BRAZA CHOGO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 761
- 1,984
Mlale unono.
Kanisa moja takatifu la mitume.
Kanisa moja takatifu la mitume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikowapi sasaHalafu mbona bado mapema sana my friends, ladies and gentlemen? Yaani wamepoteza umakini kabisa.
Au kuna kitu wamekula au kunywa kinawafanya kusinzia kwa pamoja? Na inaruhusiwa kufanya hivyo kwenye jambo muhimu kama hili? Au ni njaa ndungu zangu? Si wapatiwe chochote kitu basi?
Au ni uchovu wa kawaida tu? Lakin kila mtu si anachoka?
Au walikesha kwenye maombi jana, kabla ya kuingia ukumbini leo? Inashangaza sana, hadi wakala mkuu wa mgombea uenyekiti anasinzia, ni sawa kweli hii?
binafsi bado sielewi kulikoni?
au wamekata tamaa na kumkatia tamaa mgombea wao? Au hii imeenda?
Una maoni gani ndugu mdau wa siasa na demokrasia,
shuhuda na mfuatiliaji wa karibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?🐒
View attachment 3209631View attachment 3209633
View attachment 3209632