Pre GE2025 Wakati CHADEMA mmejikita twita CCM wapo kimkakati kwa maandalizi ya 2025 msije kusema mmeibiwa

Pre GE2025 Wakati CHADEMA mmejikita twita CCM wapo kimkakati kwa maandalizi ya 2025 msije kusema mmeibiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
 
Kwa hiyo huko twitani Sisiemu hawamo?

Na hivi mtu hawezi kufanya maandalizi ya 2025 huku akiwa twita?

Kwamba hakuna wapiga-kura twita? Unaakili au umetumwa?
Ngoja nikwambie ndugu kama unaakili utaelewa ! Watu walioko vijijini hawaijui twita ! Na hata hao walioko twita ni wanaharakati tu ambao wengine hawaishi Tanzania na hawawezi kupiga kura ! Kuhusu ccm kuwemo twita wapo kwa ajili kuangalia udhaifu wenu lakini hawaishi twita na kulala na kutegemea twita kwamba itawasaidia na pengine mikakati yao sio kwenda kubishana twita ni kwenda kwa wananchi nb kama umezaliwa kuanzia 2000 huwezi kuelewa kitu
 
Kweli kabisa mkuu, ila kwani CDM hawafanyi mikutano?.

Tatizo lililopo ni kwa media kutoipa chadema airtime yakutosha ba jambo la pili wapiga kura X a.k.a tweeter wapo na wengi, ungesema baadhi awapigi kura labda.
 
Unazungumzia CCM ipi hiyo?
Ni hii hii CCM ya mama Samia ya kuzurura na wasanii Korea?
Ama unazungumzia CCM ya machawa mtandaoni?
Ama unazungumzia CCM ya kubaka na kulawitiana?
Ama unazungumzia hii CCM ya vichwa maji (Nchimbii, Makalaa, Joketii) ya kufanya matamasha?
 
Ccm iko mtaani

Ccm sasa hv huko mitaani inaandikisha wanachama wao wapya kwa ajiri ya kuwapa kadi , kuwaingiza katika mfumo wao mpya wa usajiri wa ki electronik

Kila Mwanachama lazima awe na
Kadi ya ccm
Kadi ya NIDA kitambulisho cha uraia
Kadi ya NEC kitambulisho cha mpiga kura
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Wewe unaishi wapi wewe,hao wa twitter ni wanaharakati majembe yote yako field,watu wanapiga kazi na mwitikio ni mzuri sana,hata hao viongozi wenu wanajua ndiyo maana wanahaha kununua wasani,wapinzani uchwara na kujinasabisha na vilabu vya Simba na Yanga wameshasoma upepo kuwa Chadema wako moto bado. Wewe mbwela mbwela tu hapo ukiamini kuwa siasa tunafanyia twitter. We are miles ahead of you.
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Ok lakini tunaona ccm ikifanyia kampeni nje ya nchi kama kule Korea, tumeona wasanii wamevaa matisheti ya mama. Kweli mama atashinda kwa mikakati hii

afadhali cdm wanatumia twiter watawafikia watu wengi kwa muda mfupi
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
huwa hawajifunzi kabisa,

ile kujimwambafai, kujipiga kifua, mihemko na matusi mitandaoni, kaburi lao la mwisho na maziko kabisa hua ni wakifika field kwa wananchi, utacheka :pedroP:

kwanza mgombea wao aliekua akisifiwa sana na kupambwa kwelikweli mitandaoni, field anaweza kujikuta yuko pekeyake tu, hafahamiki, haaminiki, wala hajulikani, wananchi wanamuona kama kibaka tu.:pedroP:

mbaya zaidi hata ofisi tu za chama huwa hawana, na hiyo hupoteza zaid imani kwa wananchi, na wanakua na hofu na woga dhidi ya mgombea huyo,

huhisi huenda ni tapeli wa mjini au kijana alie changanyikiwa anatafuta masaada, maana hajulikani kabisa ispokua anaweza kua maarufu mno twitter na facebook....

lwenye utetezi wao jii ya ofisi zao zilipo sasa,
utaskia anajitete ooh tuna ofisi zetu wilayani mtaa fulani, hata ukikosa nauli we njoo tu ofisini kwetu utasaidiwa uendelee na safari yako :pedroP:
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Uzuri ni kuwa CCM huwa inajimaliza yenyewe kwa jinsi inavyoishiwa na haina jipya. CCM ingekuwa na uhakika wa kushinda halali ingeita dunia yote waje wawe wasimamizi wa uchaguzi ili ionyeshe kuwa Tanzania kuna demokrasia. Ktu ambacho pengine hujui ni kuwa CCM (dola) kwa kushirikiana na TISS huwa wanafanya survey ya opinion polls mara kwa mara kwa kutumia wataalam kutoka nje. Matokeo yake kartibu mara zote huonyesha haikubaliki. Zenji huko ndiyo kabisaa. Mwinyi anapumulia mashine.
 
Mpiga kura yuko kokote mradi iwe ndani ya jamhuri na awe amekidhi vigezo,ndo maana ata hao wa twitter bado wanaishi mitaani..cha msingi tume iwe huru ili kila mtu avune alichokipanda.tofauti na hapo ni ibabaifu wa muda na pesa.
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Wakati CHADEMA wanapita huko vijijini wakielimisha watu hadi wenzako wakawa wanalalamika wewe ulikua nado umelala?
 
Mil 200 per month !
Aisee hiyo ndo unasema inaliwa na inatosha kuwapa vijana na kununua magari na kuyahudumia na kulipa watumishi??
Una utani kijana, na hao ccm wanapata ruzuku kiasi gani kwa mwezi??
 
Ngoja nikwambie ndugu kama unaakili utaelewa ! Watu walioko vijijini hawaijui twita ! Na hata hao walioko twita ni wanaharakati tu ambao wengine hawaishi Tanzania na hawawezi kupiga kura ! Kuhusu ccm kuwemo twita wapo kwa ajili kuangalia udhaifu wenu lakini hawaishi twita na kulala na kutegemea twita kwamba itawasaidia na pengine mikakati yao sio kwenda kubishana twita ni kwenda kwa wananchi nb kama umezaliwa kuanzia 2000 huwezi kuelewa kitu
Hujitambui kweli, kwani mikutano anayofanya Mbowe huko kaskazini ni mjini? Kingine huko Twitter si ndio wameanza vuguvugu la Gen-Z huko Kenya? Very poor reasoning
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Hivi kuna chama kinaenda kufanya mikutano ground kuliko CDM? Msingekua na sababu yakukusanya shahada za watu zakupigia kura nakudanganya vijana wajinga kua hawawezi kupata ajira bila kua na kadi ya sisiemu
 
Back
Top Bottom