Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
 
Mkuu,wakenya wanajenga nchi Yao,,mwisho ya hayo Sheria kandamizi lazimq zibadilishwe, huwezi kwenda peponi bila kufa,

Tanzania Sehemu tulivu na amani hiyo 'Mantra' ya ulaghai wa wezi waendelee kuiba bila kusumbuliwa,

Reginald Mengi (RIP) tweet yake ya mwisho Ali tweet " Wenye Nacho wanaishi kwa amani kwa hisani ya wasio nacho"
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Wewe ndo Huna akili, hajui wanachokipigania wakenya!. Funga domo lako!
 
Alhamisi tunaenda ikulu kumng'oa ruto, mchoro tayari tunao, tukishamalizana na wahuni wa kenya tunakuja tz kukiwasha, hapo siku mbili tu chura kiziwi anarudi kwao au anakimbilia kwa wajomba zake, na hela yetu anarudisha maana duly atakuwa mikononi mwetu, then tunaelekea uganda, hadi drc.
 
Alhamisi tunaenda ikulu kumng'oa ruto, mchoro tayari tunao, tukishamalizana na wahuni wa kenya tunakuja tz kukiwasha, hapo siku mbili tu chura kiziwa anarudi kwao au anakimbilia kwa wajomba zake, na hela yetu anarudisha maana duly atakuwa mikononi mwetu, then tunaelekea uganda, hadi drc.
Unataka kufa au kujinyonga? Njoo nikupe kibarua ujikimu kimaisha. Sherti ni kuchoma vyeti vyako vya taaluma mana havina msaada tena
 
Wewe ndio mjinga, unajidanganya tu,uharibifu unaofanywa na wakenya hasara yake ni ya muda mfupi, lakini faida yake itadumu karne na karne.jidanganye!
Sasa wewe una Kiduka chako au Kimgahawa halafu waje wavunje grill waibe halafu wapige kiberiti halafu uje humu sijui kama utaposti ulyoyaposti hapa?!
 
Back
Top Bottom