Stoudemire
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 839
- 207
naomba kuulizahayo ni magorofa ama magari?? hayo yaliyosimama marefu yenye picha.
jamani ushamba mzigo wa kuni msinizodoe.
Tutakupiga masingi shauri zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba kuulizahayo ni magorofa ama magari?? hayo yaliyosimama marefu yenye picha.
jamani ushamba mzigo wa kuni msinizodoe.
A key member of Japan's powerful Sumiyoshi-kai underworld group was sentenced to hang for a series of shootings that ended with five people dead, including three members of the public.Mkuu ina maana hata Marekani ina wagwaya hawa jamaa...?
Nilijua hawawezi kutia pua nchini Marekani kumbe wamejikita kule Hawaii.....!
Vipi kuhusu Ugaidi, hawa hawajwahi kusingiziwa ugaidi kama Al Qaida.....?
Mwaka Huu mwezi wa 5 nilikuwepo Japan nilifikia Mji wa Aichi...kn siku palitokea mtafaruku bs kwa mara yangu ya kwanza ndipo nilipoona mtu akiuliwa mbele ya macho yangu...hawa jamaa YAKUZA walikuja wapatao 20 na mapanga na kufika hd sehemu ya tukio na kumchukua jamaa na kumuweka barabarani na kumkata kichwa hapo hapo na wanafanya hv askar wapo pemben wanatizama na walipomaliza waliwaambia police wachukue mzoga kwa kuwa umechafua barabara........ni hatar cnaaa Japan.....nzimaaaa ukimshambulia Yakuza bs ukae ukijua hauna maisha marefuuu