hivi si umesikia ili uwe huyo jacuzzi ni lazima ufuzu mafunzo ya Ninja.......?.....
na je.. C.T.U......hao wapo Tanzania.....?.....nataka mafunzo tu sitaki uhalifu wao............
Mkuu kama ilivyo kwa Illuminati, Freemason n.k Yakuza ni moja ya 'secret societies' ambapo missions zao ni tofauti kidogo na hawa magaidi kama Al Qaida.
Tuelezeeni jamani, mwatutia handasi...twataka tujiunge.
Shem wataka jiunga na kundi gani tena?
YAKUZA sio secret society ila ni Organized Crime kuna tofauti kati yao
hivi si umesikia ili uwe huyo jacuzzi ni lazima ufuzu mafunzo ya Ninja.......?.....
na je.. C.T.U......hao wapo Tanzania.....?.....nataka mafunzo tu sitaki uhalifu wao............
Nimeandika kwa mujibu wa nilivyosoma katika moja ya Encyclopedia...
you are damn right....
ukiichukua dhana ya secret society kiujumla hata CIA, UWT inaingia kwenye dhana hii
but kwa neno rahisi
ni kuwa CIA itabaki kuwa ni intelligence agency
Yakuza itabaki kuwa organized crime na
illuminati, skull and bones and Freemasons watabaki kuwa secret society
Na kwa hapa Tz, Maskani ya YAKUZA ni wapi?
Au ndo wale YAKUZA MOBB wa kiswazi?
Dah!
Kweli hilo kundi latisha.
Na ninani anaewalipa vibaraka wote hao?
Au ndo kazi ya kujitolea mkuu C.T.U?
Asa hiko kibabu kilichovaa mawani na kofia ya ng'ombe mimi si ninaweza kukapiga tanganyika jeki?
Majina ya kijapani bana eti k....moto