Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaharibu nch yao kwa mikono yao wenyewe. Na sisi hatuna mpango wa kuwapokea kama wakimbizi. Tulionao wa burundi na drc wanatoshaSisi ngoja tuendelee kuvuta shuka tungoje mapambazuko!
Kenya kumeshapambazuka huko wako kazini.
Nchi ikiwa na raia waoga ni amani, lakini nchi ikuwa na askari waoga ni fujo tu.Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Fujo gani tena wakati kunakuwa hamna machafuko kama ya kenyaNchi ikiwa na raia waoga ni amani, lakini nchi ikuwa na askari waoga ni fujo tu.
Tanzania itakuwa juuu soon tu kuzidi kenya haya mambo ni slowly tuLicha ya kusema wameharibu kiuchumi nani yuko juu??
Inawezekana sio chadema ila akaja kuwa mtoto wako au mjukuu wako akawa mkombozi..Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Kwani hatujakombolewa bado? Unataka ukombozi gani. Mama kawapa uhuru wote ukitaka tukana ukitaka andamana. Sasa unataka ukombozi gani tenaInawezekana sio chadema ila akaja kuwa mtoto wako au mjukuu wako akawa mkombozi..
Don't take things for granted!
UnaotaWakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Na kama haujui walioandamana Kenya sio wapinzani tuu, ficha kutokujua kwako.Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Soon lini?Tanzania itakuwa juuu soon tu kuzidi kenya haya mambo ni slowly tu
Lini wakenya wameomba hifadhi ya ukimbizi kwa wingi Tanzania?Wanaharibu nch yao kwa mikono yao wenyewe. Na sisi hatuna mpango wa kuwapokea kama wakimbizi. Tulionao wa burundi na drc wanatosha
Hakuna majizi. Ripoti ya CAG huwa ni queries tu. Akielekezwa vizuri na vitabu vikawekwa sawa hakunaga wizi. Kazi ya cag ni kuuliza tu kwamba hela mbona haionekani lakini hana uhakika kama imeibiwa. Ingekuwa hivyo hata kipindi cha jpm ilionelana kaiba 1.5 trilionSoon lini?
Soon wakati majizi ndio yanazidi kuitafuna nchi na yamepewa baraka na huyo mama kula kutokana na View attachment 3026769urefu wa kamba ?
Unafikiri mafanikio yanapatikana kwa kusema mama anaupiga mwingi?
Maandamano ya jana yamefanya muswada umegomewa kusainiwa huoni matokeo ?
😂😂😂😂look at youHakuna majizi. Ripoti ya CAG huwa ni queries tu. Akielekezwa vizuri na vitabu vikawekwa sawa hakunaga wizi. Kazi ya cag ni kuuliza tu kwamba hela mbona haionekani lakini hana uhakika kama imeibiwa. Ingekuwa hivyo hata kipindi cha jpm ilionelana kaiba 1.5 trilion
Sawa hakuna majizi ila kuna walaji sio?Hakuna majizi. Ripoti ya CAG huwa ni queries tu. Akielekezwa vizuri na vitabu vikawekwa sawa hakunaga wizi. Kazi ya cag ni kuuliza tu kwamba hela mbona haionekani lakini hana uhakika kama imeibiwa. Ingekuwa hivyo hata kipindi cha jpm ilionelana kaiba 1.5 trilion
Look at me carefully otherwise you gana end up with emptiness.😂😂😂😂look at you
Labda juu kwa umbea na kuwa na chawa na wajinga wengi wasioweza kudai haki zao.Tanzania itakuwa juuu soon tu kuzidi kenya haya mambo ni slowly tu
Wewe ndio unatoa hiyo buku saba?🙂sawa subiri buku saba yako.