WAJUZI WA SHERIA: Mgao wa urithi kwa kesi kama hii mnaisolve kivipi?

WAJUZI WA SHERIA: Mgao wa urithi kwa kesi kama hii mnaisolve kivipi?

mwanzo kabisa ulichokisema kilikuwa ni kama vile watu wa Ofisi ya Mkemia wanaweza kuhongwa wakatoa matokeo ya vipimo vya DNA tofauti. Ndio nikasema hilo haliwezekani kabisa sababu matokeo ya DNA ni sayansi endapo yakapatikana pengine hilo jambo halibebeki.

Siwezi kukataa moja kwa moja kuwa wapokea majibu wanaweza wakafanya uhuni ila bado ni rahisi kuweza kubaini ukweli, sababu bado matokeo yatakuwepo kwa Mkemia.
Mkuu kama unafanya kazi ofisi ya mkemia jua kuwa sio wote mlio na Ufanisi kama wako hicho ni cha kwanza!
Cha pili mkuu siku hizi ofisi zipo corrupted sio kama enzi za jiwe ...

Screenshot_20191031-225248_Drive.jpeg


Screenshot_20191031-225342_Drive.jpeg
Screenshot_20191031-225351_Drive.jpeg


Mkuu huu ndo mtiririko WA DNA kuanzia order ya kuchukuliwa mpaka Jinsi ya kutafsiriwa ....
Huku ndo michezo mingi hufanywa kuanzia ofisi ya mkemia mpaka mamlaka au taasisi iliyoomba
 
Hahaha Mkuu umedhihirisha kwamba kweli ni wewe 🤣🤣🤣.....
Tatizo lipo sehemu moja tu ambalo naliona kwako mkuu...
Hutaki kuamini kwamba Hizo mali ni za kwenu wote ila unaamini kuwa ni zako peke yako...
Jibu: Angekubali tu, umeshasahau mara hii yaliyomtokea Vicky kamata
Uzuri iyo hotel iko mfumo wa kampuni ambayo inazo hisa zake. Kumbuka hata mapato ya kampuni yanagawanywa kiasilimia.
Hata kampuni ikifilisika kila mtu anachukua chake nadhani kwa kile alichowekeza.
Haijaandikwa Kama Mali ya wanandoa Bali ya juma na halima Sasa hapo kuna ndoa ama. Naomba Ile sheria ya Kenya kuwa kila mtu achukue alichochuma ije
 
Uzuri iyo hotel iko mfumo wa kampuni ambayo inazo hisa zake. Kumbuka hata mapato ya kampuni yanagawanywa kiasilimia.
Hata kampuni ikifilisika kila mtu anachukua chake nadhani kwa kile alichowekeza.
Haijaandikwa Kama Mali ya wanandoa Bali ya juma na halima Sasa hapo kuna ndoa ama. Naomba Ile sheria ya Kenya kuwa kila mtu achukue alichochuma ije
Umeandika mpaka majina 😀😀😀👏👏👏 hongera kwa kushinda kesi
 
Umeandika mpaka majina 😀😀😀👏👏👏 hongera kwa kushinda kesi
Nimewaza. Uelewe hapa sio ishu ya familia ama ndoa Bali Ni ishu ya watu kugawana kampuni. Na why mke awe na hisa nyingi inaonekana mke alikuwa yupo njema mno.
Kampuni mmeshindwana mtagawanaje Sasa nadhani Ni kiasilimia pia hapo tuwacheki watalaamu wa biashara wa hizi za makampuni Kama wanasheria wapo waongee. Mie na wewe tumefungua kampuni ghafula tumekosana na tunaamua kuvunja kampuni
 
Nimewaza. Uelewe hapa sio ishu ya familia ama ndoa Bali Ni ishu ya watu kugawana kampuni. Na why mke awe na hisa nyingi inaonekana mke alikuwa yupo njema mno.
Kampuni mmeshindwana mtagawanaje Sasa nadhani Ni kiasilimia pia hapo tuwacheki watalaamu wa biashara wa hizi za makampuni Kama wanasheria wapo waongee. Mie na wewe tumefungua kampuni ghafula tumekosana na tunaamua kuvunja kampuni
Kama kwa mujibu wa mrejesho alosema kuwa Mke alikuaa na Hisa 98% na zingine ni mtoto na Mume..
So hapo hamna haja ya kugawana Mali yoyote mwenye hisa kubwa ndo anayerithi na kwa mujibu wa hiyo caze baba yao ana hisa ndogo sana wanaweza wakampa gawio au wakazinunua hizo hisa na wakawapa hizo pesa...
 
Watu wanarohoo ya rabiii kwa Mali alizo achaa babaaa...

Unaangaika kwa jasho...ukifa kuna wapumbuvu wanagombania jasho lako,maisha hayaaa sometimes unaona basi tuuu
 
Back
Top Bottom