WAJUZI WA SHERIA: Mgao wa urithi kwa kesi kama hii mnaisolve kivipi?

WAJUZI WA SHERIA: Mgao wa urithi kwa kesi kama hii mnaisolve kivipi?

Ni hivyo mkuu.
Bi ya ubia ya watu 2, mke na mume.
Ni kampuni , na itakuwa ipo wazi kabisa kuwa mama kachangia ngapi na mama Baba kuchangia ngapi itakuwa rahisi sana.
Ndo maana wameamua kwenda mahakamani.
Kama ni kampuni wafanye search Brela watajua kila jambo linaloihusu hiyo kampuni, pia wasome Memorandum na Article za hiyo kampuni zaidi ya yote watafute wakili anayefahamu mambo hayo ya sheria za familia na mirathi aweze kuwasaidia zaidi.

Naona umesema jambo lipo Mahakamani tayari, basi mwambie aache kupoteza muda kwa kutafuta ushauri kw watu wengi bali atafute wakili ambaye atatumia.taaluma kumsaidia jambo lao.

Sababu kadiri anavyopambana mwenyewe ndivyo kadiri anavyozidi kuharibu kesi yao kama itaenda vibaya upande wao, asije kutafuta wakili wakati wa rufaa huwa ni 50/50 sana kupindua maamuzi.

Mshauri vyema Mkuu.
 
Ni mtoto wa Baba yao tena kafanana zaidi ya wengine.
Mkuu kufanana sio shida nimeona watu wakichezeshwa hizo mbanga wengi sana kwa kujifanya wajuaji...

Wanaweza kuandaa ndugu wa marehemu wakawa ahid kiasi cha pesa na wakaaja kulalamika mahakamani Kuwa huyo hakuwa mtoto wa marehemu alikuwa anasaidiwa tu baada ya Mama yao kusaliti..
Hakimu akaagiza kipimo cha DNA..watu wakamuwahi Mkemia fasta kitu kikasoma negativ...Hakimu akamng'oa kwenye mirathi...
Mkuu mambo hayo yanatokea sana na tumeyashuhudia sana
 
Afu inaonekana dogo kuna watu wanamdanganya HPo inaweza kuchezeshwa sheria akashangaa watu wanacheza na MKEMIA mkuu..

akAjikuta hata huo Urithi anakosa kwa DNA kuchezeshwa na kusoma kuwa hakuwa mtoto wa mzee huyo....
watu mjini wana mipango unashangaa...

wengine wanakomaa kwamba hakuwa mtoto wa baab yao wakamuonga mkemia hiyo ishu kwishilia mbali aangalie hicho king'ang'anizi chake kinaweza kuwageuza kaka zake mamafia
Huwezi chezea DNA Mkuu, kwa mkemia sio ofisi ya hivyo kabisa wale jamaa wanajitahidi sana kwenye weledi nafikiri wanajua kabisa sayansi ya DNA haina janja janja.

Utachezesha hapa alafu mtu avuke mpaka hapo Kenya uje kuumbuka.
 
Mkuu kesi kama hio utapimaje DNA wakati Baba kashafariki???

Afu dogo nimemuona yupo sawa na mzee tuu tena kuliko wengine.
Mkuu parental DNA inapatikana ni matter ya forensc scientist na ofisi ya mkemia wakipeea kibali cha mahakama kufanya hivyo watamfukua na kuchukua sample kutoka kwenye mifipa nywele meno na viungo vingine....
Mkuu mahakama haishindwi kitu so Dogo aangalie sana
NB😀NA inaweza kuchukuliwa mda wowote ule
 
Huwezi chezea DNA Mkuu, kwa mkemia sio ofisi ya hivyo kabisa wale jamaa wanajitahidi sana kwenye weledi nafikiri wanajua kabisa sayansi ya DNA haina janja janja.

Utachezesha hapa alafu mtu avuke mpaka hapo Kenya uje kuumbuka.
mkuu nimeona mara nyingi ishu zikichezeshwa na ndo maana...
Mimi Binafsi nikiulizwa ntakwambia Tanzania we need private investigation on case...Polisi wasisimamie Kesi yyte
 
Mkuu kufanana sio shida nimeona watu wakichezeshwa hizo mbanga wengi sana kwa kujifanya wajuaji...

Wanaweza kuandaa ndugu wa marehemu wakawa ahid kiasi cha pesa na wakaaja kulalamika mahakamani Kuwa huyo hakuwa mtoto wa marehemu alikuwa anasaidiwa tu baada ya Mama yao kusaliti..
Hakimu akaagiza kipimo cha DNA..watu wakamuwahi Mkemia fasta kitu kikasoma negativ...Hakimu akamng'oa kwenye mirathi...
Mkuu mambo hayo yanatokea sana na tumeyashuhudia sana
Uwezi kusema hivyo tuu. Maana unakuta mtoto cheti cha kuzaliwa kaandikwa jina la Baba. Sasa nyie ndugu ukisema hakuwa mtoto wa ndugu kaka yetu mna kithibitisho gani????

DNA inachykuliwa Baba na inafananishwa na mtoto. Sasa kama Baba kashafariki hakuna namana. Maana hata ndugu anaweza hakuwa damu nayo.
 
Watu wanauana kwa mali ambazo sio wao wamezitafuta, inasikitisha sana. Lakini asilimia kubwa wenye hizo mali nao wanachangia haya masuala.

Kimsingi ukishakuwa na mali au uwezo wa kuzalisha mali unatakiwa uanze kuandaa namna ya mali hizo kusimamiwa pindi utakapofariki, ama uandike wosia au ufanye taratibu zinginezo.
Watoto wangejua ugumu na uchungu wa hizo investment kuzipata na kuzisimamia mpaka hapo zilipofika.... Hakika wasingekaa kwenye kikao na kusema Mali hizi zipigwe mnada ili wagawane.

Hivi wazazi wao walitoil kiasi hicho ili tuu...siku moja Mambo yote yapotee kirahisi.... Hao watoto Walitakiwa wakae chini na kufikiria wanaziendelezaje hizo Mali... Huyo anayefikiri anatakiwa kupata zaidi... Labda waangalie namna ya kumcover ili investment ziendelee kukua na kuzalisha zaidi...
 
Uwezi kusema hivyo tuu. Maana unakuta mtoto cheti cha kuzaliwa kaandikwa jina la Baba. Sasa nyie ndugu ukisema hakuwa mtoto wa ndugu kaka yetu mna kithibitisho gani????

DNA inachykuliwa Baba na inafananishwa na mtoto. Sasa kama Baba kashafariki hakuna namana. Maana hata ndugu anaweza hakuwa damu nayo.
Dah ndugu yangu mtu buwa anafukuliwa na kuchukuliwa kwa ajili ya uthibitisho wa mahakma maybe hujawahi kushuhudia hicho but nakwambia hicho uweze kujua...
 
Mkuu parental DNA inapatikana ni matter ya forensc scientist na ofisi ya mkemia wakipeea kibali cha mahakama kufanya hivyo watamfukua na kuchukua sample kutoka kwenye mifipa nywele meno na viungo vingine....
Mkuu mahakama haishindwi kitu so Dogo aangalie sana
NB😀NA inaweza kuchukuliwa mda wowote ule
Sasa kwa muonekano wa mtoto haina haja ya DNA kabisa.

Mbali na hivyo ni kwamba yeye anasema anataka percentage ya mama yake wasichukue wale wengine kwa hio hata yeye akiwa sio mtoto wa Baba anaweza chukua percentage ya mama yake pia.
 
Uwezi kusema hivyo tuu. Maana unakuta mtoto cheti cha kuzaliwa kaandikwa jina la Baba. Sasa nyie ndugu ukisema hakuwa mtoto wa ndugu kaka yetu mna kithibitisho gani????

DNA inachykuliwa Baba na inafananishwa na mtoto. Sasa kama Baba kashafariki hakuna namana. Maana hata ndugu anaweza hakuwa damu nayo.
Mkuu cheti ndo unaita Uthibitisho wa mazazi...cheti hakiko scientific wala biologically proved kwamba huyu ni mwanangu..ila ni Hati ya kuthibitisha uzaliwa
 
Mkuu kufanana sio shida nimeona watu wakichezeshwa hizo mbanga wengi sana kwa kujifanya wajuaji...

Wanaweza kuandaa ndugu wa marehemu wakawa ahid kiasi cha pesa na wakaaja kulalamika mahakamani Kuwa huyo hakuwa mtoto wa marehemu alikuwa anasaidiwa tu baada ya Mama yao kusaliti..
Hakimu akaagiza kipimo cha DNA..watu wakamuwahi Mkemia fasta kitu kikasoma negativ...Hakimu akamng'oa kwenye mirathi...
Mkuu mambo hayo yanatokea sana na tumeyashuhudia sana
"Hakimu akaagiza kipimo cha DNA..watu wakamuwahi Mkemia fasta kitu kikasoma negativ...Hakimu akamng'oa kwenye mirathi..."

Aiseee..... Kumbe huwa iko hivi... So SAD
 
Tatizo ngozi nyeuthi ubinafsi mwingi.

Isiuzwe, waendelee kugawana hata kama anakosa % za mama yake kama anavyodai haiwezi kumdhuru kitu, muhimu apambane ajichange atafute vyake kwa maarifa yake na kidogo anachogawana na wenzie.

Umimi sio mzuri.
 
Mkuu ishu ni kwamba 3 wakubwa wanataka biashara iendelee afu wagawane mapato.

Mdogo wa mwisho yeye anaona No. Nafikili anaona kama asilimia ya mama yake watabeba wengine.
Sasa sijajua kama waliongea kuhusu kama wakiendelea na biashara basi mdogo abebe mapato mengi kwa sababu mama yake alichangia siajajua.
Mkuu hilo swala ni rahisi na gumu kwa wakati mmoja, ndio maana nimekushauri kwa kukupa picha ya mambo yalivyo na kukwambia umshauri atafute wakili, tena ajiridhishe kuwa huyo mtu ni wakili ndio wafanye kazi pamoja.

Tofauti na hapo ntakuwa nakupoteza na kumharibia jamaa kesi yao.

Kwa hii stori tu hakuna mahali umemtaja msimamizi wa mirathi aliyeteuliwa na Mahakama, hapo tu inaonekana mambo mengi yameenda ndivyo sivyo.

Kama kilichopo Mahakamani ni kupinga mgawanyo uliotolewa na msimamizi wa mirathi, basi wahesabu miaka yakutosha ya kupita viunga vya Mahakama maana kesi za mirathi ni za hovyo sana, saa yoyote anaibuka mtu anasema ana maslahi.

Mimi nadhani mshauri akatafute mshauri wa kumshauri ambaye ni wakili.
 
"Hakimu akaagiza kipimo cha DNA..watu wakamuwahi Mkemia fasta kitu kikasoma negativ...Hakimu akamng'oa kwenye mirathi..."

Aiseee..... Kumbe huwa iko hivi... So SAD
Hilo haliwezekani Mkuu, iyo ni stori tu yakutunga umakini wa kwenye DNA ni habari tofauti
 
Mkuu ishu ni kwamba 3 wakubwa wanataka biashara iendelee afu wagawane mapato.

Mdogo wa mwisho yeye anaona No. Nafikili anaona kama asilimia ya mama yake watabeba wengine.
Sasa sijajua kama waliongea kuhusu kama wakiendelea na biashara basi mdogo abebe mapato mengi kwa sababu mama yake alichangia siajajua.
Hiyo dogo Hana akili kabisa.... Mambo huwa sio straight wala rahisi Kama kichwa chake kinavyofikiri....
 
Hao wakubwa waache rohombaya huyo wa mwisho hapo ana migao miwili kutoka Kwa mama na kutoka Kwa baba
 
Watoto wangejua ugumu na uchungu wa hizo investment kuzipata na kuzisimamia mpaka hapo zilipofika.... Hakika wasingekaa kwenye kikao na kusema Mali hizi zipigwe mnada ili wagawane.

Hivi wazazi wao walitoil kiasi hicho ili tuu...siku moja Mambo yote yapotee kirahisi.... Hao watoto Walitakiwa wakae chini na kufikiria wanaziendelezaje hizo Mali... Huyo anayefikiri anatakiwa kupata zaidi... Labda waangalie namna ya kumcover ili investment ziendelee kukua na kuzalisha zaidi...
Mkuu ishu ni hii nafikili watoto 3 wakubwa wanahofu sana maana yule Mama alikuwa ba uwezo kuliko Baba yao.
Maana hata kuna nyumba 2.
watoto 3 walijua ni za Baba yao kumbe ni za mama , alipoondoka mana kachukua mtoto wa mwisho huyu ambaye ni mdogo wao.
Pia huyu my friend kaniambia hata gari moja la V8 kachukua dogo kwa sababu lilikuwa kwa jina la mama yake .

Na kiwanja kimoja kipo mbweni dogo kabeba kwa sababu zilikuwa kwa majina ya mama kabisa.
Na mzee wao ilionyesha hakushiriki kwenye mali za mkewe.
Dogo kabeba.

Sasa naamini wanahofu wenda mama anaweza akawa na nyingine.
 
mkuu nimeona mara nyingi ishu zikichezeshwa na ndo maana...
Mimi Binafsi nikiulizwa ntakwambia Tanzania we need private investigation on case...Polisi wasisimamie Kesi yyte
Mkuu niamini utachezesha pote.ila.sio DNA na hata huko unapoita kuchezesha kutafanyikia kwa ofisi tofautii na hapo kwa Mkemia. Labda mtu afiche matokeo ya Mkemia na vitu kama ivyo ila eti upewe majibu ya kubumba hilo ni BIG NO Mkuu. Wanajua vizuri madhara ya hiyo kitu
 
Back
Top Bottom