Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Chawa kama chawa
 
TANZANIA SIYO KISIWA NA YOTE YANAANZA TARATIBU KIBURI CHA WALIOPEWA DHAMANA ZA KUTUONGOZA UPENDELEO KATIKA NAFASI ZA UMMA MFANO UPANDISHWAJI WA WALIMU MSIMU HUU UMEKUWA NA UPENDELEO KULIKO MIAKA YOTE KUWAACHA WANAOSTAHILI KWA KIBURI TU,MADAI YA WAFANYAKAZI KUWEKWA PEMBENI KWA KIBURI,HUDUMA MAHOSPTALI HATA KAMA UNA BIMA HAKUNA HUDUMA WALA DAWA KIBURI NI BOMU LINALOWEZA KULIPUKA WAKATI WOWOTE WAKIENDELEA KUPUUZA VILIO VYA WANYONGE.
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Hao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.
 
Hao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.
Mwambie mbowe afe kwa kupigwa risasi akiwa mbele kwenye maamdamano ili damu yake iwe mbegu kwa ukombozi
 
Hao chadema unaowatuhumu ni wastaarabu Sana na ni watanzania haswaa ndo maana unaona bado taifa Lina utulivu SI wanasiaasa kama wa nchi nyingine zinazotuzunguka.pay a respect to them hata mama analijua Hilo no matter what.tusiwe tunapost vitu kichawa humu.
🫡 ✌️✌️✌️ Huyu Mama yeye ndio anaendeza UCHOKOZI.
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Hivi kinachoendelea kenya ni maandamano ya amani au ni uhuni tu ule, mwanzoni walianza vizur ila naona sasa hivi wanaharibu kuchoma vitu kuvamia bunge na kuharibu sasa hayo maandamano au ni fujo
 
Alhamisi tunaenda ikulu kumng'oa ruto, mchoro tayari tunao, tukishamalizana na wahuni wa kenya tunakuja tz kukiwasha, hapo siku mbili tu chura kiziwi anarudi kwao au anakimbilia kwa wajomba zake, na hela yetu anarudisha maana duly atakuwa mikononi mwetu, then tunaelekea uganda, hadi drc.
Hiyo alhamis itakukuta unaranda randa humu JF na vijimaneno vyako.😎
 
Wewe ndio mjinga, unajidanganya tu,uharibifu unaofanywa na wakenya hasara yake ni ya muda mfupi, lakini faida yake itadumu karne na karne.jidanganye!
Anajiona ana akili kuliko wakenya.Watu wa hivyo mara nyingi niwale wanufaika na hali iliyopo lika kujali wengine wengi wanaoumia.Hapo anajifanya mzalendo kumbe hakuna kitu.
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Hizi ni dalili za ugonjwa wa kichocho
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Hao Kenya hata wapigane mwaka mzima, bado wakianza watatuzidi tu kwa maendeleo. Kenya sio nchi ya mazombie.
 
Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.

Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.

CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Yaani uñataka ujinga wako uupeleke Kenya swaini
 
Back
Top Bottom