Wakati majirani wanasheherekea ndege yao ya kwanza, huku raisi atakua abiria wa kwanza kwenye ndege yetu ya kwenda US

Wakati majirani wanasheherekea ndege yao ya kwanza, huku raisi atakua abiria wa kwanza kwenye ndege yetu ya kwenda US

U.s nini ..Sisi Desemba tutaenda U.k
Bado hamna maajab yoyote
we are on our own way
[HASHTAG]#TzUp[/HASHTAG]
[HASHTAG]#MagufuriUp[/HASHTAG]
 
Mkuu ukipata muda safiri safiri, jaribu kwenda hapo Nairobi tu kwanza alafu urudi uangalie post yako. Labda tanzania tujilinganishe na Malawi sio Kenya. Kenya iko next level from us.
Poor you
 
hehe maajabu ya musa...kutua kwa ndege kunaifanya nchi nzima isimame watu washerehekee kwanza
emoji1.png
emoji1.png
ndio tofauti ya ldc na middle income
Patriotism level 99%
 
Ulitukopesha?
Na hatujasahau kwamba dreamliner yenu imekuwa registered kwa jina la shirika la serikali, ili wanaodai ATCL deni wasiikujie.
Yaani, mko na madeni mengi na hamtaki kulipa.
Sasa tunaelewa kwanini Boeing walimwambia lazima mnunue cash, ilhali mashirika makubwa kama KQ na American Airlines yanapewa favourable terms.

Nyinyi ni wale watu wa kukopa sukari kwa duka na kupotea bila kulipa.


Beneath the shiny veneer of Madaraka Express is a tale of pain, anguish and broken dreams for a multitude of Kenyans who feel trapped on the trains.

Chinese nationals have created a small kingdom in which they run roughshod over Kenyan workers who say they are experiencing neo-colonialism, racism and blatant discrimination as the taxpayer foots the Sh30 million a day bill for the train.

Investigations by the Sunday Standard have found a huge contrast between what happens when in public glare and what really goes on beneath the shiny surface when the Chinese, masters of the SGR, retire to their apartments and restaurant.

[https://www]Some of the Kenyan SGR crew being punished after they refused to collect garbage Photo: Paul Wafula/Standard

Underpay

Staff in the car depot or rolling stock department, among them freight technicians and inspectors, say they are grossly underpaid compared to their Chinese counterparts.

He said they are paid Sh37,000 a month, less than a quarter of what their Chinese counterparts earn for the same job.

“We are still referred to as trainees despite more than one year working in the field. The Chinese whom we work with in the same capacity only need two weeks of the same training and they are graduated to expert level,” he said.

Whenever Kenyans are fired for not meeting standards, they are replaced by Chinese employees waiting on the sidelines.

[https://www]Chinese contractors are also doing menial jobs that Kenyans can easily do Photo: Paul Wafula/Standard

Poor Work conditions

The Personal Protective Equipment (PPE) wears out quickly due to the nature of their job, but it takes a while to get them replaced.

“To carry out inspection you must crawl under the vehicle. Currently you have to inspect at least 7 trains for every shift with an average of 50 vehicles each. On each shift we have four groups. When you divide, you have to inspect 12 vehicles per train or an average of 104 vehicles per day,” he says adding that this ends up damaging the overalls.

“The problem now is that it’s the company’s policy to replace these PPEs after 2 years, and this means that some of us end up working in rugs,” he said.

Kenyan drivers sidelined

Our investigations have revealed that Kenyan drivers have taken charge of the 472-kilometre ride just once, during the project launch with President Uhuru Kenyatta as a passenger, when two female drivers, Alice Gitau and Concilia Owire, made the trip.

When the cameras and VIPs exited the scene, the Chinese drivers took back control. Kenyans have never again been allowed to navigate the passengers from either end of the train track.

“We just sit at the back and watch. There is no actual transfer of skills that is happening here,” an assistant locomotive driver who has been with the SGR for over a year now told the Sunday Standard.

[https://www]Most of the gadgets are in Chinese making it impossible for locals to read and understand Photo: Paul Wafula/Standard

The Chinese contractor has also opted to keep most of their equipment programmed in Chinese, making it impossible for Kenyans who do not read Chinese to progress beyond menial jobs, despite being employed as technicians, engineers and drivers.

Tax puzzle

There are also cases where the Chinese contractor has reported different figures on what an employee earns to the Kenya Revenue Authority (KRA) for tax purposes than what they actually earn.

One of the affected employees said they were later presented with two different P9 forms to ‘regularise’ the anomaly during the just concluded annual filing of returns.

“This lady received two P9s with different figures, one showed she earns more than what she actually takes home. Some employees who work at the Mombasa terminus have not been given payslips for the last one year. We only saw this anomaly after asking for the payslips,” another source who showed us the forms said.

Unwritten rules

Interviews with many of those working within the trains reveal an unwritten rule on the things that Kenyans can share with their Chinese masters. For a start, they do not share tables at their staff restaurant.

Though, it is not printed in black and white, Chinese staff would never sit on the same table with Kenyans and Kenyans are not expected to join their tables either.

[https://www]Chinese SGR staff dining in one of the halls. No Kenyan is allowed to join them Photo: Paul Wafula/Standard

An assistant locomotive driver says this divide runs to the staff vans as well where even if only one Chinese is on board, Kenyans will not use them when time for drop-offs come.

“You cannot board a van that drops us in the evening even if there’s only one Chinese on board. You will have to wait,” he says.
 
Siamini mlianza na 37 mlianza na 1,2,3...10 then 20, 30 mpaka 37.

Sisi tumechelewa sana but never say too late, tunaamini tutafika huko pengine tutafeli lkn wanaofanikiwa na kufeli ni walioanza kufanya sisi ndio tumeanza tunaamini nyie pia mlianza ndio maana leo mmefika hapo. tutafika tu wasiwasi wangu ni kuwa na one strong person, badala ya taasisi imara huyu bwana pengine akaondoja 2020 au akaenda mpaka 2025 sijui akiondoka nini kitafuata maana atakae kuja hatujui kama atakuwa regerege au dikteta kama huyu(udikteta mzuri)

Sijui kwanini mnatumia nguvu nyingi hivi kujitetea, mbona hamjiamini, mnaonekana kubabaika sana.
Mimi nimesema kila mtu asheherekee mafanikio yake kwa level yake. Nyie msheherekee hiyo moja ilhali sisi tusheherekee fursa ya zetu 37 kupaa kwenda Marekani moja kwa moja.
 
mtu aniwekee ile video ya KenyaAirways dream girls ambayo huyo captain koki pamoja na co-pilot pamoja na flight attendants wote ni wanawake wakipeleka Boeing 787-8 dreamliner
 
Hehehe povuuuu....za nini zote hizo, upuzi upi nimeandika, nyie mpo mnasheherekea ujio wa ndege ambapo mpo sahihi maana ni kwenye level yenu, sie kwa level yetu tunasheherekea kupata soko la moja kwa moja kwenda Marekani. Sasa kila mtu anasheherekea kwa level yake.

Kwa mfano umenunua daladala lako la kwanza tangu uzaliwe, unaita wanao msheherekee, hiyo ni poa maana ni mafanikio kwenye level yako. Sasa kuna jirani anayo madaladala 37 kama hilo la kwako, yanakatiza mitaa yote, japo hajapata fursa ya kutumia ruti yenye mshiko, hivyo siku akiruhusiwa ruti nzuri naye atafurahi na kupata raha ya uzinduzi.

Kila mtu huwa na furaha kwenye level yake, nakumbuka mkoa mzima wa Mbeya kuna siku walisheherekea uzinduzi wa lift, pia kunayo ile fly over mnatengeneza kwenu, siku mkiizindua nategemea nayo pia mtasistisha kila kitu kuisheherekea, japo sisi fly over tunazo nyingi hadi kero.
Siku mkimaliza SGR pia mtaipigia makelele ya shangwe, ilhali sisi leo hii tunabisha hodi kwa Museveni tukimpelekea SGR maana kwetu imekua kawaida.
Hivyo ni jambo la kila mtu kufurahi kwa level yake na wakati wake.

You are very right..... nakumbuka kuna sehemu watu walisherehekea NA KUJIVUNIA KUTOKUNYA HADHARANI.

Ahaaa haaa haaa
 
Huyo Rubani ana more than 10 years experience. Ndio afike kuendesha dreamliner alianza na akina cesna akiwa flight school kisha akaenda kwa akina boeing 777 and so on. KQ ina pilots zaidi ya hamsini lakini very few are trained to handle a gigantuan bird of this size. Hapana cheza na mwanamke huyo wa Kikenya
Before kq downscaled walikua na 485 pilots and training 45 yearly,saii sijui wakona wangapi
 
Huyo mpolish ndio bosi wenu mumshukuru.. akili za kizungu zinawaendesha sio za kikenya..

Ndege yetu inameremeta

Magufuli oyeeee
Dreamliner yenyu imeletwa na mzungu and most likely they will fly them till you finish training your pilots,now whose worse of?
 
Hehehe povuuuu....za nini zote hizo, upuzi upi nimeandika, nyie mpo mnasheherekea ujio wa ndege ambapo mpo sahihi maana ni kwenye level yenu, sie kwa level yetu tunasheherekea kupata soko la moja kwa moja kwenda Marekani. Sasa kila mtu anasheherekea kwa level yake.

Kwa mfano umenunua daladala lako la kwanza tangu uzaliwe, unaita wanao msheherekee, hiyo ni poa maana ni mafanikio kwenye level yako. Sasa kuna jirani anayo madaladala 37 kama hilo la kwako, yanakatiza mitaa yote, japo hajapata fursa ya kutumia ruti yenye mshiko, hivyo siku akiruhusiwa ruti nzuri naye atafurahi na kupata raha ya uzinduzi.

Kila mtu huwa na furaha kwenye level yake, nakumbuka mkoa mzima wa Mbeya kuna siku walisheherekea uzinduzi wa lift, pia kunayo ile fly over mnatengeneza kwenu, siku mkiizindua nategemea nayo pia mtasistisha kila kitu kuisheherekea, japo sisi fly over tunazo nyingi hadi kero.
Siku mkimaliza SGR pia mtaipigia makelele ya shangwe, ilhali sisi leo hii tunabisha hodi kwa Museveni tukimpelekea SGR maana kwetu imekua kawaida.
Hivyo ni jambo la kila mtu kufurahi kwa level yake na wakati wake.
Daaaah, umeandika point. Kila MTU asherekee kwa level yake kwa kweli.
 
Dreamliner yenyu imeletwa na mzungu and most likely they will fly them till you finish training your pilots,now whose worse of?

Ha ha haaaaaaaa
Kuna timu ilikwenda Seattle huko mafunzoni lwasababh hujui basi kaa kimya.. muwe munatumia mitandao kujua mapya sio kusoma udaku tu khaaaaaa
 
Jana majirani wamesheherekea nchi yote kupokea ndege, sisi kwa kweli hatufai kuwabeza maana kila mtu anafuraha kulingana na mafanikio ya level yake, maana wao moja hiyo ilhali sisi tunazo 37 kama hizo.
Rais Uhuru anajiandaa kuwa abiria wa kwanza kwenye uzinduzi wa safari za kwenda Marekani, kwa yeye kufanya hivyo ni jambo muhimu maana atakua anaupigia debe huo mkondo na kusababisha ufahamike kote kote.

Rubani wa hiyo ndege atakua dada yetu Irene Koki ambaye ni mjuzi sana kwenye urubani.
------------------------------------------------------------

1781633.jpg


An undated photo of Captain Irene Koki, who will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's maiden Kenya-US flight. /COURTESY

Africa's first female Dreamliner captain, Irene Koki, will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's inaugural flight to the US.

The Kenya Airways pilot became one of the most popular captains in Africa after landing at Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport in the airline's fourth Dreamliner

Uhuru will depart in business class from the Nairobi airport at 11.25 pm on October 28. He will land at the John F Kennedy International Airport in New York at 6.25 am the next day.

KQ has started selling tickets for its maiden direct flight to New York, for which economy class fliers will pay Sh89,000 both ways.
In January, KQ CEO Sebastian Mikosz announced that that business class customers will pay Sh257,634 both ways and that the tickets will be subject to government approval.

Kenya Airways said the timings were set to allow connections to and from 40 African destinations.

"The move will cut the flight time between the two cities by more than seven hours," he said, noting it will take 15 hours eastbound and 14 hours westbound.

Economy fliers on Qatar Airways will pay Sh93,000 from Nairobi to New York but they will stop at Doha for two and a half hours and the trip will take 22 hours and 30 minutes long.

The KQ planes will carry 234 passengers, with 30 at the premium world class and 204 in the economy section. They will have four pilots, 12 flight attendants and 85 tonnes of fuel loaded one way.
Captain Irene Koki to fly Uhuru on KQ's maiden US flight


Mlikuwa hamjaanza bado kwenda US? tulia sindano ikuingie. sisi tumeingia Jana kutoka huko,
 
Jana majirani wamesheherekea nchi yote kupokea ndege, sisi kwa kweli hatufai kuwabeza maana kila mtu anafuraha kulingana na mafanikio ya level yake, maana wao moja hiyo ilhali sisi tunazo 37 kama hizo.
Rais Uhuru anajiandaa kuwa abiria wa kwanza kwenye uzinduzi wa safari za kwenda Marekani, kwa yeye kufanya hivyo ni jambo muhimu maana atakua anaupigia debe huo mkondo na kusababisha ufahamike kote kote.

Rubani wa hiyo ndege atakua dada yetu Irene Koki ambaye ni mjuzi sana kwenye urubani.
------------------------------------------------------------

1781633.jpg


An undated photo of Captain Irene Koki, who will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's maiden Kenya-US flight. /COURTESY

Africa's first female Dreamliner captain, Irene Koki, will fly President Uhuru Kenyatta to New York on KQ's inaugural flight to the US.

The Kenya Airways pilot became one of the most popular captains in Africa after landing at Nairobi's Jomo Kenyatta International Airport in the airline's fourth Dreamliner

Uhuru will depart in business class from the Nairobi airport at 11.25 pm on October 28. He will land at the John F Kennedy International Airport in New York at 6.25 am the next day.

KQ has started selling tickets for its maiden direct flight to New York, for which economy class fliers will pay Sh89,000 both ways.
In January, KQ CEO Sebastian Mikosz announced that that business class customers will pay Sh257,634 both ways and that the tickets will be subject to government approval.

Kenya Airways said the timings were set to allow connections to and from 40 African destinations.

"The move will cut the flight time between the two cities by more than seven hours," he said, noting it will take 15 hours eastbound and 14 hours westbound.

Economy fliers on Qatar Airways will pay Sh93,000 from Nairobi to New York but they will stop at Doha for two and a half hours and the trip will take 22 hours and 30 minutes long.

The KQ planes will carry 234 passengers, with 30 at the premium world class and 204 in the economy section. They will have four pilots, 12 flight attendants and 85 tonnes of fuel loaded one way.
Captain Irene Koki to fly Uhuru on KQ's maiden US flight


Mlikuwa hamjaanza bado kwenda US? tulia sindano ikuingie. sisi tumeingia Jana kutoka huko,
 
Siamini mlianza na 37 mlianza na 1,2,3...10 then 20, 30 mpaka 37.

Sisi tumechelewa sana but never say too late, tunaamini tutafika huko pengine tutafeli lkn wanaofanikiwa na kufeli ni walioanza kufanya sisi ndio tumeanza tunaamini nyie pia mlianza ndio maana leo mmefika hapo. tutafika tu wasiwasi wangu ni kuwa na one strong person, badala ya taasisi imara huyu bwana pengine akaondoja 2020 au akaenda mpaka 2025 sijui akiondoka nini kitafuata maana atakae kuja hatujui kama atakuwa regerege au dikteta kama huyu(udikteta mzuri)
Nikumbushe tukifika 10 mkuuu
 
Wa kwetu atazindua route ya Dar to Chato punde baada ya Chato International Airport kukamilika.
 
Back
Top Bottom