Wakati Kenya wakiharibu nchi yao wenyewe, acha sisi tupambane na maisha

Wewe ndio unatoa hiyo buku saba
namfahamu anayewapa, hujasikia ruto karusha taulo ulingoni? hatumwachi hata hvo kesho [/QUOTE]namfahamu anayewapa, hujasikia ruto karusha taulo ulingoni? hatumwachi hata hvo kesho tunaamka naye.
 
Muda mwingine inabidi tugombane kidogo ili mambo yaende !!!
 
Mpambane na maisha gani mliyonayo ninyi takataka ?
Mbwa kabisa
 
Wasted sperm
 
Wajin
Wajinga kama wewe ndo maana watu wanaiba wanavyotaka na hawafanywi kitu.maandamano ya kenya yamekuwa na mafanikio ndo maana serikali imeamua kuachana na hiyo bill.watanzania tuache ujinga tupambane na maovu yanayofanywa na viongozi.
 
Wanaoharibu nchi sio hao vijana ambao hawana future..., Vijana ambao hawana hata uhakika wa kazi yoyote ya kuwapatia ujira na maisha yao ni ya kubahatisha wakati huo huo wahuni wachache wanaendelea kufuja mali na kufirisi nchi yote hayo wanafanya kwa kutumia jasho la walipa Kodi
 
Mnavyoendelea kuuza kila kitu na kuweka rehani nchi , kuzalisha bomu la taifa la kesho lisilo na ujira wa uhakika Amini nakwambia itakuwa mbaya kuzidi Kenya as hii nchi ni kubwa zaidi hivyo ni vigumu kui-handle; hata paka akiwa cornered hugeuka na kuwa Chui....
 
Bora kizazi chenu kilikuja baada ya majemedali na wazalendo wa kweli kuipigania nchi yao. Kizazi chenu kingekuwepo Tanganyika isingejitawala katu.
 
Hayo maandamano unayoyaita kuharibu nchi ndiyo yaliyotuletea mfumo wa vyama vingi miaka ya tisini, nyinyi bado mnaongozwa na CCM, yakaleta katiba mpya mwaka wa 2010. Tangu hayoamaandamano yaanze waTZ wengi sana wanashangaa vijana wakenya wanapata vipi uhuru wa kumtukana rais, kukabiluana na polisi, kuandamana hata watoto wasichana, uhuru wa vyombo vya habari na kadhalika. WaTZ wanashangaa kweli hayo yanawezekana Africa. Sisi tunafwatilia maswala ya siasa kwa undani sana. Hatimaye rais Ruto amekubali na kuufutilia mbali mswada wa fedha 2024/2025 so back to the drawing board.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…