Wajumbe Wapiga kura katika Uchaguzi wa CHADEMA wanasinzia sana ukumbini kulikoni?

Wajumbe Wapiga kura katika Uchaguzi wa CHADEMA wanasinzia sana ukumbini kulikoni?

Ratiba mbaya, hakukuwa na ulazima wa kukesha, idadi ya wapiga kura sio kubwa kiasi cha kukesha. Vinginevyo hongera zao
 

Attachments

  • IMG_2679.jpeg
    IMG_2679.jpeg
    527.4 KB · Views: 1
Sasa hii nayo ni habari?

Ndo mjifunze wenzenu wanavyofanya mambo yao kidemokrasia.

Na hii inathibitisha kuwa wana moyo mkuu na jambo wanalolifanya.
 
Back
Top Bottom