Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Tanzania ni SOVIET Kenya ni USA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshatubu lakini ili Mungu akupokee upumzike?nataka kufa,
Hapana, kenya ni USBTanzania ni SOVIET Kenya ni USA.
Chawa kama chawaWakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Hao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Iko siku tuaandamana kwa AMANI hadi Ikulu kwa Chura tumbandishe Mtumbwi arudi Kizimkazi tutamwambia Bashe apige kasia na yeye apitilize hadi Mogadishu.Tanzania ni SOVIET Kenya ni USA.
Mwambie mbowe afe kwa kupigwa risasi akiwa mbele kwenye maamdamano ili damu yake iwe mbegu kwa ukomboziHao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.
🫡 ✌️✌️✌️ Huyu Mama yeye ndio anaendeza UCHOKOZI.Hao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.
Hivi kinachoendelea kenya ni maandamano ya amani au ni uhuni tu ule, mwanzoni walianza vizur ila naona sasa hivi wanaharibu kuchoma vitu kuvamia bunge na kuharibu sasa hayo maandamano au ni fujoWakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
ndioUmeshatubu lakini ili Mungu akupokee upumzike?
Hiyo alhamis itakukuta unaranda randa humu JF na vijimaneno vyako.😎Alhamisi tunaenda ikulu kumng'oa ruto, mchoro tayari tunao, tukishamalizana na wahuni wa kenya tunakuja tz kukiwasha, hapo siku mbili tu chura kiziwi anarudi kwao au anakimbilia kwa wajomba zake, na hela yetu anarudisha maana duly atakuwa mikononi mwetu, then tunaelekea uganda, hadi drc.
Umemaliza?Hiyo alhamis itakukuta unaranda randa humu JF na vijimaneno vyako.
Ndio.Umemaliza?
sawa subiri buku saba yako.Ndio.
Anajiona ana akili kuliko wakenya.Watu wa hivyo mara nyingi niwale wanufaika na hali iliyopo lika kujali wengine wengi wanaoumia.Hapo anajifanya mzalendo kumbe hakuna kitu.Wewe ndio mjinga, unajidanganya tu,uharibifu unaofanywa na wakenya hasara yake ni ya muda mfupi, lakini faida yake itadumu karne na karne.jidanganye!
Hizi ni dalili za ugonjwa wa kichochoWakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Hao Kenya hata wapigane mwaka mzima, bado wakianza watatuzidi tu kwa maendeleo. Kenya sio nchi ya mazombie.Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Usiyependa vurugu au ni jizi kwenye system unaogopa mambo yakibadilika utashikishwa ukuta?Kama mwanachi nisiyependa vurugu
Yaani uñataka ujinga wako uupeleke Kenya swainiWakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.