Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

Wakaka fueni boxer, acheni kuvaa zaidi ya mara moja

wanaume hatuna nyakati maalumu za kuwa safi kwa sababu hata shift na ufanyaji kazi ni mda wowote..

Saa moja wewe unaenda kazini ila mwenzio ndo utakuta anatoka kazini huko kweny kiwanda na amechafuka mpaka boxer..Saa 8 unarudi kazini au 11 mwenzio nae ndo anatoka kazini.

Hata sita usiku ndo wengine wanatoka kazini na mzunguko ndo huo huo kwa Dar hapa kama hutaki hizi harufu itabidi ununua gari yako tu.

Siku moja nilikuwa kweny daladala hii Morogoro road kufika fire pale mi nilikuwa naenda post mpya,basi nilikuwa nimekaa na mdada anaonekana anunukia pombe ila anatafuna Big G .

palikuwa na foleni gari imesimama akatoa kipima joto chake mule ndani alikuwa mara atoe kioo na lipstic anajiremba ,kupiga jicho nikaona chupi chafu ipo mule ndani na matambar🤧
 
Habari wakuu,

Nimewakumbuka sana,

Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.

Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.

Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.

Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma

Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...

Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.

Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.

Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.

Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.

Fueni boxer kaka zangu...

IMG_7908.jpg
 
Umekutana na shea yako nnje smart ndani umekuta hamna kitu,unajumuisha watu wote

we umempenda akiwa smart mmefika ndani unataka mpoteza kijana wa watu umekutana

na vya kukutana navyo,umekula msosi wako kimya kimya umemaliza,kelele unazileta nnje huku

ungemwambia pale pale kama kweli una ujasiri huo (hauna) uzuri mwamba kasha Tick ki note book chake,kwamba kashamalizana na wewe. Anatafuta type ingine (ije imfungulie uzi Vest imegina)

mission ni moja Wote mpite gheto kutia saini daftari la mahudhurio,mnakuja shtuka kushakucha umebaki na kazi yako 1 ya uchambuzi wa nguo zake za ndani,sahyo mwenzio anaenda OA kiwembeee kimenyoooka,wewe umebaki mchambuzi. Girls Women shtukeni basi kama wenzenu...aaah
 
Habari wakuu,

Nimewakumbuka sana,

Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer.

Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B ilikuwa ndefu sana.

Hii hali ni ya mara kwa mara ambayo nimekuwa nikikutana nayo hasa kipindi Cha mvua ukipanda daladala utakutana na uvundo wa boxer zinanuka hatari.

Kilichofanya niandike Uzi huu ni kwakuwa siku zilizopita nilipanda usafiri wa umma

Sababu ya safari hii kuwa ndefu ni kwakuwa nilikaa na kijana mmoja kwenye daladala alafu ametanua miguu yake...

Kijana alikuwa ananuka jamani yaani hewa ikabadilika ikawa mbaya sana.

Harufu yake ikawa inasambaa kwenye gari yaani alafu gari imejaa sana.

Yaani nilitamani kupaa ila ndio hivyo tena mi sio ndege sina mabawa nikafa kiutu uzima.

Cha ajabu kaka yule alikuwa anajiona kawaida mwenyewe anachezea kisimu chake Wala hajui kuwa yeye ni kero.

Fueni boxer kaka zangu...
Wewe ulijuaje kwamba ni box? Uliiona?

Hapo tu unanifanya niwaze maswali mengi. Lambda ulikuwa chobisi ukakutana na njemba. Hahaha..

Pole lakini.
 
Back
Top Bottom