Wakati hadi Ethiopia wanafanikiwa kupanda miti bilion 20 kwa miaka 4 sie huku tunaendekeza tu wafugaji kukata miti

Wakati hadi Ethiopia wanafanikiwa kupanda miti bilion 20 kwa miaka 4 sie huku tunaendekeza tu wafugaji kukata miti

Hili nalifanyia utafiti bado
Na wamejenga bwawa kubwa na umeme unatumika fully at home,hapa TZ gesi ipo wanauza wanategea umeme wa bwawa.Masela wa Dsm wanataka wawabembeleze wakubwa wao ili generator ziuzwe but hook and crook,bado hujagusia bundles na tozo za ewura as if sisi ndo bosi wa ewura,hivi tunawalipa kwa lipi
 
Back
Top Bottom