga na wanaume mbalimbali. Ndoa ilishakufa kitambo sana baada ya kumkimbia mumewe na wito wa kumtumikia Mungu kupitia uimbaji ulishayeyuka zamani. Ni mwendo wa kuanzisha makanisa ya kitapeli mtaani (Christina ana kanisa lake Manzese), kuandaa matamasha ya kisanii sanii na kutrend mitandaoni kwa mambo ya kijinga kabisa.
Very poor Christina.
Nipatie namba ya Christina shusho tafadhaliTulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Daaah Hii ya Shusho imenipooza brain yangu....Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.
Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.
4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).
5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)
7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.
8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.
Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Sidhani kama umeelewa hoja yangu, sasa kama mwanamke hataki kuwa chini ya mwanaume kisa ukwasi wake kuna haja gani yeye kuruhusiwa kumiliki hizo mali? Asili inasemaje, hakuna mafahali wawili wakakaa zizi moja, hivyo akishindwa kuwa chini ya mume kisa ukwasi wake lazima tu waachane.Yani kwa jinsi mlivyoandika hapa mtu akisoma haraka haraka bila kufikiria kwa kina anaweza dhani ni kweli mwanamke ni kiumbe mbaya na mbinafsi sana
Lakini uhalisia ni kuwa mwanamke akipata pesa anataka kuwa huru hataki kuwekewa masharti na mwanaume, na si kwamba eti hataki kuwa na watu pembeni yake wote tunajua mwanamke akipata pesa namna anavyojua kujali ndugu jamaa na marafiki kuliko mwanaume, hili hata wazazi wengi wenye watoto wa jinsia zote husema
Lakini mwanaume akipata pesa bado tu atataka kuwa na mke sababu anajua mwanamke hawezi kumnyima uhuru wala kumwekea masharti, hao unaosema mwanaume anataka wafaidi jasho lake mara nyingi ni mahawara makahaba na washkaji tu, huwa mnasema wenyewe kwamba mwanaume akifanikiwa kamwe hawezi kuwa na mwanamke mmoja na pia ni ngumu kwake kuwahi kurudi nyumbani
Duh aiseeSio Rose mhando huyo msoto wake mbona uko hadharani kila mtu anajua aliyopitia ...nayemsema mimi Jamii haijui kama ana huo msoto mkali maishani...
Mama alicheza kama PeleSikuwahi kulijua hili kwa kweli, nikidhani waliwaacha wengine kijiti kumbe walitengana!
Hata hivyo tunawashukuru kwa huduma yao.
Vipi umefatilia upande wa waume zao?Ukitaka kujua kama wao wanawake ndio tatizo la kuvunjika kwa ndoa ama la, wafuatie nini wanafanya baada ya ndoa zao kuvunjika. Rangi zao halisi utazitambua, kama walionewa basi tabia na mienendo yao itabakia kuwa mema, na kama wao ndio walizingua maisha yatakuwa kinyaa.
Hahahaha, hawa walokole wanakulana sanaNmemkumbuka baba askovu gwajima miuno feni
Kaolewa wapi na anaitwa naniHuyo flora mbasha siku hizi hatumii sirname hiyo bhana sababu yeye na emmanuel mbasha siwameachana tayari kaolewa kwingine
Sauti yake nzito na kwenye kuimba sauti nzito inajaa vizuri kuliko zile nyepesi.Ana sauti fulani hivi ya zege kwa mbaaali... I like her vocals so much.
Mtakatifu Anne, a pleasure to read from you ma'am... Niko poa wa afya, vipi kuhusu wewe dear? Thanks for caring.
I warmly receive... ππΎππΎππΎ Happier New Year too in advance. π
-Kaveli-
Wamekua vichecheUkitaka kujua kama wao wanawake ndio tatizo la kuvunjika kwa ndoa ama la, wafuatie nini wanafanya baada ya ndoa zao kuvunjika. Rangi zao halisi utazitambua, kama walionewa basi tabia na mienendo yao itabakia kuwa mema, na kama wao ndio walizingua maisha yatakuwa kinyaa.
Umenena kweliNi mpango wa Mungu sio?
Watakupa likes kama zote wale wa 'Only God can judge me'