Wakati Marekani ikijiandaa kupeleka binadamu katika sayari ya Mars, Serikali ya Tanzania ina mpango gani kuwapeleka raia wake?

Wakati Marekani ikijiandaa kupeleka binadamu katika sayari ya Mars, Serikali ya Tanzania ina mpango gani kuwapeleka raia wake?

Vp huna ndoto za space projects.
Space project na wakati Marekan mmoja anatumia umeme Unit 40 kwa siku maisha yake na mimi natumia unit 40 kwa mwezi...
Hiyo space ya nini na huku hata umeme tuu chefu
 
Marekani in imepata uhuru 1776/1777
Tanzania imepata uhuru 1961 ebu acha kujifanya mjuaji maisha hayaendi ivyo ata mtoto hawezi zaliwa na kuoa/ kuolewa hapohapo na akajifungua mtoto
 
Marekani imepata uhuru 1776/77
Wakati China ilikuepo ata kbla ya kuzaliwa kwa yesu china ilikuepo ata kbla ya uvumbuzi wa bara la africa na america
Tanzania tumepata uhuru 1961
Ebu kua na akili na acha kulinganisha mchanga na Tanzanite utaoneka mjinga japo unataka kujiona mjanja
 
Wangeendeleza maono ya the Late Prof. Shayo ya kuwa na kijiji cha sayansi huenda tungesogea kiasi
China wana jiji la sayansi na teknolojia [ tafiti na majaribio ya sayansi na teknolojia ]
 
Marekani in imepata uhuru 1776/1777
Tanzania imepata uhuru 1961 ebu acha kujifanya mjuaji maisha hayaendi ivyo ata mtoto hawezi zaliwa na kuoa/ kuolewa hapohapo na akajifungua mtoto
China imepata Uhuru 1949, Korean war imeisha 1953 na taifa la South Korea limejitenga huo mwaka, Singapore imepata Uhuru 1960.

N.b: Miaka sio tatizo CCM ndio tatizo.
 
Kama Nchi kuna sehem tuliteleza, haiwezekani professor wa chuo kikuu anawaza kufuga kuku ili aongeze kipato chake, badala ya kutumia muda wake kufanya tafiti, , ndio maana wengi wanakimbilia kwenye siasa, siasa inatakiwa iwe ya mwisho kwenye vipaumbele vya Nchi.

Tuawafanye wana taaluma yetu wasiwe na shida ndogo ndogo kama chakula, usafiri, nk. watumie muda wao mwingi kwenye kufanya tafiti mbali mbali, sio kutumia muda wao kuwaza familia itakula nini, atasomeshaje watoto, mwisho wa siku productivity inakua chini.

Narudia tena, tuwekeze kwenye elimu na teknolojia weka siasa mbembeni, iwe ya mwisho, fumua mitaala ya elimu kuanzia chini primary hadi chuo kikuu, bado hatujachelewa,

Leo hii kenya wameanza kufundisha Coding/Programming primary school, sisi tumelala, Tembelea shule za msingi tulizo nazo nchini utatoa machozi, shule zimechakaa, mabati ya shule yamejaa kutu, ndani hakuna paving kumejaa vumbi,

Changamoto ya usafiri kwa wanafunzi kwenye majiji unaweza sema hatuna watawala, serikali inashindwa kununua mabasi kadhaa yawe yanapeleka wanafunzi mashuleni na kuwarudisha jioni kweli? badala yake tumewekeza kwenye siasa, hayo ma v8, uzeni nunulieni wanafunzi mabasi kwa ajili ya usafiri, viongozi tumieni usafiri wa pamoja, badala ya kijinunulia ma v8, tumieni usafiri wa umma kama wanachi wengine tutaokoa mabilioni ya fedha za mafuta mnayotumia kwenye hayo ma v8,

Tuifanye elimu yetu iwe na thamani, chukua wanafunzi walio na ufaulu wa juu ndio wakasomee ualimu, wekeni mazingira ya walimu yawe mazuri, wapeni motisha walimu wetu, wezesheni miundominu ya shule za msingi na sekondari, ondoeni changamoto za usafiri kwa shule zetu za umma, mwanafunzi anakaa kuanzia asubuhi hadi saa nane mchana hajatia kitu mdomoni, akili ya kujifunza itatoka wapi.

Nchi haiwezi kuendelea bila kufanya tafiti na kuwekeza kwenye elimu/teknolojia. Tunatumia mabilioni ya shilingi kunanunua mifumo/systems za computer kwa wahindi, wakati huo tunazalisha graduates wa computer science, na IT kila mwaka,
barabara na madaraja tenda wanachukua wachina, na vyuo vyetu vinazalisha civil engeneers kila mwaka, Tufumue mitaala ya elimu kuanzia chini hadi chuo kikuu, tuwape kipaumbele wahitimu wetu, hata hao walioendelea wamewekeza sana tu kwa wazawa,
Kwenye Hospitali zetu specialists wanawaza kupiga vijiwe kujiongezea vipato , wagonjwa wanahudumiwa na interns Doctors na Residents, badala ya kutumia muda wao mwingi kuwahudumia wagonjwa na kufanya tafiti,
Kama Nchi inabidi tujitafakari.
 
Subiri kwanza tumalize kujenga matundu ya vyoo
 
Kama kuwapa tu huduma za muhimu kama utilities (maji, umeme, gas n.k) na bima za afya wameshindwa halafu Rais anasema nchi ina madini ambayo hata mengine hayajui majina unategema kweli kupelekwa hata hapo Sudan?

Acha waende huko Mars watapunguza msongamano duniani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sad truth, ila nimecheka sana.
Yani hizi nchi zetu za Kiafrika ni matatizo matupu
 
Kama Nchi kuna sehem tuliteleza, haiwezekani professor wa chuo kikuu anawaza kufuga kuku ili aongeze kipato chake, badala ya kutumia muda wake kufanya tafiti, , ndio maana wengi wanakimbilia kwenye siasa, siasa inatakiwa iwe ya mwisho kwenye vipaumbele vya Nchi.

Tuawafanye wana taaluma yetu wasiwe na shida ndogo ndogo kama chakula, usafiri, nk. watumie muda wao mwingi kwenye kufanya tafiti mbali mbali, sio kutumia muda wao kuwaza familia itakula nini, atasomeshaje watoto, mwisho wa siku productivity inakua chini.

Narudia tena, tuwekeze kwenye elimu na teknolojia weka siasa mbembeni, iwe ya mwisho, fumua mitaala ya elimu kuanzia chini primary hadi chuo kikuu, bado hatujachelewa,

Leo hii kenya wameanza kufundisha Coding/Programming primary school, sisi tumelala, Tembelea shule za msingi tulizo nazo nchini utatoa machozi, shule zimechakaa, mabati ya shule yamejaa kutu, ndani hakuna paving kumejaa vumbi,

Changamoto ya usafiri kwa wanafunzi kwenye majiji unaweza sema hatuna watawala, serikali inashindwa kununua mabasi kadhaa yawe yanapeleka wanafunzi mashuleni na kuwarudisha jioni kweli? badala yake tumewekeza kwenye siasa, hayo ma v8, uzeni nunulieni wanafunzi mabasi kwa ajili ya usafiri, viongozi tumieni usafiri wa pamoja, badala ya kijinunulia ma v8, tumieni usafiri wa umma kama wanachi wengine tutaokoa mabilioni ya fedha za mafuta mnayotumia kwenye hayo ma v8,

Tuifanye elimu yetu iwe na thamani, chukua wanafunzi walio na ufaulu wa juu ndio wakasomee ualimu, wekeni mazingira ya walimu yawe mazuri, wapeni motisha walimu wetu, wezesheni miundominu ya shule za msingi na sekondari, ondoeni changamoto za usafiri kwa shule zetu za umma, mwanafunzi anakaa kuanzia asubuhi hadi saa nane mchana hajatia kitu mdomoni, akili ya kujifunza itatoka wapi.

Nchi haiwezi kuendelea bila kufanya tafiti na kuwekeza kwenye elimu/teknolojia. Tunatumia mabilioni ya shilingi kunanunua mifumo/systems za computer kwa wahindi, usalama wakati huo tunazalisha graduates wa computer science, na IT kila mwaka,
barabara na madaraja tenda wanachukua wachina, na vyuo vyetu vinazalisha civil engeneers kila mwaka, Tufumue mitaala ya elimu kuanzia chini hadi chuo kikuu, tuwape kipaumbele wahitimu wetu, hata hao walioendelea wamewekeza sana tu kwa wazawa,
Kwenye Hospitali zetu specialists wanawaza kupiga vijiwe kujiongezea vipato , wagonjwa wanahudumiwa na interns Doctors na Residents, badala ya kutumia muda wao mwingi kuwahudumia wagonjwa na kufanya tafiti,
Kama Nchi inabidi tujitafakari.
Umeongea vitu muhimu sana mkuu, naomba kuuliza kitu hivi kwani tafiti ni mpaka zifanywe na maprofesa ndio ziitwe tafiti? au kila mtu mwenye uelewa na field flani anaweza ku push
 
Umeongea vitu muhimu sana mkuu, naomba kuuliza kitu hivi kwani tafiti ni mpaka zifanywe na maprofesa ndio ziitwe tafiti? au kila mtu mwenye uelewa na field flani anaweza ku push
Mtu yeyoye anaweza akafanya tafiti mkuu,

nilitolea mfano Kwa wahadhiri Kwa sababu ni sehem ya criteria kufanya tafiti, na kuzi publish, ili zitumike kuleta mabadiriko chanya.

Mara ngapi raia wa kawaida tu, walikuja na bunifu zao tukaishia kuwasikia kwenye vyombo vya habari, na Hadi Leo hawajapewa support yoyote?

Tuweke mazingira mazuri ambayo yatachochea ubunifu, kwa mazingira ya Afrika, sio kila jambo linaanzia Ulaya, Asia ndio tunaletewa.
Siku hao mabwana wakizima server/mitambo Yao uko, Afrika itarudi zama za ujima.
Tuanze Leo Mimi na wewe, bado hatujachelewa.
 
Mtu yeyoye anaweza akafanya tafiti mkuu,

nilitolea mfano Kwa wahadhiri Kwa sababu ni sehem ya criteria kufanya tafiti, na kuzi publish, ili zitumike kuleta mabadiriko chanya.

Mara ngapi raia wa kawaida tu, walikuja na bunifu zao tukaishia kuwasikia kwenye vyombo vya habari, na Hadi Leo hawajapewa support yoyote?

Tuweke mazingira mazuri ambayo yatachochea ubunifu, kwa mazingira ya Afrika, sio kila jambo linaanzia Ulaya, Asia ndio tunaletewa.
Siku hao mabwana wakizima server/mitambo Yao uko, Afrika itarudi zama za ujima.
Tuanze Leo Mimi na wewe, bado hatujachelewa.
Nimekuelewa vizuri mkuu
 
Back
Top Bottom