Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

upo nje ya madaa mkuu
 
akili za ugaidi wa kule amboni na kibiti ?
Kama mtu anaweza kucontrol uchumibwa nchi yako huyo amekuzidi akili wewe umekaririshwa inawezekana huna akili mwisho wa siku anakuajiri hizo ndio akili
 
wengi wao wajinga tu
 
Kwahiyo huko dhambi zinafanana ndiyo maana wanataka kutubu kwa pamoja kama watu wa Ninawi na wanaogopa kuangamizwa kama Sodoma na Gomora walivyochomwa moto.🥲🥲🥲
 
Viongozi wa dini wa zanzibar hasa waliokaribu na serikali akili zao sio kiimani hakuna andiko linalo zuiya mtu kupika chakula nyumbani kwake mchana wa ramadhani na kula sababu wapo watu wanao ruhusiwa kula mchana
Wagonjwa
Wazee
Wasafiri
Watoto
Wasio kuwa waisilamu
Ifahamike Zanzibari sio nchi ya kiisilamu sababu aitumii huku ya kiisilamu

Ndio maana kwenye mahoteli ya kitalii wanakula mchana kweupe hata pombe zimo uzinzi pia watalii wanatembea mchana kweupe na chupa za maji mkononi

Pia kuna mabenki ya riba nk hiyo danganya toto hili wazanzibari wasio jitambua waone serikali inawajali kumbe sio kweli unafiq mtupu
 
Unapo wakusanya waisilamu wote na kuwaita wafuga majini inabidi ututhitishie vinginevyo chuki ya kishamba inakusumbua
 
Kusema ukweli wafuasi wengi wa hii dini wamekosa elimu Dunia elimu pekee waliyokua mayo niya dini hivyo upande wa kufanya maamuzi na kufikili sahihi ina kua haibalance vizuri.
Kitendo cha kusema wafuasi wa dini ya uisilamu kuwa wamekosa elimu dunia kinatosha kukuhukumu yakuwa wewe ni mbumbu sababu umehukumu waisilamu wote duniani bila ushahidi tena wewe hata elimu ya kujisafi baada ya kunya huna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…