Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Hahahaha braza usije ikawa unawachafua mbna unafatilia sna maisha Yao

Ila waimbaji na hao wanojiita watu was kwanya kwaya hkn kitu Zaid ya umalaya
Kuimba kwaya kwangu kwa miaka 8 na kuwa mzee wa kanisa kwa zaidi ya miongo miwili, nimegundua mengi sana kuhusu wanakwaya na mahusiano.

Nitayaletea uzi siku kukirudishwa jukwaa la dino.
 
Katika hao wanawake wote aliyekuwa hatari ni Christina Shusho, yule ni zaidi ya Ibilisi. Kwa kile Christina Shusho alichomtenda yule Pastor aliyekuwa mumewe ipo siku Mungu atalipiza.

Karma is real.
Alifanya nini mkuu
 
Kwa Upendo hapana, wapo wote na mumewe huko USA mbona
Upendo Kilahiro alishaolewa na bonge flani wa South Africa ni mchungaji, mumewe Amon Kilahiro naye alioa kwa ndoa mpya.
Japo yasemekana chanzo ni mume kucheps.

Iliniuma sana kwao kuachana, walikuwa na ndoa ya kuvutia na huduma bora kabisa
 
Issue iko hivi (sad story)

Yule Pastor aliyekuwa amemuoa Christina Shusho ni mtu poa sana, real Pastor, mtu mwenye kujiheshimu na kupenda kumtumikia Mungu kwa haki siku zote.

Jamaa alimkuta Christina akiwa hoi bin taaban kijamii huko mikoani, asiyekuwa na mbele wala nyuma, mshamba kwa 100% lakini Pastor akagundua kipaji cha Uimbaji kilichojificha ndani ya Christina. Jamaa akaingia chimbo kukiboresha kipaji, muonekano wake na swaga mpaka binti akawa presentable kwenye jamii, akamtafutia walimu wazuri wa sauti, melody na muziki, akasaka mashairi kwa watu mbalimbali, akazama studio kufanya audio rekodi, akawapa wataalamu wakazipitia ili kuona mapungufu, na kurejea upya studio ili kuziweka vyema, zilipo tiki, akaingia madhabahuni kuziombea ili ujumbe wa zile nyimbo upenye kwa watu, kisha video shooting ikafanyika na kurudiwa mara kadhaa, wataalamu waliporidhika, nyimbo zikaanza kuachiwa moja baada ya nyingine na zika hit balaa, mfano wa Unikumbuke, Wakuabudiwa nk.

Vision aliyokuwa nayo Pastor kupitia sauti ya uimbaji wa Christina ilikuwa ni kuhakikisha gospel inapigwa world wide, alitaka kumuona Christina akiimba gospel hadi viunga vya Ikulu mbalimbali dunia mfano Tz, Kenya, Nigeria, South Africa, USA, UK nk akialikwa kama honorable gospel singer kwenye special events za new year festivals, inauguration ceremony nk. Jamaa hakuwa na mipango ya kutaka kutajirika kupitia gospel.

Sasa wakati cheche kidogo tu za mafanikio zilipoanza kuchipuka, Christina akaanza kubadilika, tamaa ya pesa ikamuingia, Christina akaamua kuuza talanta yake ya thamani kwa kuona aibu ya kuwa mwanapunda wa kumbeba Yesu (wito wa kumtumikia Mungu) lakini akaona fahari ya kuwa nguruwe kisa kavikwa pini ya dhahabu puani (umaarufu wa kisanii), na kilichofuata kimebakia kuwa ni historia. Leo hii Christina ni mtu wa kutafuta followers mitandaoni hadi kwa kick, kuimba ili kupata pesa, kudanga na wanaume mbalimbali. Ndoa ilishakufa kitambo sana baada ya kumkimbia mumewe na wito wa kumtumikia Mungu kupitia uimbaji ulishayeyuka zamani. Ni mwendo wa kuanzisha makanisa ya kitapeli mtaani (Christina ana kanisa lake Manzese), kuandaa matamasha ya kisanii sanii na kutrend mitandaoni kwa mambo ya kijinga kabisa.

Very poor Christina.
Siku hizi uimbaji wake usikitisha sana, injili na nyimbo za dunia ni mafuta na maji.
Sasa anaimba bongo fleva kwenda mbele.
Mungu huwa na wivu sana, ukimchanganya na dunia yeye anakaa kando.

Mwanzo alitoa nyimbo zilizojaa nguvu sana.
Eg. Wakuabudiwa, huo wimbo ulijaa nguvu sana
 
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Nipatie namba ya Christina shusho tafadhali
 
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Daaah Hii ya Shusho imenipooza brain yangu....
Basi kazi ipo...
 
Yani kwa jinsi mlivyoandika hapa mtu akisoma haraka haraka bila kufikiria kwa kina anaweza dhani ni kweli mwanamke ni kiumbe mbaya na mbinafsi sana

Lakini uhalisia ni kuwa mwanamke akipata pesa anataka kuwa huru hataki kuwekewa masharti na mwanaume, na si kwamba eti hataki kuwa na watu pembeni yake wote tunajua mwanamke akipata pesa namna anavyojua kujali ndugu jamaa na marafiki kuliko mwanaume, hili hata wazazi wengi wenye watoto wa jinsia zote husema

Lakini mwanaume akipata pesa bado tu atataka kuwa na mke sababu anajua mwanamke hawezi kumnyima uhuru wala kumwekea masharti, hao unaosema mwanaume anataka wafaidi jasho lake mara nyingi ni mahawara makahaba na washkaji tu, huwa mnasema wenyewe kwamba mwanaume akifanikiwa kamwe hawezi kuwa na mwanamke mmoja na pia ni ngumu kwake kuwahi kurudi nyumbani
Sidhani kama umeelewa hoja yangu, sasa kama mwanamke hataki kuwa chini ya mwanaume kisa ukwasi wake kuna haja gani yeye kuruhusiwa kumiliki hizo mali? Asili inasemaje, hakuna mafahali wawili wakakaa zizi moja, hivyo akishindwa kuwa chini ya mume kisa ukwasi wake lazima tu waachane.

Kama mtoaji, mwanaume anajisikia mwenye mamlaka akihudumia familia yake, kula, kulala, kuvaa na huduma zote atatoa bila kufikiri na inamfanya awe proud, njoo upande wa pili, mdada amejiwekeza ila aweza asitoe hata hela ya kiberiti kisa tu "sio kazi yake". Hayupo proud kutoa pesa yake kuhudumia watu wake.
 
Sio Rose mhando huyo msoto wake mbona uko hadharani kila mtu anajua aliyopitia ...nayemsema mimi Jamii haijui kama ana huo msoto mkali maishani...
Duh aisee
Ni nani Mkuu?
Tutajie tumuweke kwenye maombi muimbaji wetu
 
Ukitaka kujua kama wao wanawake ndio tatizo la kuvunjika kwa ndoa ama la, wafuatie nini wanafanya baada ya ndoa zao kuvunjika. Rangi zao halisi utazitambua, kama walionewa basi tabia na mienendo yao itabakia kuwa mema, na kama wao ndio walizingua maisha yatakuwa kinyaa.
Vipi umefatilia upande wa waume zao?
 
Ana sauti fulani hivi ya zege kwa mbaaali... I like her vocals so much.

Mtakatifu Anne, a pleasure to read from you ma'am... Niko poa wa afya, vipi kuhusu wewe dear? Thanks for caring.

I warmly receive... 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 Happier New Year too in advance. 😎

-Kaveli-
Sauti yake nzito na kwenye kuimba sauti nzito inajaa vizuri kuliko zile nyepesi.

Nasikitika kusikia naye ndoa yake ipo chalii...shetani ameamua kudeal mazima na waimbaji maana ndio ilikuwa kitengo chake huko Mbinguni.

Kumuimbia Mungu bila maombi kwa sana aisee ni kazi sana kutoboa,,shetani anakutafutia angle ya kukupiga.

.......
Tunaendela kumalizia mwaka na a long road trip
Bwana ni mwema wakati wote..
Thank you🙏
 
Ukitaka kujua kama wao wanawake ndio tatizo la kuvunjika kwa ndoa ama la, wafuatie nini wanafanya baada ya ndoa zao kuvunjika. Rangi zao halisi utazitambua, kama walionewa basi tabia na mienendo yao itabakia kuwa mema, na kama wao ndio walizingua maisha yatakuwa kinyaa.
Wamekua vicheche
 
Mwandishi ungejua manyanyaso a Hali ya juu aliyopata Bahati Bukuku ndani ya ndoa kwa kukosa mtoto? Tujitahidi kujua sababu kabla ya kuhukumu.
 
Christina shusho ana mvuto Sana...
Matusi ya watu sidhani kama kweli...
Tuwe na kiasi...tusitukane watu kisa tuna bundle...
 
Back
Top Bottom