mkuu sure salasini na tatu ni balaaKuna jamaa anaitwa thelathini na tatu, (33) ni noma sana yule hata bella anakaa
mkuu sure salasini na tatu ni balaa
wa wapi hyo
1.songa..
2.one the incredable.
3.nick mbishi.
4.fid q.
5.kadigo..
6.sterio
7.stamina
8.para the m.c
9.nash mc.
Kuna VOICE hao wote unaowasema ni cha mtoto
Kuna mtu anajiita voice au ni kile kikundi cha waimba kwaya The Voice waliofanya tangazo la tigo??