uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Motsepe na genge lake bado hawana uhakika wa kuwa na Afcon msimu wa 2025 kwa sababu inaingiliana na ratiba mpya ya vilabu duniani.
Wakati huo huo msimu huu inaonekana kabisa Euro inaenda kuwa na ushindani mkubwa na mvuto usiomithirika kiasi kwamba watu hata hawaongelei Copa America.
Namshauri Motsepe asiiguse kabisa Afcon 2027 atatujua vijana wa Samia (wakati huo ntakuwa mzee wa Samia)
Wakati huo huo msimu huu inaonekana kabisa Euro inaenda kuwa na ushindani mkubwa na mvuto usiomithirika kiasi kwamba watu hata hawaongelei Copa America.
Namshauri Motsepe asiiguse kabisa Afcon 2027 atatujua vijana wa Samia (wakati huo ntakuwa mzee wa Samia)