Lax JF-Expert Member Joined Feb 10, 2022 Posts 4,740 Reaction score 7,179 Mar 3, 2025 #341 Ngalikihinja said: Majibu hayo, hayaondoi changamoto ya akili iliyopo. Kuulizia utaratibu huku ukijua kutopika kabisa kwa wasio wa imani hiyo haiwezi kuwa sehemu ya taratibu, ni changamoto ya akili, tena kupikia ndani kwako..!! Click to expand... Mkuu kila sehemu kuna taratibu. Taratibu kua halali au sio ya halali ilo ni jambo lingine. Ni jambo la ajabu sana kushangaa uulizwaji wa taratibu
Ngalikihinja said: Majibu hayo, hayaondoi changamoto ya akili iliyopo. Kuulizia utaratibu huku ukijua kutopika kabisa kwa wasio wa imani hiyo haiwezi kuwa sehemu ya taratibu, ni changamoto ya akili, tena kupikia ndani kwako..!! Click to expand... Mkuu kila sehemu kuna taratibu. Taratibu kua halali au sio ya halali ilo ni jambo lingine. Ni jambo la ajabu sana kushangaa uulizwaji wa taratibu
Marco Polo JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 11,786 Reaction score 18,562 Mar 3, 2025 Thread starter #342 Naona uzi umefufuka. kobaz kwakweli ni changamoto sana.
Kitimoto JF-Expert Member Joined Aug 25, 2012 Posts 6,941 Reaction score 7,808 Mar 3, 2025 #343 Nina wateja wangu wa kipemba muda huu nawatengenezea Kitimoto niwapelekee wale mchana huu.
Man filandu JF-Expert Member Joined Aug 31, 2023 Posts 412 Reaction score 402 Mar 3, 2025 #344 Marco Polo said: Naona uzi umefufuka. kobaz kwakweli ni changamoto sana. Click to expand... Mtapigwa vijini yaliyenu hawachelewi hao
Marco Polo said: Naona uzi umefufuka. kobaz kwakweli ni changamoto sana. Click to expand... Mtapigwa vijini yaliyenu hawachelewi hao
R RESILIENT KATO JF-Expert Member Joined Aug 21, 2024 Posts 1,472 Reaction score 2,766 Mar 3, 2025 #345 Ujinga mtupu kabisa!