Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,772
Wewe umekuja kuprovoke, what did you expect.Sijui kwanini mnatumia nguvu nyingi hivi kujitetea, mbona hamjiamini, mnaonekana kubabaika sana.
Mimi nimesema kila mtu asheherekee mafanikio yake kwa level yake. Nyie msheherekee hiyo moja ilhali sisi tusheherekee fursa ya zetu 37 kupaa kwenda Marekani moja kwa moja.