Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Halafu mbona bado mapema sana my friends, ladies and gentlemen? Yaani wamepoteza umakini kabisa.
Au kuna kitu wamekula au kunywa kinawafanya kusinzia kwa pamoja? Na inaruhusiwa kufanya hivyo kwenye jambo muhimu kama hili? Au ni njaa ndungu zangu? Si wapatiwe chochote kitu basi?
Au ni uchovu wa kawaida tu? Lakin kila mtu si anachoka?
Au walikesha kwenye maombi jana, kabla ya kuingia ukumbini leo? Inashangaza sana, hadi wakala mkuu wa mgombea uenyekiti anasinzia, ni sawa kweli hii?
binafsi bado sielewi kulikoni?
au wamekata tamaa na kumkatia tamaa mgombea wao? Au hii imeenda?
Una maoni gani ndugu mdau wa siasa na demokrasia,
shuhuda na mfuatiliaji wa karibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?🐒
Au kuna kitu wamekula au kunywa kinawafanya kusinzia kwa pamoja? Na inaruhusiwa kufanya hivyo kwenye jambo muhimu kama hili? Au ni njaa ndungu zangu? Si wapatiwe chochote kitu basi?
Au ni uchovu wa kawaida tu? Lakin kila mtu si anachoka?
Au walikesha kwenye maombi jana, kabla ya kuingia ukumbini leo? Inashangaza sana, hadi wakala mkuu wa mgombea uenyekiti anasinzia, ni sawa kweli hii?
binafsi bado sielewi kulikoni?
au wamekata tamaa na kumkatia tamaa mgombea wao? Au hii imeenda?
Una maoni gani ndugu mdau wa siasa na demokrasia,
shuhuda na mfuatiliaji wa karibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?🐒