Wakati mnawafanyia harassment wamachinga, mnakumbuka habari ya Mohamed Bouazizi aliyesabababisha serikali za kiarabu kuanguaka?

Wakati mnawafanyia harassment wamachinga, mnakumbuka habari ya Mohamed Bouazizi aliyesabababisha serikali za kiarabu kuanguaka?

Umachinga hata kodi hawalipi, sasa wanachangiaje kiuchumi? Halafu wanawaziba wenye fremu za biashara ambao wana leseni na wanalipa kodi mbalimbali...
Haya sasa wafanyabiashara wameachiwa fremu wazi ili wauze walipe kodi mbona hawatoi risiti kwa mnunuaji mpaka uanze kugombana nao wakati wanajua ni wajibu wao?

Kwanini mali ya shilingi 200,000/= inaandikiwa risiti ya shilingi 50,000/- kama sio wizi ni uliohalalishwa ni nini?
 
Ila machinga huwwa awakomi awajifunzi machinga ni kama police na ccm.
Police uisaidia ccm ushindi,then ccm inafanya maisha ya police kuwa magumu, nyumba za mabati, mishahara midogo,nk.
Pamoja na madhila yote hayo still police aachi kuilinda ccm.
 
Haya sasa wafanyabiashara wameachiwa fremu wazi ili wauze walipe kodi mbona hawatoi risiti kwa mnunuaji mpaka uanze kugombana nao wakati wanajua ni wajibu wao?

Kwanini mali ya shilingi 200,000/= inaandikiwa risiti ya shilingi 50,000/- kama sio wizi ni uliohalalishwa ni nini?
Bei uamuzi ni wako kipi rahisi ya risiti 200000 ya bila risiti 150000 anza wewe kukataa kuuziwa ya bei ya chini bila risiti.
Kodi ikiwa nafuu upunguza ukwepaji wake
 
Welldone Mh. Makalla, kanyaga hapohapooo, unaenda kuandika historia kuwatoa hawa jamaa bila vurugu, ni visiasa siasa tu vya maji taka. Kanyaga hapo hapoo
 
So mji hautakiwi kupangiliwa?K

Mji kupangailiwa siyo tatizo, lakini mkuu wa mkoa ametoa maagizo kuwa walio hama barabarani wakienda huko mtaani nako hataki kuona vibanda, hii nchi ni wote, hawa wamachinga wana familia, wana mikopo, wanasomesha na nk. kuwatoa barabarani na Kariakoo, ni jambo jema sana. lkn hata huko mtaani nako kweli?
 
Nimeshangaa kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar, akisema wamachinga wakirudi maeneo ya kati, basi atakuwa hafai.

Mkuu wa mkoa wa Dar amesahau kuwa hili ni kundi la wavuja jasho ambao wanamikopo, wanalisha familia zao, wanasomesha watoto na ndugu zao.

Mmesahau kuwa hawa watu sio wa kufanyiwa harassment? Mohamed Boazizi alifanyiwa harassment kama hizi mnazowafanyia wamachinga hivi leo. Mohamed Boazizi aliaambiwa na mamlaka za Tunisia hivi hivi, kuwa anafanya biashara mahala pasipofaa. Mamlaka zilisahau kuwa ana watoto ndugu na jamaa wanaomtegemea.

Mohamed Boazizi alijimwagia Petrol na kujipiga kiberiti. Jambo ambalo lilisababisha serikali ya Tunisia,Libya na Egypt kuanguka.
View attachment 1984517
Huko ni kwa waarabu lakini hapa kwetu jambo kama hilo halipo
 
Nimeshangaa kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar, akisema wamachinga wakirudi maeneo ya kati, basi atakuwa hafai.

Mkuu wa mkoa wa Dar amesahau kuwa hili ni kundi la wavuja jasho ambao wanamikopo, wanalisha familia zao, wanasomesha watoto na ndugu zao.

Mmesahau kuwa hawa watu sio wa kufanyiwa harassment? Mohamed Boazizi alifanyiwa harassment kama hizi mnazowafanyia wamachinga hivi leo. Mohamed Boazizi aliaambiwa na mamlaka za Tunisia hivi hivi, kuwa anafanya Zine El Abidine Ben Ali
Nimeshangaa kauli ya mkuu wa mkoa wa Dar, akisema wamachinga wakirudi maeneo ya kati, basi atakuwa hafai.

Mkuu wa mkoa wa Dar amesahau kuwa hili ni kundi la wavuja jasho ambao wanamikopo, wanalisha familia zao, wanasomesha watoto na ndugu zao.

Mmesahau kuwa hawa watu sio wa kufanyiwa harassment? Mohamed Boazizi alifanyiwa harassment kama hizi mnazowafanyia wamachinga hivi leo. Mohamed Boazizi aliaambiwa na mamlaka za Tunisia hivi hivi, kuwa anafanya biashara mahala pasipofaa. Mamlaka zilisahau kuwa ana watoto ndugu na jamaa wanaomtegemea.

Mohamed Boazizi alijimwagia Petrol na kujipiga kiberiti. Jambo ambalo lilisababisha serikali ya Tunisia,Libya na Egypt kuanguka.
View attachment 1984517
Umekosea ni Rais wa zamani wa Tunisai Zine El Abidine Ben Ali ndiye chanzo cha balaaa kwa warabu
Mamlaka zilisahau kuwa ana watoto ndugu na jamaa wanaomtegemea.

Mohamed Boazizi alijimwagia Petrol na kujipiga kiberiti. Jambo ambalo lilisababisha serikali ya Tunisia,Libya na Egypt kuanguka.
View attachment 1984517
 
Back
Top Bottom