Wakamatwa Zanzibar wakipika chakula kwa ajili ya kuliwa mchana

Hii naona imekaa kiuchochezi maana huwezi pika chakula kwako ndani halafu ukamatwe tena ukizingatia siyo imani yako kufunga. Mbona mahotelini watalii wanakula? hebu jiulize au umeleta hii stori tu humu kutaka gombanisha watu? ndiyo ujiulize kwanini mahotelini hawajakamatwa ni sababu stori yako inaulakini.
 
Una uhakika mna autonomy mkuu? 🤓 🤓 🤓
 
Kuna mmoja ni wa kike yupo huku bara ni rafiki yangu imebidi tu anigande coz kuna kitu ananufaika kwangu nafikiri hii program ikiisha akirudi kwao mawasiliano yatakata, amekuwa free kwangu mpaka huwa ananiita chogo
Huo ndo ukweli huwa mara nyingi wakifika bara wanakuta mambo tofauti sana lazima hakugande apo
 
Vipi na nyinyi mlioamrishwa kulana mikundoor makanisani
 
Rudi kwenu ewe kafiri
 
soma post number #120 usiwe unakurupuka ku comment bila kuelewa kilichoandikwa.
 
Nina kamchepuko changu kimeninyima mchezo kanasema hadi mwezi huu wa kufunga uishe..nimebaki nashangaa tu..kwamba baada ya mwezi ni ruksa kufungulia bomba sio??..

Unafki tu mtupu.
 
Nina kamchepuko changu kimeninyima mchezo kanasema hadi mwezi huu wa kufunga uishe..nimebaki nashangaa tu..kwamba baada ya mwezi ni ruksa kufungulia bomba sio??..

Unafki tu mtupu.
Dhambi kwao ni Kula nguruwe tu
 
soma post number #120 usiwe unakurupuka ku comment bila kuelewa kilichoandikwa.
wewe ndiyo unakurupuka , sababu kipindi hiki kinafahamika kabisa ni kipindi cha kwa resma na ramadhani watu wote wamefunga sasa hao wanaokula kina nani? na kwa nini wasipike makwao?
 
Mtu amefunga lakini bado anamuonea wivu ambae hajafunga
 
Tanzania haina Dini, hawa walio watoza faini wanapaswa kuchukuliwa hatua
 
wewe ndiyo unakurupuka , sababu kipindi hiki kinafahamika kabisa ni kipindi cha kwa resma na ramadhani watu wote wamefunga sasa hao wanaokula kina nani? na kwa nini wasipike makwao?
Ubongo wako unakutuma kufikir kwamba Kila mtu amefunga sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…