Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Kila team inayocheza na simba inahaidiwa pesa nono mwisho wa siku wanacheza kwa vurugu kutaka kupata hizo pesa,
Niliangalia match ya simba na SBS yani ni kama uwanja wa vita mda wowote wachezaji wanaumizwa.
Huu mtindo sijui umeanzia wapi.
Niliangalia match ya simba na SBS yani ni kama uwanja wa vita mda wowote wachezaji wanaumizwa.
Huu mtindo sijui umeanzia wapi.