Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alama ni yale makelele na mdomo walikua wakipga tangu majuzi,
ni rahisi mno kuwatambua, wana sura za kufanana, wako katika hali ya kupoteza matumaini na kukata tamaa, ni watu wasio na uhakika wa kesho yao financially,
huenda ni mkesha wa juzi katika kula na kunywa au njaa kwasabb leo ni kama wamepita dash 🐒
mbona wa BAWACHA hakusema hivyo gentleman 🐒
Wanashindana na jasusi la kitaifa. Ngoja kama hawajapigwa za usoni.😂🤣Halafu mbona bado mapema sana my friends, ladies and gentlemen? Yaani wamepoteza umakini kabisa.
Au kuna kitu wamekula au kunywa kinawafanya kusinzia kwa pamoja? Na inaruhusiwa kufanya hivyo kwenye jambo muhimu kama hili? Au ni njaa ndungu zangu? Si wapatiwe chochote kitu basi?
Au ni uchovu wa kawaida tu? Lakin kila mtu si anachoka?
Au walikesha kwenye maombi jana, kabla ya kuingia ukumbini leo? Inashangaza sana, hadi wakala mkuu wa mgombea uenyekiti anasinzia, ni sawa kweli hii?
binafsi bado sielewi kulikoni?
au wamekata tamaa na kumkatia tamaa mgombea wao? Au hii imeenda?
Una maoni gani ndugu mdau wa siasa na demokrasia,
shuhuda na mfuatiliaji wa karibu wa uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema Taifa?🐒
Gentleman,Huko ccm hamna uwezo wa kufanya uchaguzi kama huwo kwa sababu mnakumbuka ushindani na uchaguzi wa rais hamwezi kushindana kwa uwazi kama hali hiyo wanaonesha chadema.
Kumbe unafurahia ushindani wa chadema kwanini huko ccm hamfanyi ushindani kama huwo?Gentleman,
wapiga kura 996 tu, huku wagombea uongozi wakiwa watatu pekee but uchaguzi unafanyika usiku kucha dah! aise ushindani ni mkali 🤣
nafurahia uchaguzi wa wapiga kura na wagombea uongozi ukilinganisha na muda unaotumika,Kumbe unafurahia ushindani wa chadema kwanini huko ccm hamfanyi ushindani kama huwo?
mbona wa BAWACHA hakusema hivyo gentleman
Haina kulala hio. CHADEMA inawafundisha demokrasia CCM na majambazi yakeBaadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema, wamenaswa Mwananchi wakiwa wamelala, baada ya kukamilisha haki yao ya kikatiba ya kupiga kura leo Jumatano Januari 22, 2025 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.View attachment 3209584View attachment 3209585
Huyu jamaa amejitoa ufahamu na kujifanya chizi makusudi, kutoa kashfa zote chafu kwa Chadema anafungua threads hata 5 kwa siku. Ni special project.Hapa sasa umevuka viwango vya upuuzi ndugu yangu maana umeshaandika yote na yamekuja kuwa uzushi mtupu
Je hao unaowasema wana alama maalum mpaka uwatambue?