Wakati KKKT wakiunga mkono Uwekezaji Bandarini Rais Samia asema hakuna wa kuligawa Taifa

Wakati KKKT wakiunga mkono Uwekezaji Bandarini Rais Samia asema hakuna wa kuligawa Taifa

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
"Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu."

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya
Miaka 60 ya KKKT.

Screenshot_20230821-195612.jpg
 
Mnajitoa ufahamu sana. KKKT wanaunga mkono uwekezaji sio mkataba wa serikali na dpwedi.

Hakuna waliposema wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sana sana amemkumbusha bi mkubwa kuzingatia maoni waliyotoa viongozi wa dini walipoonana nae na TEC wakiemo.
 
Kiongozi huyu hatukumpigia kura, Mungu aliruhusu atuongoze, ndiye aliyemweka.

Kuendelea kuhangaika nae ni kupoteza muda na hakuna kitu kitabadilika Kwa staili hii,

Turudi msalabani, tuombe TOBA na kuomba mwongozo tutafanikiwa.
 
Kiongozi huyu hatukumpigia kura, Mungu aliruhusu atuongoze, ndiye aliyemweka.

Kuendelea kuhangaika nae ni kupoteza muda na hakuna kitu kitabadilika Kwa staili hii,

Turudi msalabani, tuombe TOBA na kuomba mwongozo tutafanikiwa.


unapoint.
 
Hivi Kuna watu hawaoni kinachoendelea nchini kuhusu huu mkataba feki?
Watu wanadhani Ni business as usual.
 
"Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu."

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya
Miaka 60 ya KKKT.

Hilo neno bandarini ni lako mwenyewe, hakuna sehemu Askofu alisema anaunga mkono uwekezaji bandarini
 
Kumbe mama alikuwepo hapohapo live, hata wakatoliki wasingeweza kumushambulia direct, ni ukosefu wa heshima, hakuna waraka wowote wa KKKT unaozungumzia kuhusu bandari, kwa hio kanisa bado halijatoa msimamo wake ambao unatakiwa utokane na kikao Cha maaskofu.

Hata hivyo nchi nyingi kanisa moja linatoa msimamo wa kanisa kwa wakristo wote wa Taifa lile, sio kila dhehebu linatoa msimamo, hizo ni vurugu na utengano ndani ya kanisa, moja tu linatosha kuwakilisha wakristo wote
 
Mnajitoa ufahamu sana. KKKT wanaunga mkono uwekezaji sio mkataba wa serikali na dpwedi.

Hakuna waliposema wanaunga mkono uwekezaji wa bandari, sana sana amemkumbusha bi mkubwa kuzingatia maoni waliyotoa viongozi wa dini walipoonana nae na TEC wakiemo.
Wewe unataka nini zaidi? Mama kishasema:

"Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu."

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya
Miaka 60 ya KKKT.
 
"Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu."

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya
Miaka 60 ya KKKT.

Mbona yeye kauza, Ajibu hoja za mkataba sasa
 
Back
Top Bottom