Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Subhanallah 🤔
 
Joannah iko hivi, Angel alikuwa na mwanaume kabla ya kutoka kimuziki. Alipotoka kimuziki akavishwa Pete na huyo aliyempeleka US akaachana na yule wa kwanza. Kufika US kaolewa kabisa na mtu mwingine, na picha zikasambaa mitandaoni zikatufikia wambea. Huyu ni wa tatu. Hivi Sasa kaachana na aliyefunga naye ndoa kachukuliwa na wa mume wa 4. Dada ana hatari yule!

N.B. Kumbuka ndoa ziko za aina tatu:- za kimila, za kidini, na za kiserikali. Ukiishi na mwanaume kwa makubaliano ya pande 2 za familia hiyo ni ndoa.
 
Kuna mwimbaji mmoja ni mama mtu mzima, alijiheshimu sana, aliimba nyimbo za kufariji na kutia moyo, kumbe alikuwa mjane, hatimaye alipata mume na kuendelea na uimbaji wake wa injili. Hakuwahi kuandikwa kuwa ana kashfa za kimahusiano ya kindoa, alilinda ushuhuda wake, huyo mama apewe maua yake
Upendo Nkone ama?
 
Oya mkuu kwanza m n mwanaume ila ukweli n kwamba saiz wanaume wanatumia kanuni ya ukichwa vibaya,Yan wanatumia kutawala na sio kuongoza
hakuna mwanaume anachukia mfumo dume, we ni demu tu. kavalishwe dera huko.
 
Kosa kubwa la mzee (mumewe) liko hapa kwenye kumuingiza kwenye mzuziki.
wala haikuwa kosa, muziki uliwasaidia wote kusomesha watoto, wana watoto wakubwa wa vyuo kabisa, makazi fresh. sometimes unatakiwa kufanya kitu kwa faida ya watoto ili hata mwanamke akikuacha basi watoto wako wawe wamefaidi.
 
Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati.

Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:-
1. Martha Mwaipaja.
2. Martha Baraka.
3. Rose Mhando.

4 Bahati Bukuku. Huyu alitoka Mbeya kuja Dar ili kurisiti mtihami wa f4, lkn akaishia kumpata sponsor aliyemrekodia album ya kwanza na ya pili. Kisha akaolewa na huyo sponsor. Bahati alilpopata umaarufu akambwaga huyo mume).

5. Flora Mbasha (huyu alijifanya anaenda US kusoma muziki kwa miaka 2. Kumbe alirejea nchini baada ya mwezi mmoja na kifichwa na Gwajima ili awe anajipigia mzigo ktk hotel moja jijini DSM) baada ya miezi 6 siri ikavuja )
6. Angel Benard. House girl aliyejikuta anatoboa ktk anga za gospel. Kwa ulimbukeni wa umaarufu kila akiolewa ndoa yake haidumu (kavunja ndoa 4.)

7. Upendo Kilailo. Huyu alisafiri kihuduma kwenda US. Kufika huko akaolewa tena.

8. Christina Shusho. Huyu anadanga kabisa.

Kama unawafahamu wengine ongezea hapa.
Usijifanye wawafahamu watu zaidi ya wao wanavyojifahamu. Mtu anawezaje kujifanya anafahamu story za watu nane? Wewe huna maisha zaidi ya kuchunguza maisha ya wenzako?
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Unless mume anataka kukua ndio mwanamke avunje ndoa lakini hakuna sababu nyingine ya msingi zaidi ya hiyo.

Sawa na mwanaume eti mke kugegedwa sio sababu ya msingi kuvunja ndoa. Kama mke anataka kukuua hapo ndio vunja ndoa.

Wee umekubali for better or worse till death do us part. Alafu mke kagegedwa nje huko tayari unataka kumuacha sii utoto huo.

Tatizo siku hizi hamna wanaume au wanawake wanaojua ndoa ni nini
 
Wee umekubali for better or worse till death do us part. Alafu mke kagegedwa nje huko tayari unataka kumuacha sii utoto huo.
Ugoni Dini na Sheria za Nchi zinakataza, mnachafuana kimwili na kiroho aliekubari kuolewa ameshamaliza masarkasi yote km bado basi asiolewe aendelee kuruka sarakasi hadi atakapotaka kutulia
 
🤣🤣🤣Kwa hiyo tukizikamata mwanaume sio issue??unatusingizia bwana!
Sio kukusingizia ndio ukweli wa mambo...mwanamke anataka apate pesa ili aondokane na mwanaume maishani mwake. Mwanaume akipata hela anataka kuhudumia wanawake wengi kadri iwezekanavyo. Thats the difference....men are givers women are selfish.
 
Ugoni Dini na Sheria za Nchi zinakataza, mnachafuana kimwili na kiroho aliekubari kuolewa ameshamaliza masarkasi yote km bado basi asiolewe aendelee kuruka sarakasi hadi atakapotaka kutulia
Kuna nadharia na uhalisia. Sasa wee kaa na mentality ya kwamba mke au mume ni wako weye peke ndio utakuja nyea debe jela
 
Back
Top Bottom