peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
WAJUMBE Walioteuliwa kugombea CCM NEC TAIFA MWAKA 2017 ,ukipitia CV zao , ni wanaccm halisi na wenye uwezo wa kuiongoza CCM na kukipisha mwaka 2025.
WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.
Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.
Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.
WAJUMBE hao waliochaguliwa kwenda kugombea ila kura zao hazikutosha,ni muda sasa wateuliwe kwenye nafasi za wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na makatibu tawala wa wilaya na mikoa mbalimbali nchini.
Ni kundi nzuri lililopo ndani ya CCM ambalo limesahaulika na likitumikia , litafaniikishwa kuisimamia ilani ya CCM na hatimaye uchaguzi mkuu 2025.
Ninashauri wafanyiwe vetting na watagutwe popote walipo.