wajue YAKUZA Genge Hatari zaidi la kihalifu Japan lililosambaa Duniani Kote

C.T.U Mbona wanaonekana "soft touch" tu? Embu muone huyo bonge aliyevaa miwani.


Mkuu hawa watu achana naoni noma kuliko maelezo na siku zote ogopa mabonge

jamii ya kina sammo hung


 
Ningependa mkuu pia kama ungeweza ungeongelea chinese the triads na diablo ili atleast tuweze kujua kuhusu hzi cartels pamoja na zinginine mingi zilizopo NY CITY . Maana mi ni mgeni maeneo haya.
 
Ningependa mkuu pia kama ungeweza ungeongelea chinese the triads na diablo ili atleast tuweze kujua kuhusu hzi cartels pamoja na zinginine mingi zilizopo NY CITY . Maana mi ni mgeni maeneo haya.

usiogope wewe ni mtoto mdogo sana jiachie tu mwanawani..
 
Ningependa mkuu pia kama ungeweza ungeongelea chinese the triads na diablo ili atleast tuweze kujua kuhusu hzi cartels pamoja na zinginine mingi zilizopo NY CITY . Maana mi ni mgeni maeneo haya.

umenikumbusha mbali sana
wazee wa mountain masters

wazee wa Triple Wong
May Wong
Mark Wong
Tim Wong

nikipata muda nitaeleza hayo majamaa
 
usiogope wewe ni mtoto mdogo sana jiachie tu mwanawani..

Mkuu mimi ni mzee kuliko unavyofikiri , ila kwenye haya mambozz nakubali ni mtoi . Vp wewe una taarifa zozote kuhusu hawa jamaa ?
 
Yes wako vizuri jamaa. Ever heard of Five Families Of New York? Hapo lazima u'll come across my name; lucchese.
 
kuna movie inaitwa show down in a little tokyo. ni balaa sans hii movie kwa sababu imereflect sehemu ya hali halisi ya kundi hili hatari.members wake ni kweli wamejaa tatoo mwili mzima.ninakubali kila kitu kilichoelezwa na mleta thread.ukiitazama hii movie kuna mengi ya ufahamu kuhusu YAKUZA halisi.
 
Mmenikumbusha Care raisu kwenye kahoteli kamoja Shinjuku...unachagua tokana na idadi ya pili pili kwenye picha...kahoteli (niseme mgahawa) kadogo lakini watu wanaotoka na kuingia wengi utasema mzinga wa nyuki. Hawa jamaa niliwasikia kwa mbali lakini kwa mimi mgeni sikuona madhara yao...tena wenyeji huwa hawapendi kutamka hilo jina. Nchi ikiendelea nayo inakuwa majanga...nimewakumbuka Shibuya Girls... (wanaogopa kivuli)
Sinjuku Acha Kabisa
usiniambie ulilkuwa hubanduki
uogashinihonishi kupata shushi kidogo..
 
Ni muda toka nitoke JP lakini nimekumbuka kama walikuwa wanasema biashara ya pachinko ina uhusiano na hao watu pamoja na muharifu wa Korea...ni biashara haramu (kamali) lakini serikali imeshindwa kuisimamisha kwa kuwa ina maslahi ya watu wasioshikika...Wajapan wengi wamefilisika kwa sababu ya pachinko na vijana kwa wazee wako addicted na zmezagaa kila kona kama njugu
 

Ni genge lipi hatari kati ya MAFIA na YAKUZA?
 

Uhalifu ni uvunjifu wa sheria wa kupangwa sio lazima kuua ila ugaidi ni mauji yaliyopangwa kiitikadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…