Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Too lateWampitishe tu na huku Lake Zone tuna jambo letu na yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too lateWampitishe tu na huku Lake Zone tuna jambo letu na yeye.
Pikipiki za Samia mpk kwenye Vito goji zinawawehua wajumbeTumejipangaaa..... Mwaka huu wataisoma....
Afu nae kama kashtukizwa fulani Ivi, Yani ata the way alivyokuwa anaongea unaona Kabisa ni kama Hakuwa prepared, Aisee Statesman kama yeye ange Omba Wakati ufike ndio maamuzi yafanyike, Historia itahukumuHakutarajia hili jambo🤣🤣
Imetoka hiyo,wale wa Samia hagombei tena wako wapi? 😂😂😂Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk Hussein Mwinyi awe mgombea urais wa Zanzibar.
Baada ya kutoa hoja hiyo leo Jumapili, Januari 19, 2025 katika kikao hicho kinachoongozwa na Rais Samia, wajumbe wote wa mkutano huo wakasimama kushangilia na kuunga mkono hoja hiyo.
Hoja kama hiyo imetolewa wakati wajumbe wa mkutano huo wakichangia taarifa za utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25 kwa upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.
Hoja za wachangiaji wote zinaeleza kuwa ni kutokana na ubora na ufanisi wa utekelezaji wa ilani wakisema hakuna mbadala wa wawili hao kuwania Urais.
View attachment 3206168
Mbona mie nipo huku Lake Zone huku Ihayabuyaga sijui hilo jambo jamani....au kwa kuwa mie ni mtoro wa vikaoWampitishe tu na huku Lake Zone tuna jambo letu na yeye.
Kwa hiyo wewe ndiye mmiliki wa Jamii Forums? Sema kwa nafsi yako. Huku mtaani watu wanamsubiri Lisu wampigie kuraHata jamii Forum hapa Nami napitisha Azimio La Kuunga Mkono Hoja hiyo na naomba wana jukwaa wengine muunge mkono .
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Wameenda kuandaa azimioKikwete ameipangua hoja hiyo kwa akili sana.
"Mwali hatolewi nje mpk siku 30 ziishe"
Kasema wasifanye uamuzi unaokinzana na sheria, kanuni na taratibu za nchi.
Yaani kuna mtu alikuwa na nia nadhani atakuwa analia tu mda huu. Maana hii hoja imeenda kasi sana.Samia ameipangua tena, azimio linaandaliwa leo leo na linaletwa kabla ya mkutano kuisha🤣🤣🤣
Siasa ni sayans
Utaratibu umeanza kukiukwa mapema kabisaNaona Historia Itakuja Kutoa Hukumu Uko mbele, Hili Jambo halikupaswa Kufanyika Haraka ivi
Certified Idiot !!Hata jamii Forum hapa Nami napitisha Azimio La Kuunga Mkono Hoja hiyo na naomba wana jukwaa wengine muunge mkono .
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Naunga mkono hoja hii muhim sana kwa ustawi wa JF na Taifa letu Tanzania 🌹Hata jamii Forum hapa Nami napitisha Azimio La Kuunga Mkono Hoja hiyo na naomba wana jukwaa wengine muunge mkono .
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu
Hawa wajinga hawaishiwi hela wanajichotea tu hapo hazina kama pombe ya ngomani vile.Hii hoja itakuwa ilikuwepo kwa kificho na walikuwa wamempanga mtu wa kuitoa! Hii yote ni kutokana na ukata wa kuitisha mkutano mkuu mwingine, fedha yote imeishia kununua Yu Tong!
Ningemuona Mungu ni muongo endapo hoja hiyo ingepita.
aisee hii ni kaliYaa
Yaani kuna mtu alikuwa na nia nadhani atakuwa analia tu mda huu. Maana hii hoja imeenda kasi sana.
Japo mimi si shabiki wa CCM, ni kichaa peke yake ambaye angeweza kudhani kuwa Samia hagombei atakatwa sijui hata walikuwa wanawaza nini.😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mgombea wa CCM 2025 ni Samia SH.
Haters wake wote chalii
Wapiga ramli chaliii
Waliopanga Kumhujumu chaliii
Waliojisemesha kwamba hawezi chaliii
Wachawi chaliii
Yaani kiufupi Mama ni 🔥🔥🔥
Hongera sana Wajumbe Kwa Kasi nzuri.
Sawa. Mama anautaka tenaWameenda kuandaa azimio
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mgombea wa CCM 2025 ni Samia SH.
Haters wake wote chalii
Wapiga ramli chaliii
Waliopanga Kumhujumu chaliii
Waliojisemesha kwamba hawezi chaliii
Wachawi chaliii
Yaani kiufupi Mama ni 🔥🔥🔥
Hongera sana Wajumbe Kwa Kasi nzuri.
View: https://x.com/seif_tanzania/status/1880920435539505444?t=WCIzg8tudXNkEJc8RJ6Avw&s=19