Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu

Enzi zile watu walilia sana Moooooo...ila njaa mbaya muhindi akawateka
 
Elimu ukiwa nayo kichwani utawaburuza wajinga wengi,maana wajinga ndio wanaoongoza kwa makelele. Mtu kasoma FINANCE & International Business tena kasomea USA,wewe mwingine na elimu yako ya kukariri unapiga kelele..Ngozi nyeusi shida sana,mkiulizwa hizo 51% za nyie wanachama mmeanza kununua hisa zake utajibiwa ngonjera tu. Hakuna cha bure wala msaada kwenye Dunia ya Kibepari hii
 
M
Mo hawez kuagiza hao wajumbe wajiuzulu,

Yeye kama Nani??
 
Hakuna msaada, Manara na Kigwangalla walipimsema vibaya mudi matahira mlikaza mafuvu... "Sisi tunataka furaha, Kigwangalla alinyimwa mkopo wa pikipiki!!".

Mo shikilia hapohapo sisi tunaokupenda tutakupigania.๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ
 
WAACHENI WAFUUU WAZIKE WAFU WAOOOO
 
Ulivyoanza kuikosoa nikafikiri Kuna kitu unaongezea, unawezaje kununua hisa za Mali yako, ungetafuta mtu wa soko la mitaji akakuelekeza vizuri au hata mwanafunzi wa finance Ifm mwaka wa kwanza .
 
Mo pale kwenye jezi analipaga bei gani? Au ndiyo anajilipa 20b zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ