Wajumbe Wapiga kura katika Uchaguzi wa CHADEMA wanasinzia sana ukumbini kulikoni?

 
Wanashindana na jasusi la kitaifa. Ngoja kama hawajapigwa za usoni.πŸ˜‚πŸ€£
 
Huko ccm hamna uwezo wa kufanya uchaguzi kama huwo kwa sababu mnakumbuka ushindani na uchaguzi wa rais hamwezi kushindana kwa uwazi kama hali hiyo wanaonesha chadema.
 
Huko ccm hamna uwezo wa kufanya uchaguzi kama huwo kwa sababu mnakumbuka ushindani na uchaguzi wa rais hamwezi kushindana kwa uwazi kama hali hiyo wanaonesha chadema.
Gentleman,
wapiga kura 996 tu, huku wagombea uongozi wakiwa watatu pekee but uchaguzi unafanyika usiku kucha dah! aise ushindani ni mkali 🀣
 
Kumbe unafurahia ushindani wa chadema kwanini huko ccm hamfanyi ushindani kama huwo?
nafurahia uchaguzi wa wapiga kura na wagombea uongozi ukilinganisha na muda unaotumika,

ni kama vile bado analogy inatumika zaidi Chadema kuliko digital.

kwa uchache huo wa wagombea na wapiga kura, digital technology inafaa zaidi kua applied πŸ’
 
Hapa sasa umevuka viwango vya upuuzi ndugu yangu maana umeshaandika yote na yamekuja kuwa uzushi mtupu
Je hao unaowasema wana alama maalum mpaka uwatambue?
Huyu jamaa amejitoa ufahamu na kujifanya chizi makusudi, kutoa kashfa zote chafu kwa Chadema anafungua threads hata 5 kwa siku. Ni special project.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…