Pre GE2025 Wakati CHADEMA mmejikita twita CCM wapo kimkakati kwa maandalizi ya 2025 msije kusema mmeibiwa

Pre GE2025 Wakati CHADEMA mmejikita twita CCM wapo kimkakati kwa maandalizi ya 2025 msije kusema mmeibiwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Upinzani muhimu wajifunze namna ya kuzilinda kura zao zisichakachuliwe tu 🙄😳🙌
 
Hiyo kauli ya wapiga kura hawapo "Twitter " ndio ilimponza Magufuli hujiulizi kwanini aliamua kuufungia huo mtandao?

Hao waliopo X ndio hao wapo mtaani.

Pia nguvu ya huo mtandao ndio imechangisha milioni 28 ndani ya siku 4 kuwatoa watu wawili gerezani na matibabu ya kijana aliyetekwa.

Mwenyekiti wa UVCCM analia X ifungiwe kila siku unafikiri kwanini hata Tiktok au Instagram ifungiwe
?

Jibu ni jepesi mada zilizopo X ni nzito kuamsha mengi ya serikali hivyo kama hawana hofu kwanini watake kuufungia huko unaposema wanashinda vijana wa CHADEMA?
 
Kwa sasa vijana wa Mbowe wako bize na uchaguzi wa TLS utadhani chama cha mawakili ni tawi la CHADEMA.. wapumbavu mno. Nyumbu zinadai hazimtaki mmojawapo wa wagombea urais wa TLS kwa sababu ni kada wa CCM. Inashangaza kuona watu wasio mawakili wakizua tafrani mtandaoni kwa uchaguzi usiowahusu.
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Vijana wa CCM hawapo twita ndiyo maana wanataka ifungwe? Twita haina impact ndiyo maana kampeni ya kuifunga imepamba moto?
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Acha uchawa huna lolote!
 
Kwa sasa vijana wa Mbowe wako bize na uchaguzi wa TLS utadhani chama cha mawakili ni tawi la CHADEMA.. wapumbavu mno. Nyumbu zinadai hazimtaki mmojawapo wa wagombea urais wa TLS kwa sababu ni kada wa CCM. Inashangaza kuona watu wasio mawakili wakizua tafrani mtandaoni kwa uchaguzi usiowahusu.
Wewe ni kenge kabisa!
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
CDM wanakusanya kodi? Huo mkakati wa CCM ni upi? wa kuondoa umasikini au wa kupambana na ufisadi?
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Mikakati ya wizi wa kura au?
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Kweli bhana!

Screenshot_2024-07-09-23-02-21-1.png
 
Ngoja nikwambie ndugu kama unaakili utaelewa ! Watu walioko vijijini hawaijui twita ! Na hata hao walioko twita ni wanaharakati tu ambao wengine hawaishi Tanzania na hawawezi kupiga kura ! Kuhusu ccm kuwemo twita wapo kwa ajili kuangalia udhaifu wenu lakini hawaishi twita na kulala na kutegemea twita kwamba itawasaidia na pengine mikakati yao sio kwenda kubishana twita ni kwenda kwa wananchi nb kama umezaliwa kuanzia 2000 huwezi kuelewa kitu
Umeandika pwenti kuntu.
Ni Bora waende vijijini kuweka mipango ya kuwarubuni walalahoi wanaotaka uhakika wa nguo na chakula
 
Nape kathibitisha uwizi wa kura wa ccm na yeye akiwa engineer wa kuiba kura
 
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii !! Watu wenye akili na weledi na wapiga kura wa kweli hata twita hawapo na wengine hata hawaijui kabisa twita ,Vijana wa upinzani sijui kwa sababu ya uvivu kuanzia asubuhi mpaka asubuhi wapo twita kubishana ! Kuparuana na nakusherehesha mtandao kwa vimikutano uchwara vya online ! Wenzenu ccm wanajikita kwenye vijiji kutoa elimu mbali mbali kuhusu uchaguzi na kueneza sera za chama chao! Kijiji kwa Kijiji na hakuna kwa sasa Kijiji ambacho ccm wamekiacha yaani wametawanyika wapo mtaa kwa mtaa na nyumba kwa nyumba,jifunzeni matumizi mazuri ya ruzuku ! Matumizi ya ruzuku huwa kazi yake ni kujiimarisha kupitia kwa makundi mbali mbali ya chama ,timu zingekuwa zimetawanywa huku na kule ,lakini Leo anaeonekana anapambana ni mbowe na Tundu peke yao ! Kwanini wawe wao tu ! Ni kwa sababu ya ubinafsi wa kuogopa kutenga bajeti ya kuwezesha vijana kwenda kukipambania chama ! Kwa maana ya bawacha na bavicha ! Lakini inaonekana bajeti ya kifedha haitoshi kitu ambacho sio kweli ,matumizi ya ruzuku ya chadema ni ya anasa zaidi kuliko kukijenga chama chenyewe! Magari ya chama kwenye Kanda kwa sasa hayaonekani yaliko ! Haya yangesaidia kuzipeleka timu za hamasa vijijini ,sijajua yaliuzwa au yamefichwa sehemu ! Chama kimejaa ubinafsi kupitiliza ! Kama mtakaa kitako twita na kuwaachia kazi Tundu na freeman peke yao ,nawaambia pasi na shaka uchaguzi ujao hamtaambulia hata Jimbo Moja hata kama nyinyi ndio mtaruhusiwa kuhesabu kura na kusimamia uchaguzi na ccm wakalale nyumbani hamtachukua Jimbo hata Moja !
Nafikiri hujaona mikutano ya hadhara cdm bado
 
Back
Top Bottom