Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂Wamezaana kama kumbikumbi.
Namuona waziri wa afya mwaka 2050 hapo huyo alieshika pulizoTunataka uzalendo kama huu.
Sio kwenda kupiga picha kwenye kuta za majengo huko Paris na New York.
View attachment 2102358
Dunia ni tufeNamuona waziri wa afya mwaka 2050 hapo huyo alieshika pulizo
Mbona kama umepanic we pimbi?Kwani wamevunja kipengele chochote cha katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Halafu huyo kamanda hapo kushoto anaonekana kama anataka kwenda kuruka uzio ili aingie baharini aende aka-dive! Hizi pilika pilka jamani!Tunataka uzalendo kama huu.
Sio kwenda kupiga picha kwenye kuta za majengo huko Paris na New York.
View attachment 2102358