Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Majibu hayo, hayaondoi changamoto ya akili iliyopo. Kuulizia utaratibu huku ukijua kutopika kabisa kwa wasio wa imani hiyo haiwezi kuwa sehemu ya taratibu, ni changamoto ya akili, tena kupikia ndani kwako..!!
Mkuu kila sehemu kuna taratibu. Taratibu kua halali au sio ya halali ilo ni jambo lingine. Ni jambo la ajabu sana kushangaa uulizwaji wa taratibu
 
Naona uzi umefufuka.

kobaz kwakweli ni changamoto sana.
 
Back
Top Bottom