Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukesha siyo ishara ya ufanisi na mafanikioHaina kulala hio. CHADEMA inawafundisha demokrasia CCM na majambazi yake
Sawaaaaa, wasingekesha tungesema matokeo yalikua yamepangwa. Ni ngumu sana kumfurahisha binadamu Ndugu yanguKukesha siyo ishara ya ufanisi na mafanikio
Ratiba yao Ilikua mbaya tu
KweliSawaaaaa, wasingekesha tungesema matokeo yalikua yamepangwa. Ni ngumu sana kumfurahisha binadamu Ndugu yangu
wanakoroma kabisa na hapo wamekaa kwenye kiti dah!🐒
Please, nyie nyumbu wengine msicomment humu mnazidi kutufanya tuwaone hamna akili. Ndo nini' hiki umesema maskini ya MunguHaina kulala hio. CHADEMA inawafundisha demokrasia CCM na majambazi yake
Hawa si ni Chamaa cha digital wameshindwa nini kupiga kura kimtandao?Wakuu
Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema, wamenaswa Mwananchi wakiwa wamelala, baada ya kukamilisha haki yao ya kikatiba ya kupiga kura leo Jumatano Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
View attachment 3209584View attachment 3209585
Hapo we unaona wamefanyaje?Haina kulala hio. CHADEMA inawafundisha demokrasia CCM na majambazi yake
Mwasi KitokoKukesha siyo ishara ya ufanisi na mafanikio
Ratiba yao Ilikua mbaya tu