Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua rasmi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Uamuzi huu wa kihistoria unaonyesha imani kubwa na matumaini makubwa ambayo CCM inayo kwa uongozi thabiti na wa kimkakati wa Rais Samia, pamoja na dhamira yake isiyotetereka ya kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025.

Katika kipindi chake cha uongozi, Tanzania imeshuhudia mafanikio makubwa katika ukuaji wa uchumi, ujenzi wa miundombinu, maboresho ya huduma za afya, na kukuza demokrasia kupitia falsafa yake ya β€œ4Rs.”

Akiwa Rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Tanzania, Rais Samia si tu kwamba amevunja vikwazo vya kijinsia, bali pia ameweka viwango vipya vya uongozi shirikishi na wa maono.

Uteuzi wa CCM ni hatua muhimu ya kuhakikisha maendeleo yanayoendelea na mustakabali wa neema kwa Watanzania wote.

#Samia2025 #TanzaniaKwanza #CCM2025 #UongoziBora
 
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua rasmi Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa urais kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Uamuzi huu wa kihistoria unaonyesha imani kubwa na matumaini makubwa ambayo CCM inayo kwa uongozi thabiti na wa kimkakati wa Rais Samia, pamoja na dhamira yake isiyotetereka ya kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025.

Katika kipindi chake cha uongozi, Tanzania imeshuhudia mafanikio makubwa katika ukuaji wa uchumi, ujenzi wa miundombinu, maboresho ya huduma za afya, na kukuza demokrasia kupitia falsafa yake ya β€œ4Rs.”

Akiwa Rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Tanzania, Rais Samia si tu kwamba amevunja vikwazo vya kijinsia, bali pia ameweka viwango vipya vya uongozi shirikishi na wa maono.

Uteuzi wa CCM ni hatua muhimu ya kuhakikisha maendeleo yanayoendelea na mustakabali wa neema kwa Watanzania wote.

#Samia2025 #TanzaniaKwanza #CCM2025 #UongoziBora
 

Attachments

  • IMG-20250119-WA0034.jpg
    111.6 KB · Views: 1
Na ili kujia kuwa walipangwa ni kwamba mtoa hoja ni kimbisa lakini naona katambuliwa mwana dada mwasi
Mbona ni mambo ya kawaida hayo CCM tunapoitaji kuchomekeza Agenda . Na kwa wale watakopinga wanapewa Nafasi yao ya kunyoosha mikono pia πŸ˜€
 
Safi sana.Mama anaendelea kuupiga mwingi
 

π–π€π‰π”πŒππ„ π–π€ππˆπ“πˆπ’π‡π€ π€π™πˆπŒπˆπŽ 𝐋𝐀 πŠπ”π–π€ππˆπ“πˆπ’π‡π€ πƒπŠπ“. π’π€πŒπˆπ€ 𝐍𝐀 πƒπŠπ“. πŒπ–πˆππ˜πˆ πŠπ”π†πŽπŒππ„π€ ππ€π…π€π’πˆ 𝐙𝐀 π”π‘π€πˆπ’ π“π€ππ™π€ππˆπ€ & π™π€ππ™πˆππ€π‘


Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameridhia kwa kauli moja kuwapitisha Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar) Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, kuwania tena nafasi hizo katika uchaguzi wa mwaka huu 2025.

Hayo yametokana na mapendekezo waliyoyatoa wakati wa michango yao baada ya kutazama na kusikiliza utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Hivyo, Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imeketi na kuandaa Azimio hilo na kuwasilishwa kwa Wajumbe wa Mkutano Mkuu katika ukumbi wa JKCC Jijini Dodoma leo tarehe 19 Januari, 2025 ambapo kwa pamoja wameridhia kwa asilimia 100.

#MkutanoMkuuCCM2025
#CCMImara
#VitendoVinaSauti
#KaziIendelee
 

Attachments

  • Screenshot 2025-01-19 at 14-44-58 Instagram.png
    851.6 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…