Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Katika watu ambao nilikua nachukia nikisikia MUUNGANO uvunjwe ni Mimi lakini kwa haya wanayoyafanya WANZAZIBAR kwa Sasa sitaki kusikia MUUNGANO Tena Bora kila mtu awe kivyake wapemba warudi kwao

Mbona tunapigania zamani uvamizi uliopewa jina la muungano UFILIE MBALINI nyinyi mlikuwa wakali sana humu na jeuri nyingi , sasa kwa kuwa mnatawaliwa na mwanamke tena kutoka Zanzibar mnakuwa wakali sana.
 
Hii ndio bongo, mtu akijisikia tu anaanzisha mada wala source hakuna, ushahidi hakuna, cha ajabu mtu anakuja kukomenti na kulaumu waislamu na kukashifu Uislamu bila hata kuomba uthibitisho wa jambo hilo!
 
Hii ndio bongo, mtu akijisikia tu anaanzisha mada wala source hakuna, ushahidi hakuna, cha ajabu mtu anakuja kukomenti na kulaumu waislamu na kukashifu Uislamu bila hata kuomba uthibitisho wa jambo hilo!
Either hujawahi kuishi Zanzibar ama umeamua kujitoa ufahamu tu ina maana kinachokushangaza hapo ni kitu gani? hujui kwamba hata wewe unaweza kuwa chanzo Cha habari humu kama ulikuwepo eneo la tukio?
 
Either hujawahi kuishi Zanzibar ama umeamua kujitoa ufahamu tu ina maana kinachokushangaza hapo ni kitu gani? hujui kwamba hata wewe unaweza kuwa chanzo Cha habari humu kama ulikuwepo eneo la tukio?
Tulishawazoea na kashfa zenu
 
Jiaminishe hivyo tu na wajinga wenzako, mnakamata watu kwa wivu wa kula kisa mna maisha magumu......nani aliyewakataza msiende shule?
Hivi wewe mbona ngumbaru sana, nani kakamatwa? Mi niamke zangu huko niseme padri shoga utakubali? Hilo jamaa linajoropokea na kwavile wagalatia hamna akili basi mmefata mkumbo
 
Either hujawahi kuishi Zanzibar ama umeamua kujitoa ufahamu tu ina maana kinachokushangaza hapo ni kitu gani? hujui kwamba hata wewe unaweza kuwa chanzo Cha habari humu kama ulikuwepo eneo la tukio?
Kwahiyo hilo eneo la tukio alikuwepo pekeyake?
Source: Trust me broo
 
Hivi wewe mbona ngumbaru sana, nani kakamatwa? Mi niamke zangu huko niseme padri shoga utakubali? Hilo jamaa linajoropokea na kwavile wagalatia hamna akili basi mmefata mkumbo
Mimi mwenyewe nimeshuhudia huu ujinga mtu katolewa kwake mchana anachapwa viboko na wapuuzi wa kitaa kisa eti anajifanya Muislam huku anakula mchana wakati wa mfungo wa ramadhani, nilishangaa sana.
 
Mimi mwenyewe nimeshuhudia huu ujinga mtu katolewa kwake mchana anachapwa viboko na wapuuzi wa kitaa kisa eti anajifanya Muislam huku anakula mchana wakati wa mfungo wa ramadhani, nilishangaa sana.
Ungeingilia kumtetea kwa kutembeza nakoz, kibodi woria wewe huna lolote
 
one mjinga huyu kuna mahusiano gani kati ya kulipa kodi kubwa na akili?
Akili ni uwezo wa kuyamudu mazingira yako na kukufanya uishi vizuri, vyeti sio akili kama unamuona mtu kwenye mazingira haya haya kaweza kutengeneza mtaji mkubwa hadi akawa mlipa kodi mkubwa huyo muheshimu hizo ndio akili siyo wewe una kariri na mivyeti yako tukikuweka mtaani unashangaa shangaa unabaki unaitukana serikali
 
Ungeingilia kumtetea kwa kutembeza nakoz, kibodi woria wewe huna lolote
Kumbuka aliyekuwa anapigwa ni mtu wao, mimi nilikuwa mgeni pale ndiyo kwanza nina siku mbili tu. Yaani nile halafu mshenzi aje kunitoa hotelini kisa nakula, aisee we acha tu......mimi na huu Ukibodi Woria (Keyboard Warrior) wangu kwa kweli mpaka Serikali itaingilia ndani tu, simlazii mtu damu na albadiri watanisomea maana hii dini haipendi ukweli, ukisema ukweli wanakusomea albadir ufe, eti Mungu anataka hivyo....jamani why are people so foolish kuamini upuuzi kama huu?
 
Either hujawahi kuishi Zanzibar ama umeamua kujitoa ufahamu tu ina maana kinachokushangaza hapo ni kitu gani? hujui kwamba hata wewe unaweza kuwa chanzo Cha habari humu kama ulikuwepo eneo la tukio?
Ni kujitoa fahamu.

Kwa mkoa wa Mjini Magh' zipo sehemu tele unazoweza kula, kunywa na kuvuta sigareti pasi usumbufu.
 
Kumbuka aliyekuwa anapigwa ni mtu wao, mimi nilikuwa mgeni pale ndiyo kwanza nina siku mbili tu. Yaani nile halafu mshenzi aje kunitoa hotelini kisa nakula, aisee we acha tu......mimi na huu Ukibodi Woria (Keyboard Warrior) wangu kwa kweli mpaka Serikali itaingilia ndani tu, simlazii mtu damu na albadiri watanisomea maana hii dini haipendi ukweli, ukisema ukweli wanakusomea albadir ufe, eti Mungu anataka hivyo....jamani why are people so foolish kuamini upuuzi kama huu?
Sasa kama hotel inauza chakula nani atakutoa hotelini? We kweli mbwiga
 
Dini ya kinafki sana hii,wakimaliza mfungo wanarudi kwenye pombe na ngono,wanajifanya wameshikilia dini wakimaliza tu wanaendeleza usodoma
 
Dini ya kinafki sana hii,wakimaliza mfungo wanarudi kwenye pombe na ngono,wanajifanya wameshikilia dini wakimaliza tu wanaendeleza usodoma
Ni changamoto sana Hawa watu mkuu
 
Dini ya kinafki sana hii,wakimaliza mfungo wanarudi kwenye pombe na ngono,wanajifanya wameshikilia dini wakimaliza tu wanaendeleza usodoma
Hizo ni chuki tu zinakusumbua waache wafunge wanavyoona wao sawa acha makasiriko
 
Hili tukio la kusikitisha limetokea huko Paje Mama lishe aliyekuwa amejifungia ndani ya nyumba huku akipika chakula ambacho baadae bodaboda hukichukua na kuwapelekea Wateja ambao hawajafunga wengi wao wakiwa wa imani nyingine amekamatwa na halmashauri baada ya baadhi ya majirani kuchukizwa na kuamua kutoa taarifa mbaya zaidi ametozwa faini ya tsh 50000/=

Ndugu zangu ktka Imani mbona hamuendi kwenye ma hotel ya kitalii mkakamata hao wanaopika mchana na kuwauzia Wazungu chakula?
  • Mimi nimechukua take away naenda kulia kwangu shida Iko wapi?
  • Mtu Yuko ndani kwake anawapikia watu chakula ambao hawajafunga na hawali hadharani shida Iko wapi?
Msingi mkuu wa hawa jamaa ni CHUKI
 
Back
Top Bottom