Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mara ya kumi sasa najaribu kulitamka ilo jina ila nimeshindwa
Ningependa mkuu pia kama ungeweza ungeongelea chinese the triads na diablo ili atleast tuweze kujua kuhusu hzi cartels pamoja na zinginine mingi zilizopo NY CITY . Maana mi ni mgeni maeneo haya.
Ningependa mkuu pia kama ungeweza ungeongelea chinese the triads na diablo ili atleast tuweze kujua kuhusu hzi cartels pamoja na zinginine mingi zilizopo NY CITY . Maana mi ni mgeni maeneo haya.
usiogope wewe ni mtoto mdogo sana jiachie tu mwanawani..
unahitaji mlenda kidogo mdomoni na makoozi kidogo kwenye koo.......get it?ni mara ya kumi sasa najaribu kulitamka ilo jina ila nimeshindwa
yakuza mob si ni wasaniii tz
Sinjuku Acha Kabisa
usiniambie ulilkuwa hubanduki
uogashinihonishi kupata shushi kidogo..
Leo nimeona tuwajadili kwa undani kundi kubwa kabisa la kihalifu la kijapani na barani Asia liitwalo YAKUZA
Naamini humu kuna watu wanawajua zaidi yakuza hivyo kile kidogo ambacho ninachokijua kuhusu hawa jamaa nitakiweka hapa na wewe chochote unachokijua kuhusu hawa jamaa kiweke hapa unifaidishe mie na wengine
Binafsi katika elimu hii ya Organised Crimes watu hupenda kuwaongelea MAFIA kama ndio mabingwa wa Organised Crime na kuwasaahau kwa undani sana Yakuza
Yakuza ni genge la kihalifu ambalo chanzo chake ni japan ikikadiriwa kuwa na watu zaidi ya laki moja na elfu tatu
I03,000 na wako duniani kote hawa members wao wamesambaa mabara yote duniani kuanzia Asia, Ulaya, Amerika na Africa yetu hii
Genge hili halikuanza leo ila limeanza tokea mnamo karne ya 17
Hawa majamaa kazi zao sana sana ni Kufanya biashara haramu zote unazozijua wewe pamoja na kufanya shuguli zingine za kihalifu
Hawa majamaa unaambiwa wakitaka roho yako wanakuja kuichukua hata ukiwa umejifungia kwenye chumba cha IGP Mwema
Kwani inasemekana Yakuza Assasins Team ni watu ambao ni proffesional trained NINJITSU members
Ninjitsu ni staili au aina ya martial arts ambayo uki quilify unaitwa NINJA ambaye nina uhakika kwa asilimia mia moja hakuna polisi yeyote wa Mwema anaweza kuwazuia NINJA Assasin Team
![]()
![]()
Hawa yakuza wanapatikana sana Japan ambapo ndio Origin yao hasa kwenye kisiwa kimoja kinaitwa
KYUSHU
Adhabu zao
Yakuza mmoja akifanya kosa huwa anapata adhabu kama ifuatavyo
Akifanya kosa la kwanza adhabu yao ni kukatwa kidole
Utawajuaje Yakuza
Yakuza wengi hupenda kujichora Tatoo mwili mzima
![]()
![]()
Kwani tatoo zao ni ishara ya wao kujuana
Hasa wakiwa wanacheza Oicho-Kabu (oicho-kabu ) ni mchezo wa card kama vile baccarat and blackjack huwa wanavua mashati yao ili kujuana kusudi kujikinga na maadui zao ambao huwa wanaweza kujipenyeza kwenye mchezo huo kwa lengo tu la kusaka information
Kama Mafia na Yakuza wana Crime families ambazo ni
Yamaguchi Gumi
Hii ndio familia kubwa zaidi kwa yakuza yenye members asilimia 50 ya yakuza wote
Sumiyoshi Kai
Hii ina members zaidi ya 20,000 wa yakuza
Inagawa Kai
Haka ndio kadogo yenye members zaidi ya 15,000
Na Headquater ya yakuza ni FUKUOKA headquater huwa zinabadilishwa kutokana na upepo unavyoenda ila tokea waichague mwaka 2008 hawajabadilisha tena na mpaka sasa fukuoka Japan ndio inatajwa kuwa ndio Headquater ya Yakuza
Ila hata hivyo wamesambaa sana miji mingine ya japan kama
Tokyo, kumamoto, hiroshima, kyoto, hyogo pamoja na Aichi
Mitaa yao inajulikana kwa wakazi wa Tokyo inajulikana kabisa kuwa mitaa ya Shinjuku ndio ngome kuu ya kujidai kwa yakuza I mean ndio viwanja vyao ila nani sasa aende kuwakamata
Hakuna mtu si polisi, si mamlaka ya usalama na vyombo vya usalama wa japan vinavyothubutu kupeleka pua zao kule
![]()
Kwa marekani YAKUZA wanapatikana sana Hawaii vile vile wanapatikana sana miji ya Denver, New York, Huston na Oregon
Hakuna anayemjua Bosi wa Yakuza sura yake haijawahi kuonekana na wala hakuna mtu ambaye alishakutana nae
Hata hivyo sura pekee wa bosi wa yakuza kuoneshwa ni bwana Shinobu Tsukasa yeye ndie bosi mkuu wa familia ya YAMAGUCHI.. ambayo ndio familia kubwa sana ya YAKUZA huyu jamaa yeye na mabosi wengine wa familia zingine zinaripoti kwa bosi mkubwa ambaye anabaki kutokujulikana na mtu yeyote
![]()
![]()
Huku sisi tunasumbuliwa na MS 13.
FBI — MS-13 Threat Assessment
MS13 Gang | Altered DimensionsAltered Dimensions
![]()
![]()
![]()
![]()
mkuu hawa wako kila sehemu hawaogopi mtu na wanajua wanachokifanya na huwa wana mitaa yao huko
marekani hii hii pale New York kuna kitongoji kinaitwa China Town huko wamejaa makundi kama
14k Group
Wo Group
black Dragons
Ang sung Tong
Gee Hin Kongsi
hizi ni organised crimes za china ambazo zimesambaa sehemu mbali mbali duniani... na New York wamejaa mpaka kuform kamji au kitongoji chao ndani ya New York inachoitwa China Town
na kuhusu swala la ugaidi mie naona huwezi kuta hata siku moja hawa Yakuza wakawa listed kwenye suala ugaidi ila wanayoyafanya ni Uhalifu
kuna tofauti kati ya Ugaidi na Uhalifu
wataalamu wa kucheza na kamusi hebu tupeni tafsiri hapa