Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Tayari taswira ya Zanzibar kama kituo cha Utalii imechafuliwa. Kwenye hiyo clip nenda mpaka dakika ya 6 kuendelea ipo ile sehemu ya Zanzibar. Na msemaji anasema Zanzibar haikuwa hivi, bali kunaonekana kuingiliwa na uislam wa siasa kali. Na kweli siasa kali ya kiislam itatoka toka upumbavu hadi ufirauni zaidi. 1 Timothy 3:13

View: https://youtu.be/_WfbH1dS-0g?si=8JcZ821kbwSmxL_9
 
Tayari taswira ya Zanzibar kama kituo cha Utalii imechafuliwa. Kwenye hiyo clip nenda mpaka dakika ya 6 kuendelea ipo ile sehemu ya Zanzibar. Na msemaji anasema Zanzibar haikuwa hivi, bali kunaonekana kuingiliwa na uislam wa siasa kali. Na kweli siasa kali ya kiislam itatoka toka upumbavu hadi ufirauni zaidi. 1 Timothy 3:13

View: https://youtu.be/_WfbH1dS-0g?si=8JcZ821kbwSmxL_9

Kwani Huo utalii umeleta faida gani ? Toka uanzishwe ndio umezidisha umasikini yaani eti joex ni mtalii na hawa Wakwavi waliokimbia mifugo wote wamekimbilia huku .
Utalii ndio huu wa kuja kutufanyia vurugu ?
 
hawana uhuru wa kuabudu. serikali yao inasema wana uhuru wa kuabudu, ila wanalazimisha kila aliyepo hapo asiye mzungu, afuate tamaduni za imani ya kiislam. wewe unafunga ramadhan, mimi nafunga kwaresma, imagine, hata leo hii siku ya pasaka, watu wamemaliza mfungo, hawatatakiwa kula chakula mchana kwasababu waislam wamefunga. hii ni picha halisi ya aina ya dini yao, kwamba watu waiogope, waikimbie, sio dini ya amani, ni ya kikatili na ya fujo, manake hawamwabudu Mungu wa kweli. ikimbieni hii dini.
Mnalazimisha wazungu hawafuatwi, sasabu wazungu wamtembea dunia na wanaheshimu utaratibu wa kila nchi, wanaenda Dubai na wapo wanaishi Dubai, na kila Ramadhani wanafuata sheria za Dubai, Hata wakiwa Zanzibar hawali mabarabari, wanakula kwenye hoteli walizofikia,
Sasa nyinyi machogo kwani Zanzibar ni kwenu, mmeitwa au njaa zenu ndio zimewaleta
Hapa mtakula bakora tu, au kaani hukohuko kwenu hatuwataki huku na wamasai pia tunaendelea kuwawashia moto
 
Mnalazimisha wazungu hawafuatwi, sasabu wazungu wamtembea dunia na wanaheshimu utaratibu wa kila nchi, wanaenda Dubai na wapo wanaishi Dubai, na kila Ramadhani wanafuata sheria za Dubai, Hata wakiwa Zanzibar hawali mabarabari, wanakula kwenye hoteli walizofikia,
Sasa nyinyi machogo kwani Zanzibar ni kwenu, mmeitwa au njaa zenu ndio zimewaleta
Hapa mtakula bakora tu, au kaani hukohuko kwenu hatuwataki huku na wamasai pia tunaendelea kuwawashia moto
tunachosema ni hikii, mzungu akila hadharani hamchapi viboko, mbantu akila hadharani mnafura kwa hasira mnamchapa. kuitwa chogo sisi watu wa bara wala sio shida, na kweli tuna chogo tulio wengi, ila kaa ujue, hakuna mtu toka bara huwa anachukia akidharauliwa na mtu toka zanzibar, kwasababu mlishadharauliwa tangu zamani. hao wanaoishi zanzibar wakiwa wakristo, sio watu wa bara, ni wazanzibar wenye vitambulisho vya uzanzibari. hata sio watu wa bara. kama suala la kuwa mweusi ni kuwa mtu wa bara, basi robo tatu yenu nyote mtakuwa watu wa bara kwasababu ni weusi.

tukirudi kwenye hoja, binafsi inanifurahisha kwasababu matendo yenu yanaonyesha sura halisi ya uislam, ili watanzania waufahamu zaidi uislam na waukimbie kama ukoma. ni dini ya kikatili, isiyo ya amani ndio maana mnachapa watu wazima viboko, na ni dini ya fujo. hilo ninyi wenyewe mnathibitisha.

unaposema watu wakristo walioko huko zanzibar waondoke warudi bara, hauelewi tu. bila sisi ninyi hamuwezi kuishi. Ukija bara, kuna wazanzibar kila mkoa, wanamiliki maduka, wanachoma chips tena wanajua sana kupikapika, arusha, mwanza, kial sehemuw apo, tunawajali kama ndugu, na hatuwabagui.

ndugu zenu wengi wameajiriwa kwenye serikali ya muungano huku bara, wapo wengi sana wanachuma pesa wanawaletea huko, Ukienda kigamboni na DSM yote, wazanzibari wamejaa wanatafuta pesa, migahawa, maduka n.k wanatuma pesa huko na wanamiliki mashamba na hata nyumba, ruksa, mnaruhusiwa tu huku. linapokuja suala la wewe kutubagua sisi pamoja na kuwaruhusu muishi kwa amani namna hii huku bara, unaonekana kituko kuliko kitu chochote. hauna hata hadhi ya kujadili kwasababu shetani amekujaa, shetani wa kiislam.
 
Uongozi wa Selikari ya Zanzibar unatakiwa uangalie Kwa makini jambo hili, maana laweza kuleta matatizo baadae. Tabia hupandwa na kukuwa Kwa kiwango Cha ajabu maana wataona hawakemewi na kujiona wako sahihi. Mwisho wa siku, itakujatokea siku ya ijumaa watu wakavamiwa kwa Nini wanatembea mitaani wakati wengine wakiwa msikintini kwamba mnawabugudhi.
 
tunachosema ni hikii, mzungu akila hadharani hamchapi viboko, mbantu akila hadharani mnafura kwa hasira mnamchapa.
Hakuna mzungu anayekula barabarani, nasema hakuna, leta ushahidi, wazungu wanajielewa na wanaheshimu sana ama sheria au desturi a nchi wanazikwenda, mbona wako wengi tu Dubai, Saudi na husikii wamekamatwa, na hata hapa Zanzibar huoni mzungu anakulakula hovyo wakati huu hadhariani, wanafuata utaratibu.

Na Zanzibar kuna wakristo wa hapa tokea zamani za enzi na walikuwa wanaheshimu huu utaratibu ndio maana zamani hizi habari za kuchapa machogo hazikuwepo, ila ni hivi karibuni baada ya nyinyi machogo ya bara kujazana huku na njaa zenu na mnajifanya mnajua, mtakula viboko na kusweka ndani
Hamjaitwa kuja huku ni njaa zenu zimewaleta huku,
 
Uongozi wa Selikari ya Zanzibar unatakiwa uangalie Kwa makini jambo hili, maana laweza kuleta matatizo baadae. Tabia hupandwa na kukuwa Kwa kiwango Cha ajabu maana wataona hawakemewi na kujiona wako sahihi. Mwisho wa siku, itakujatokea siku ya ijumaa watu wakavamiwa kwa Nini wanatembea mitaani wakati wengine wakiwa msikintini kwamba mnawabugudhi.
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani?sii ubaki kwenu tanganyika pole sana
 
Mkatae mkubali islam ni tatizo kote duniani na sayari za mbali .
 
Kwani uliambiwe uje Zanzibar ule mchana , huko Tanganyika hamna mahali pa kula mpaka uje uwakere watu huku ??
Na ndiyo maana mko uyuma sana kimaendeleo, kazi hamtaki kufanya, kazi kukaa tu na kukariri vitu visivyo na maana maishani mwenu
 
Wewe wacha porojo hizo sheria zipo kabla wewe hujazaliwa sheria zipo znz wewe mtanganyika inakuuma kitu gani?sii ubaki kwenu tanganyika pole sana
HAKUNA sheria yoyote Zanzibar inayokataza watu kula mchana, ni ujinga waliojiwekea watu.
 
Na ndiyo maana mko uyuma sana kimaendeleo, kazi hamtaki kufanya, kazi kukaa tu na kukariri vitu visivyo na maana maishani mwenu

Nyinyi mlioko huku mliojazana mmnaolala kwa mamia Kama kumbi kwenye mapaa ya nyumba Za Michenzani ndio mumeendelea?
 
Back
Top Bottom