Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Yes, I did and the level of stupidity I witnessed is shamefulLook at me carefully otherwise you gana end up with emptiness.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, I did and the level of stupidity I witnessed is shamefulLook at me carefully otherwise you gana end up with emptiness.
namfahamu anayewapa, hujasikia ruto karusha taulo ulingoni? hatumwachi hata hvo kesho [/QUOTE]namfahamu anayewapa, hujasikia ruto karusha taulo ulingoni? hatumwachi hata hvo kesho tunaamka naye.Wewe ndio unatoa hiyo buku saba
Upuuzi mtupu🙂namfahamu anayewapa, hujasikia ruto karusha taulo ulingoni? hatumwachi hata hvo kesho
kwamba ruto kafanya jambo la kipuuzi kurusha taulo ulingon au?Upuuzi mtupu
Mpambane na maisha gani mliyonayo ninyi takataka ?Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Wasted spermWakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.
Wajinga kama wewe ndo maana watu wanaiba wanavyotaka na hawafanywi kitu.maandamano ya kenya yamekuwa na mafanikio ndo maana serikali imeamua kuachana na hiyo bill.watanzania tuache ujinga tupambane na maovu yanayofanywa na viongozi.Wakati Kenya wanaendelea kuharibu Taifa lao kwa upumbavu wa vijana wachache, sisi tuendelee kujenga Taifa letu.
Kuna watu hasa Chadema wanawaza kuna siku nchi yetu itakuwa kama Kenya, niwaambie tu “HAIWEZEKANI”, hii ni kutokana na sababu nyingi hasa za Kisayansi, Kijamii na hata asili ya siasa ya nchi husika, sisi nchi yetu ni “NCHI YA AMANI NA UTULIVU”, hiyo ndio Brand yetu na ndio Culture yetu.
CHADEMA ndio wanajikuta wakombozi wa Taifa hili, yani wanajifanya wana hasira sana na wanatamani iwe kama KENYA. Sasa niwaambie tu, CHADEMA ni watu wa mwisho kabisa kuwaamini kama wanaweza kuwapeleka popote.