Wakati Marekani ikijiandaa kupeleka binadamu katika sayari ya Mars, Serikali ya Tanzania ina mpango gani kuwapeleka raia wake?

Wakati Marekani ikijiandaa kupeleka binadamu katika sayari ya Mars, Serikali ya Tanzania ina mpango gani kuwapeleka raia wake?

Mars inaaminika itakuwa habitable for human na in a long run binaadamu wataanza kwenda kuishi Mars. Ndio maana inaitwa Mars colonization.
Ni sawa. Inasemekana hata venus sister of earth at one point of a time huko nyuma ilikuwa habitable na sasa ni hell. Huenda hata Earth ilifanyiwa colonization na vizazi vya kale. Huu ulimwengu kuna watu wana siri nyingi siamini kuwa mambo hutokea tu.
 
Ila hawa sindio waliosema kufikia 2030 hakuna nchi itakua masikini haha sijui wanampango gan na Africa
 
Kikubwa ni kushika eneo la kwetu ili nasisi tuzidi kujitanua as a nation!
Mbona nasoma huu uzi alafu naona kama ni wa utani. Naomba mnijuze, ila kama tunadiscuss serious basi hichi tunachojadili ndoto za alinacha. Yaani hata chakula tu kama taifa ni shida, alafu tunaiwaza Mars.
 
Mbona nasoma huu uzi alafu naona kama ni wa utani. Naomba mnijuze, ila kama tunadiscuss serious basi hichi tunachojadili ndoto za alinacha. Yaani hata chakula tu kama taifa ni shida, alafu tunaiwaza Mars.
Mkuu hata huko marekani kuna shida sio hapa kwetu. Kuna watu marekani hata 1000 ya msosi hana kabisa!
 
Wangeendeleza maono ya the Late Prof. Shayo ya kuwa na kijiji cha sayansi huenda tungesogea kiasi
Unajua ukiangalia marekani project nyingi za tafiti za kisayansi hua zinakuwa sponsored na mashirika binafsi au watu binafsi. Mfano ni SpaceX
 
Ila hawa sindio waliosema kufikia 2030 hakuna nchi itakua masikini haha sijui wanampango gan na Africa
Umaskini ni kujitakia kwa watu i.e maradhi, elimu duni, lishe mbovu n.k
 
Trurt me, vasco da gama lazima aende huko kufungua nchi.
Kwenye medani za siasa na vita ya kiuchumi ni muhimu Tanzania kutambua technology ndo usalama wa nchi!
 
Marekani imepanga kupeleka raia wake huko sayari ya Mars ifikapo 2030s.

Urusi nayenyewe imepanga kupeleka raia wake Mars ifikapo 2040s .

China nao wamepanga 2040s kama urusi.

Sasa sisi serikali yetu inasubiri nini kwenye huu upande wa teknolojia ya angani? Mpaka sasa kimya hakuna kinachoendelea na muda unazidi kwenda.

Jamani, tunataka kwenda sayari ya Mars! Serikali ya Tanzania iamke sasa walau hata ifikapo na sisi 2040s twende Mars tukaanze kushika mashamba huko?

View attachment 2353928View attachment 2353927
Bila kuwa na dira ya taifa ni kupoteza muda. Kwanza lazima tuwe na dira ya taifa (sio ilani ya chama wala mihemko ya rais) na hiyo dira lazima iweke mkazo kwenye elimu, sayansi na teknolojia!

Mkuu hao wachina warusi na wamarekani hawajafika hapo from no where! Waliweka mipango, wakawekeza na kujitoa sadaka kwa ajili ya taifa lao!!
 
Una kilomita za mraba laki tisa hujajaza hata robo unawaza mars ambao ni jangwa? Yaani serikali ina kazi ya kuhakikisha watu wanaelimika. Badala ya 2040 essential services ziwepo unataka serikali ipeleke watu jangwani?

Nyie nendeni Mars sisi tutabakia duniani tuki enjoy hewa safi ya Oksijeni. Mkichoka mtarudi mtabeba box!
 
Huwezi kuondoa bila teknolojia, ila si teknolojia ya kufika mars, ya mars ni kubwa mnoooo, kwanza tuanza tulivyonavyo huko mars ni kwa kizazi kijacho, tuende mars na vyoo bado,shule na vyuo bado, teknolojia iko chini sana, maofisini tu Hali n mbaya...
Ndio kuna kitu kinaitwa funding mkuu. Private people or companies zinaweza fund project kama hizo! Mfano ni SpaceX
 
Una kilomita za mraba laki tisa hujajaza hata robo unawaza mars ambao ni jangwa? Yaani serikali ina kazi ya kuhakikisha watu wanaelimika. Badala ya 2040 essential services ziwepo unataka serikali ipeleke watu jangwani?

Nyie nendeni Mars sisi tutabakia duniani tuki enjoy hewa safi ya Oksijeni. Mkichoka mtarudi mtabeba box!
Unakumbuka wakati wakina vasco da gama na kina Bartolomeo Diaz wanakuja Africa? Vp maendeleo ya nchi yao ya ureno yalikuwaje? Colonization inaumuhimu sana hapa Duniani.
 
Ndio kuna kitu kinaitwa funding mkuu. Private people or companies zinaweza fund project kama hizo! Mfano ni SpaceX
Hao watu tunao wako wapi kwanza!, Taifa hili hata dira ya kueleweka halina, funding organization zinahitajika wataalamu sisi hao hatuna huko ni kurisk pesa za watu.
 
Bila kuwa na dira ya taifa ni kupoteza muda. Kwanza lazima tuwe na dira ya taifa (sio ilani ya chama wala mihemko ya rais) na hiyo dira lazima iweke mkazo kwenye elimu, sayansi na teknolojia!

Mkuu hao wachina warusi na wamarekani hawajafika hapo from no where! Waliweka mipango, wakawekeza na kujitoa sadaka kwa ajili ya taifa lao!!
😂 Mkuu most space projects ziko funded na private entities. Unlikewise ziwe ni national defense au prestige nata hata weather.
 
Marekani Kupeleka binadamu mars bado sana labda baada ya miaka 100.
 
Hao watu tunao wako wapi kwanza!, Taifa hili hata dira ya kueleweka halina, funding organization zinahitajika wataalamu sisi hao hatuna huko ni kurisk pesa za watu.
Ndio màana nasema kuna umuhimu wa kuazima wataalamu ili in the near future tuwe na pakuanzia.
 
Back
Top Bottom