kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Mama kanogewa na ikulu ya tanganyika anataka kutumia mbinu chafu kusaliaKikwete asimame kidete apinge hoja hiyo ya kipumbavu wazi wazi bila kuogopa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kanogewa na ikulu ya tanganyika anataka kutumia mbinu chafu kusaliaKikwete asimame kidete apinge hoja hiyo ya kipumbavu wazi wazi bila kuogopa.
Cha moto haswaa machawa wanataka kuharibu utaratibu ingawa haita wezekanaInaonekana Kikao cha moto.... Bahati mbaya sina Access ya live coverage!
Uko sahihi, maana sasa hivi mshindi hapatikani kwa njia ya kura tena, bali maagizo toka juu.Lisu hatoboi 😂😂
Hafai,tunawasihi wajumbe kutoka Tanganyika wamkatae kwa kauli moja.Mama kanogewa na ikulu ya tanganyika anataka kutumia mbinu chafu kusalia
Hakuna moto wowote kwa hao wajumbe makondoo.Inaonekana Kikao cha moto.... Bahati mbaya sina Access ya live coverage!
Haters wa Samia chaliiMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk Hussein Mwinyi awe mgombea urais wa Zanzibar.
Baada ya kutoa hoja hiyo leo Jumapili, Januari 19, 2025 katika kikao hicho kinachoongozwa na Rais Samia, wajumbe wote wa mkutano huo wakasimama kushangilia na kuunga mkono hoja hiyo.
Hoja kama hiyo imetolewa wakati wajumbe wa mkutano huo wakichangia taarifa za utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25 kwa upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.
Hoja za wachangiaji wote zinaeleza kuwa ni kutokana na ubora na ufanisi wa utekelezaji wa ilani wakisema hakuna mbadala wa wawili hao kuwania Urais.
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza chagua kibaraka.Wafuasi wa kibaraka mliomjaza upepo mnatafuta chorus za kujifariji 😂😂Uko sahihi, maana sasa hivi mshindi hapatikani kwa njia ya kura tena, bali maagizo toka juu.
Kikwete ameipangua hoja hiyo kwa akili sana.
"Mwali hatolewi nje mpk siku 30 ziishe"
Kasema wasifanye uamuzi unaokinzana na sheria, kanuni na taratibu za nchi.
Haaaaaaaa,hiyo hoja imeingia kinyela hata Nchimbi nadhani hakuijua kama inakuja.
Lakini Mimi nilikuwa nashangaa kicheko cha Mangula halafu anamwangalia Kinana ambaye alikuwa amenuna kabisa.
Nadhani kuna jambo haliko sawa kwenye Chama changu.
Pascal MayallaMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk Hussein Mwinyi awe mgombea urais wa Zanzibar.
Baada ya kutoa hoja hiyo leo Jumapili, Januari 19, 2025 katika kikao hicho kinachoongozwa na Rais Samia, wajumbe wote wa mkutano huo wakasimama kushangilia na kuunga mkono hoja hiyo.
Hoja kama hiyo imetolewa wakati wajumbe wa mkutano huo wakichangia taarifa za utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25 kwa upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.
Hoja za wachangiaji wote zinaeleza kuwa ni kutokana na ubora na ufanisi wa utekelezaji wa ilani wakisema hakuna mbadala wa wawili hao kuwania Urais.
Kikwete ameipangua hoja hiyo kwa akili sana.
"Mwali hatolewi nje mpk siku 30 ziishe"
Kasema wasifanye uamuzi unaokinzana na sheria, kanuni na taratibu za nchi.
Basi hapo LICHOICE limefurahi kweli kweli....Hailewi kitu mama Yako ndio anaepewa 🤪🤪
Narudia tena, kwa sasa hakuna ushindi wa kura tena, bali kuna genge linapanga nani awe rais, kisha vyombo vya dola vinapewa jukumu la kulinda hiyo haramu.Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza chagua kibaraka.Wafuasi wa kibaraka mliomjaza upepo mnatafuta chorus za kujifariji 😂😂
💉💉💉💉💉💉 Ulitaka nichukie ? 😂😂😂😂😂😂😏Basi hapo LICHOICE limefurahi kweli kweli....
Kibaraka chaliiii 😂😂Narudia tena, kwa sasa hakuna ushindi wa kura tena, bali kuna genge linapanga nani awe rais, kisha vyombo vya dola vinapewa jukumu la kulinda hiyo haramu.
Hapo hakuna chama kwa sasa, vyombo vya dola tu ndio roho yao.Haaaaaaaa,hiyo hoja imeingia kinyela hata Nchimbi nadhani hakuijua kama inakuja.
Lakini Mimi nilikuwa nashangaa kicheko cha Mangula halafu anamwangalia Kinana ambaye alikuwa amenuna kabisa.
Nadhani kuna jambo haliko sawa kwenye Chama changu.
Ila kauli yake ya kwamba hakuna wachawi,wote wamekufa si nzuriKikwete ameipangua hoja hiyo kwa akili sana.
"Mwali hatolewi nje mpk siku 30 ziishe"
Kasema wasifanye uamuzi unaokinzana na sheria, kanuni na taratibu za nchi.
Uko sahihiNaona Historia Itakuja Kutoa Hukumu Uko mbele, Hili Jambo halikupaswa Kufanyika Haraka ivi