Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Unazuiwa tu fresh na hufanyi chochote kile. We nani bhana
 
Hadi anatozwa faini inamaana kunasheria amevunja ambayo adhabu yake ni tshs elfu 50,000 mwenye uelewa wa sheria hii aiweke hapa ilikuepusha lawama kwa pande zote
Sheria ya kwamba ukikitwa unapika nyumbani kwako. Hiyo sheria hakuna hata Taliban, Isis, Alqaeda hawana hiyo sheria. Sasa nyie ndugu zetu wa Kizimkazi, Makunduchi mnatumia Quran ipi?
 
Kuna yule sheikh anasema dhambi mbaya kabisa ya mtu wa imani yake ni bora kuliko wema mkubwa kabisa wa mtu asiye wa imani yake...aiseeee, maajab.
 
Kuna yule sheikh anasema dhambi mbaya kabisa ya mtu wa imani yake ni bora kuliko wema mkubwa kabisa wa mtu asiye wa imani yake...aiseeee, maajab.
Tatizo linaanzia hapo, ujinga umepewa kipaumbele kuliko maarifa na hekima.
 
Hayawani utawatambua kwa matendo yao,uis.... ni uhayawani
 
Hadi anatozwa faini inamaana kunasheria amevunja ambayo adhabu yake ni tshs elfu 50,000 mwenye uelewa wa sheria hii aiweke hapa ilikuepusha lawama kwa pande zote
Hakuna sheria yoyote ile aliyovunja, zaidi tu ya kuendekeza mambo ya kijinga katika jamii.

Wakati fulani hizo dini zimekuwa kama kichaka cha vichaa kujificha, na baadaye kiwasumbua wengine kupitia huo ukichaa wao!
 
Pamoja na kujifanya wameshika dini kuliko waarabu wenye dini yao lakini hadi wana askari mashoga huwasikii wakikemea huo ushetani wanaona kula hadharani ndio dhambi shenzi zao
 
Sometimes Imani zinaleta ukichaa.
 
Dini ya mnyaazi ina vichaa na machizi wa kutoshaaa.
Polee yake mama ntilie.
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hiki ulichokiandika hapa.
NUmbers dont lie my brother walipa kodi wakubwa nchi hii ndio hao hao kina bakhressa, dewji , gsm,sabodo etc nyie subirini kuajiriwa huku kwenye kutumia akili hamkuwezi maana hamna akili mmekariri tu
 
Kodi kubwa wanalipa watu wa Pombe na sigara na mabenki.
Hayo ni mashirika ya uma ila individuals top ten wote ni wale wale tu na mkristo alikuwa mengi tu amba sasahivi kafa kila kitu kimepotea , anayefuata hapo chini ni turkey na fida hussein
 

Attachments

  • Screenshot_20240324-100257_Chrome.jpg
    194 KB · Views: 3
Tukisema Makobas, akili zao ni finyu... Hamuelewi πŸ€’πŸ€’
 
Tukisema Makobas, akili zao ni finyu... Hamuelewi πŸ€’πŸ€’
katika walipa kodi wakubwa tanzani top 15 mkristo mmoja tu waliobaki wote waislamu haya hapo nani ana akili?
 

Attachments

  • Screenshot_20240324-100257_Chrome.jpg
    194 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…