Wajumbe Wapiga kura katika Uchaguzi wa CHADEMA wanasinzia sana ukumbini kulikoni?

Wajumbe Wapiga kura katika Uchaguzi wa CHADEMA wanasinzia sana ukumbini kulikoni?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Halafu mbona bado mapema sana my friends, ladies and gentlemen? Yaani wamepoteza umakini kabisa.

Au kuna kitu wamekula au kunywa kinawafanya kusinzia kwa pamoja? Na inaruhusiwa kufanya hivyo kwenye jambo muhimu kama hili? Au ni njaa ndungu zangu? Si wapatiwe chochote kitu basi?

Au ni uchovu wa kawaida tu? Lakin kila mtu si anachoka?
Au walikesha kwenye maombi jana, kabla ya kuingia ukumbini leo? Inashangaza sana, hadi wakala mkuu wa mgombea uenyekiti anasinzia, ni sawa kweli hii?

binafsi bado sielewi kulikoni?

au wamekata tamaa na kumkatia tamaa mgombea wao? Au hii imeenda?

Una maoni gani ndugu mdau wa siasa na demokrasia,

shuhuda na mfuatiliaji wa karibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?🐒

IMG_3205.jpeg
IMG_3203.jpeg

IMG_3204.jpeg
 
Hao Ndungu zako ni kina nani?

Sema Ndugu✅️ sio Ndungu.❌️

inaonekana wewe ndo unasinzia.
safi sana mwalimu,
nimefurahi hujasinzia kama wajumbe ukumbini 🐒👊💪
 
Halafu mbona bado mapema sana my friends, ladies and gentlemen? Yaani wamepoteza umakini kabisa.

Au kuna kitu wamekula au kunywa kinawafanya kusinzia kwa pamoja? Na inaruhusiwa kufanya hivyo kwenye jambo muhimu kama hili? Au ni njaa ndungu zangu? Si wapatiwe chochote kitu basi?

Au ni uchovu wa kawaida tu? Lakin kila mtu si anachoka?
Au walikesha kwenye maombi jana, kabla ya kuingia ukumbini leo? Inashangaza sana, hadi wakala mkuu wa mgombea uenyekiti anasinzia, ni sawa kweli hii?

binafsi bado sielewi kulikoni?

au wamekata tamaa na kumkatia tamaa mgombea wao? Au hii imeenda?

Una maoni gani ndugu mdau wa siasa na demokrasia,

shuhuda na mfuatiliaji wa karibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?🐒
Hapa sasa umevuka viwango vya upuuzi ndugu yangu maana umeshaandika yote na yamekuja kuwa uzushi mtupu
Je hao unaowasema wana alama maalum mpaka uwatambue?
 
Halafu mbona bado mapema sana my friends, ladies and gentlemen? Yaani wamepoteza umakini kabisa.

Au kuna kitu wamekula au kunywa kinawafanya kusinzia kwa pamoja? Na inaruhusiwa kufanya hivyo kwenye jambo muhimu kama hili? Au ni njaa ndungu zangu? Si wapatiwe chochote kitu basi?

Au ni uchovu wa kawaida tu? Lakin kila mtu si anachoka?
Au walikesha kwenye maombi jana, kabla ya kuingia ukumbini leo? Inashangaza sana, hadi wakala mkuu wa mgombea uenyekiti anasinzia, ni sawa kweli hii?

binafsi bado sielewi kulikoni?

au wamekata tamaa na kumkatia tamaa mgombea wao? Au hii imeenda?

Una maoni gani ndugu mdau wa siasa na demokrasia,

shuhuda na mfuatiliaji wa karibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?🐒
Aliyelala usimuamshe😃 Wapige picha utuletee😹😃
Wamechoka wacha wapumzike na kazi iendelee
 
Hapa sasa umevuka viwango vya upuuzi ndugu yangu maana umeshaandika yote na yamekuja kuwa uzushi mtupu
Je hao unaowasema wana alama maalum mpaka uwatambue?
alama ni yale makelele na mdomo walikua wakipga tangu majuzi,

ni rahisi mno kuwatambua, wana sura za kufanana, wako katika hali ya kupoteza matumaini na kukata tamaa, ni watu wasio na uhakika wa kesho yao financially,

huenda ni mkesha wa juzi katika kula na kunywa au njaa kwasabb leo ni kama wamepita dash 🐒
 
Back
Top Bottom