Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ili kujia kuwa walipangwa ni kwamba mtoa hoja ni kimbisa lakini naona katambuliwa mwana dada mwasiNi kweli. Hata wazungumzaji waliwekwa kimkakati
NdiyoInaruhusiwa kisheria vyama kuteua wagombea urais wakati huu??
Mbona ni mambo ya kawaida hayo CCM tunapoitaji kuchomekeza Agenda . Na kwa wale watakopinga wanapewa Nafasi yao ya kunyoosha mikono pia 😀Na ili kujia kuwa walipangwa ni kwamba mtoa hoja ni kimbisa lakini naona katambuliwa mwana dada mwasi
Safi sana.Mama anaendelea kuupiga mwingiMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk Hussein Mwinyi awe mgombea urais wa Zanzibar.
Baada ya kutoa hoja hiyo leo Jumapili, Januari 19, 2025 katika kikao hicho kinachoongozwa na Rais Samia, wajumbe wote wa mkutano huo wakasimama kushangilia na kuunga mkono hoja hiyo.
Hoja kama hiyo imetolewa wakati wajumbe wa mkutano huo wakichangia taarifa za utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/25 kwa upande wa Zanzibar na Tanzania Bara.
Hoja za wachangiaji wote zinaeleza kuwa ni kutokana na ubora na ufanisi wa utekelezaji wa ilani wakisema hakuna mbadala wa wawili hao kuwania Urais.
Kikwete Azungumza na Wajumbe Kuhusu Rais Samia Kugombea Urais 2025
"Azimio liwe Rais Samia amechaguliwa kuwa mgombea Rais wa CCM 2025"
Rais mstaafu na Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Jakaya Kikwete, alilazimika kutoa busara zake baada ya wajumbe wa mkutano mkuu maalum wa CCM kutaka kuanzisha mjadala kuhusu wagombea wa urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kupitia chama hicho.
Katika kikao hicho, ilikubalika kuwa Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa mgombea urais wa CCM kwa uchaguzi wa 2025, huku Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, pia akijitokeza kama mgombea mwenye nguvu.
𝑾𝒂𝒋𝒖𝒎𝒃𝒆 𝒘𝒂𝒎𝒆𝒇𝒂𝒏𝒚𝒂 𝒎𝒂𝒂𝒎𝒖𝒛𝒊 𝒉𝒂𝒚𝒐 𝒌𝒘𝒂 𝒌𝒖𝒛𝒊𝒏𝒈𝒂𝒕𝒊𝒂 𝑲𝒂𝒕𝒊𝒃𝒂 𝒚𝒂 𝑪𝑪𝑴 𝒊𝒃𝒂𝒓𝒂 𝒚𝒂 100 𝒌𝒊𝒇𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒌𝒊𝒅𝒐𝒈𝒐 𝒄𝒉𝒂 2 𝒊𝒏𝒂𝒚𝒐𝒆𝒍𝒆𝒛𝒂 𝒌𝒖𝒘𝒂 𝑴𝒌𝒖𝒕𝒂𝒏𝒐 𝑴𝒌𝒖𝒖 𝒏𝒅𝒊𝒐 𝒌𝒊𝒌𝒂𝒐 𝒌𝒊𝒌𝒖𝒖 𝒄𝒉𝒂 𝑪𝑪𝑴 𝒄𝒉𝒆𝒏𝒚𝒆 𝒎𝒂𝒎𝒍𝒂𝒌𝒂 𝒚𝒂 𝒎𝒘𝒊𝒔𝒉𝒐
BadoKatiba ya Zanzibar ikoje ? Mwinyi ajamaliza mda wake ?
ndio hili jambo ulililosema litawashangaza chadema na kutoa machozi?Hata jamii Forum hapa Nami napitisha Azimio La Kuunga Mkono Hoja hiyo na naomba wana jukwaa wengine muunge mkono .
Rais Samia ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga tuuu