Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

Sisi ngoja tuendelee kuvuta shuka tungoje mapambazuko!
Kenya kumeshapambazuka huko wako kazini.
 
Sisi ngoja tuendelee kuvuta shuka tungoje mapambazuko!
Kenya kumeshapambazuka huko wako kazini.
Wanaharibu nch yao kwa mikono yao wenyewe. Na sisi hatuna mpango wa kuwapokea kama wakimbizi. Tulionao wa burundi na drc wanatosha
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Nchi ikiwa na raia waoga ni amani, lakini nchi ikuwa na askari waoga ni fujo tu.
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Inawezekana sio chadema ila akaja kuwa mtoto wako au mjukuu wako akawa mkombozi..
Don't take things for granted!
 
Inawezekana sio chadema ila akaja kuwa mtoto wako au mjukuu wako akawa mkombozi..
Don't take things for granted!
Kwani hatujakombolewa bado? Unataka ukombozi gani. Mama kawapa uhuru wote ukitaka tukana ukitaka andamana. Sasa unataka ukombozi gani tena
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Unaota
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Na kama haujui walioandamana Kenya sio wapinzani tuu, ficha kutokujua kwako.
 
Tanzania itakuwa juuu soon tu kuzidi kenya haya mambo ni slowly tu
Soon lini?

Soon wakati majizi ndio yanazidi kuitafuna nchi na yamepewa baraka na huyo mama kula kutokana na
images (20).jpeg
urefu wa kamba ?

Unafikiri mafanikio yanapatikana kwa kusema mama anaupiga mwingi?

Maandamano ya jana yamefanya muswada umegomewa kusainiwa huoni matokeo ?
 
Wanaharibu nch yao kwa mikono yao wenyewe. Na sisi hatuna mpango wa kuwapokea kama wakimbizi. Tulionao wa burundi na drc wanatosha
Lini wakenya wameomba hifadhi ya ukimbizi kwa wingi Tanzania?

Hata PEV ya 2007-2008 wakenya hawakukimbilia Tanzania kuomba hifadhi kama ilivyokuwa kwa wingi wa wakimbizi kambi za Kigoma ambayo ni jirani kwa DRC na Burundi.

Nilitarajia useme labda kulikuwa na kambi ya wakimbizi Sirari, Isebania n.k ila hakukuwa na kambi.

Mwisho tu kwa kukusaidia katika diaspora ambao nimekutana nao hapa kwa EA wakenya wametufunika mbali sana ni ngumu kukutana na mtanzania kuliko mkenya.
 
Soon lini?

Soon wakati majizi ndio yanazidi kuitafuna nchi na yamepewa baraka na huyo mama kula kutokana na View attachment 3026769urefu wa kamba ?

Unafikiri mafanikio yanapatikana kwa kusema mama anaupiga mwingi?

Maandamano ya jana yamefanya muswada umegomewa kusainiwa huoni matokeo ?
Hakuna majizi. Ripoti ya CAG huwa ni queries tu. Akielekezwa vizuri na vitabu vikawekwa sawa hakunaga wizi. Kazi ya cag ni kuuliza tu kwamba hela mbona haionekani lakini hana uhakika kama imeibiwa. Ingekuwa hivyo hata kipindi cha jpm ilionelana kaiba 1.5 trilion
 
Hakuna majizi. Ripoti ya CAG huwa ni queries tu. Akielekezwa vizuri na vitabu vikawekwa sawa hakunaga wizi. Kazi ya cag ni kuuliza tu kwamba hela mbona haionekani lakini hana uhakika kama imeibiwa. Ingekuwa hivyo hata kipindi cha jpm ilionelana kaiba 1.5 trilion
😂😂😂😂look at you
 
Hakuna majizi. Ripoti ya CAG huwa ni queries tu. Akielekezwa vizuri na vitabu vikawekwa sawa hakunaga wizi. Kazi ya cag ni kuuliza tu kwamba hela mbona haionekani lakini hana uhakika kama imeibiwa. Ingekuwa hivyo hata kipindi cha jpm ilionelana kaiba 1.5 trilion
Sawa hakuna majizi ila kuna walaji sio?
 
Back
Top Bottom