Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua

Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua

SITASAHAU NLIVYOFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOTUMIKA 08

“ Sasa sikia! Ujue kwa umri wangu huu nimeona vtu vngi sana, na ninajua mengi! Hv unajua kwanni anakataa kukuuzia salama?”

“ Sijui..”

“ Ni kwel huwezi kujua.” Alinijibu.

“ Twende huku.” ALiniamba. ALnishika mkono akanizungusha nyuma ya ile lodge. Tukiwa tumefika nyuma, mlinzi aligeukia na kujitambulisha. Aliniambia anaitwa Sudy, japo weng wanamuita mzee sudy.

“ Mzee wangu umenitembeza toka kule hadi huku ili uje uniambie jina lako?” Nlimuuliza nikiwa nimeshachukia. Kifupi alinkera sana.

“ Tulia kjana wangu..” ALiniamba.

“ Nitulie nini? ujue had sasa sikuelewi. Unaongea mengi lakni sjui shda yako nini. Niambe unataka nini?” Nlmuulza kwa ukali.

Mzee sudy hakunjibu kitu, badala yake kwa ishara alinonyesha shmo la takataka la ile lodge.

Kwa mshangao nlijizba mdomo.

Kwenye shimo kulikuwa na salama nying zilizotumika.

“ Nimekuita hapa ili nikupe nafasi ya kujiulza swali. Naomba jiulize inakuwaje mtu akatae hela unayompa na aje kutupa salama shimoni.” Alinambia.

Hakika haikuniingia akilini.

‘ kuna jambo, Haiwezekani mtu akatae kupokea elfu 25 kwa salama moja halafu aje kuzitupa shimoni. Sio bure, kuna jambo hapa.”

“Uspanic,kwanza naomba zunguka lodge zote ambazo mara ya kwanza walikuuzia salama lakin ulvyoenda tena walkukatalia. Kla lodge nenda shmoni kaangalie. Ikwa nako utakuta salama wamezitupa baada ya kukuuzia naomba ntafute. Namba yangu hii hapa.’ Aliniambia huku akinikabidhi simu yake. Haraka haraka nilikop namba na kuondoka eneo lile.

……………………

Kama alavyoniambia. Nlizunguka lodge moja badala ya nyingne, Kote nilikopita nilkuta salama zimetupwa shimon.

“ Yaani wanakataa kupokea elfu 25 kwa salama moja ? wanaona bora kutupa salama kulko kuniuzia?” Nilijiulza maswal yasyokuwa na majibu.

Nikiwa kama nimeweuka nilrudi nyumbani.

Mitaa kadhaa kutoka nyumbani, Nilimshuhudia juma, mmoja wa vjana niliwowafundsha kufanya mapenz kwakutuma mende. Nlimuona akiwa kashika tissue na kuitupa porini. Nikiwa namkaribia, sele jiran yangu altokea.

“ Mwanangu nmekuona umetupa salama.” Sele almwamba Juma.

“ Ndugu yangu sku hiz mm staki tena demu! Kuna kamchezo katamu sana nmefundishwaaa, yaaani nguvu niliyokuwa naiweka kwenye kutafuta mademu sazi naweka kwenye kutafuta mende.” ALiongea Juma.

Wakt akongea hayo, tayar nlikuwa nimesogelea.

“ Sasa juma tabia gan hii ya kutupa salama? Hujui kama hizo salama mimi nazihtaji! Tena sio bure nakupa hela.” Nilimwambia.

Juma aligeuka kunitazama, bila ya kuongea lolote aliingia ndan kwake.

“ Nmerogwa …nmerogwaaa so bure….nmerogwaaa.” Nilijamba baada ya kuachana na Juma. Nilifika had nyumbani kwangu. Niliingia ndani na kujilaza ktandani. Niliwaza na kuwazua nikaamua nimpigie simu yule mlinzi.

“ Nina baba yangu asiyeshndwa kamweeee….yesu ni baba yangu asiyeshindwa kamweeee….” Uliskika wimbo kwenye smu ya mlinzi.

“ Mmmh! Huyu mzee na yesu wapi na wapi?” Nilwaza baada ya kuusikia ule wmbo.

Simu liita had kakatka paspokupokelewa.

Nlipiga tena.

Kama mwanzo, simu iliita had kakatka pasipo kupokelewa.

Nkwa nimekata tamaa, sijui nifanye nini. Ujumbe ulinga kwenye simu yangu Haraka niliufungua. Ulkuwa ni ujumbe kutoka kwa mzee sudy.

“ Usinipigei simu nipo na boss. Naomba leo saaa nane usku njoo nyumban kwangu.” ALiniamba kisha pale pale akanituma message nyingne ya kunielekeza nyumban kwake.

…………………………..

Majira ya saa saba usiku nliamka. Nilinawa uso kisha nikatoka nje, moja kwa moja nilekeea nyumbani kwa mzee sudy.


STASAHAU NLIVYOFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZILZOTUMIKA 09

Majira ya saa saba usiku nliamka. Nilinawa uso ksha nkatoka nje, moja kwa moja niliekeea nyumbani kwa mzee sudy.

Kimwli nilikuwa barabarani lakin kiakili sikuwa pale! Akil yangu bado ilikuwa na maswali mengi sana. Nilijiuza na kujiuliza paspokupata majibu.

“ Kaka anataka salama zilizotumika za nin?” Nlijiulza.

“ Na hawa watu kwanini hawatak kuniuzia salama? Yaani ni bora wakaztupa kulko kunpa mimi?” Nlijiulza tena tena.

Puuuh! Uso kwa uso niligongana na mtu.

“Uwe unaangala mbele wewe kaka.” ALiniambia yule mtu!

“ Samahani. Nlmwamba paspokumuangala usoni. Kabla sjaondoka, nilijpapasa mfukoni kuhakksha simu ipo. Ilikuwepo. Pia niliangalia chini kuona kama kuna kitu chochote nmeangusha, lakni ile natazama tu chini.

Loooh.

Huwezi amini! Yule mtu alikuwa na kwatu za ng’ombeee.

“ Mamaaaaaaaaaaaa.” Nilpiga kelele na kumuagala usoni.

Loooh! Nlishangaaa zaidi. ALikuwa ni Ashura, mke wa alex.

Sikukaaa.

Kwa kasi sana nilikimbia.

…………………………….

Baada ya kukimbia umbali mrefu nlismama. Niliangalia kushoto na kulia, mazingra bado yalntsha. Hvyo nilianza kutembea tena haraka haraka. Moyo wangu ulidunda kwa kas kubwa sana.Kimoyo moyo nilijuta kutoka nyumban usku. Pia niliomba nikutane na watu ili niwasimulie klchotokea.

Baada ya mwendo wa dakaka kama ishirin, nlikaribia kwa mzee sudy, nkiwa nyumba ya tatu kutoka kwa mzee sudy, nilwaona watu wa familia moja wakwa nje ya nyumba yao wakila chakula.

“ Wanakula daku.” Nilijiambia kwakuwa ulikuwa n mwez wa ramadhani.

“ Karbuuuu..” Mmoj wa wale watu alinambia.

Niltaka kukataaa, lakin nilpoangalia mbele, mazingra yalinitisha, karibu na kwa mzee sudy kulkuwa na mit mng sana, Hvyo kuondoa hofu niliamua kwenda kwa ile famli kwanza kutuliza nafs yangu na kujipa matumaini.

Nilisogea had pale na kukaa kwenye mkeka.

“ inaonekana umekimbia sana.” Baba wa ile familia aliniambia.

“ Nmekutana na mtu wa ajabu sana.”

“ Mtu wa ajabu?”

“ Ndio. Toka nizalwe sijawah kumuona mtu kama yule..’Nlmwambia.

“ zuwena, ngia ndan mchukule mgeni wetu chakula..” ALiongea yule mzee. Pale pale bnt yake alsmama na kwenda ndani. Alirud akiwa na sahani imejaaaa wal na nyama. ALiniwekea mbele yangu na kunitaka nile.

“ Karibu chakulaaaa..halafu umesema umekutana na mtu wa ajabu..uajabu wake n nini?’

“ Kwatooo..kwatoooo.” Nliongea huku zuwena akwa ananiwasha maj.

“ Kwato?”

“ Ndio, yule mtu anakwato za ngo’ombe..” Nilmwamba.

“ Kwat za ngo’ombe? Kama hizi?” ALiniuliza huku akinonesha miguu yake.

Loooh.

Naye alkuwa na kwato za ng’ombe.

Sikushangaa.

Kama mshale nilichomoka. Nilkimbia kwa kasi ambayo sijawah kukmba, moja kwa moja nlpitlza hadi nyumban kwa mzee sudy, bla ya hodi niliusukuma mlango na kuingia ndani.

“ Uuuuh…uuuuh..uuuh..” Nilihema.

“ Kweeh.” Mlango wa chumba cha piliulisukumwa aktoka mzee sudy.

“ Ndugu yangu hata kupga hodi hakuna? Hvi ungenikuta na shemeji yako tupo uchi ingekuwaje?” ALniulza.

“ Majini…”

“ Mmmh! mtaa huu hauna majin! Kama wangekuwepo lazima ningejua tu.”

“ Yapo…nmekutana nayo mara mbili.” Nlmwambia. Kwa umakin sana Akili yangu ilikumbuka lile tukio. Gafla niliachama mdomo kwa mshangao wa yule bnti aliyeniletea chakula, alikuwa ashura! Hakuwa zuwena kama yule mbaba alivyomuita.

“ Ilikuwaje sikumjua pale? Kwanini niliona kawaida tu hadi nilipoona kwato?” Nilijiuliza. Nkwa kwenye lindi la mawazo, mzee sudy alnitiksa bega.

“ Naomba tuongee swala la msng llilokufanya ukaja hapa” ALniamba mzee Sudy. Alinipa ashara nikakaa kwenye kiti naye akakaa kwenye kiti chake.

“ Kijana..” ALiniita.

“ Sifahamu unanunua salama kwa ajili ya nin?” ALiniambia.

Alinangalia kwa umakini kisha akaendelea.

“ Nimejikuta nakuonea huruma, unahangaika na hupati kle unachokitaka. Na hii inatokana na wewe kufanya biashara kitoto sana. Ulmwengu wa leo unamambo meng sana.Chukulia mfano wale watu wa lodge na watu wa mtaan kwako. Sio kwamba hawatak kukuuzia salama, la hasha. Wanataka sana, ila shda ni kuwa wamefungwaaa. Akli zao zimechezewa hivyo kamwe hawawez kukuuzia.”

“Aliowachezea n nani? Na kwanni afanye hivyo?”

“ Hlo swezi kukuambia! Kazi yangu siio kuwataja wanaofanya ubaya, bal kuwasaidia.”

“ Ntafurah sana kama utansaidia.” Nilimwambia. Mzee sudy alisogea pembeni kdogo akachukua kibuyu na kukimimina mkononi kwake. Ukatoka unga. Alinpa kwenye kganja changu na kunitaka niulambe.

Niliulamba.

“ Saf sana. Sasa watu wa lodge na watu wengne wote watakuuzia salama bila shda.”

“ Lakini kwanni had umenileta huku? Huu unga si ungenipa tu kule kule lodge.”

“ Sheria ya unga hautok humu ndani! Wote nawapa hapa hapa, ukitoka tu nje haufanyi kazi. Aliniambia. Nltikisa kchwa kukubaliana nae.

Nilmuuliza kuhusu malipo! Mzee sdy alkataa kata kata.

Kutokana na gza nje, nliamua kubak pale had asubuh, majra ya sa kum na moja nilimuaga na kuondoka pale, lakn ile nmtoka tu mle ndani, kchwa kilianza kuniuma isvyo kawada. Ni kama kuna mtu alikuwa akinigonga na nyundo .

Nilijkaza hivy hvyo had nyumbani.

Nlijtupa ktandan kwa kuzan uenda kitatula lakini hakikutulia.

“ Hk kichwa sio cha kawada, bla shaka dawa ya mzee sudy.” Nlijiambia. Nlchukua smu nmpge kumueleza lakni namba yake haikupatikana.

“ Mmmmh” Nljikuta nmeguna kwa uchungu mkubwa sana.

“ Hapana..hapana…inabidi nimpate mzee sudy anpe dawa nyingne ya kuzimua hii aliyonipa .” Nilijiambia. Nilmpigia jamaa yangu wa yebo akaja kunichukua. Moja kwa moja alinipeleka lodge alikokuwa analinda mzee sudy.

Ajabu, getni nlikutana na mlinzi mwengne tofaut kabisa na mzee sudy .

“ Mzee sudy yuko wap?” Nlmuulza.

“ Mzee sudy ndio nani?” Naye alniulza swali.

“ Yule babu alyekuwa analinda hapa..”

“ hakuna babu anayelinda hapa. Hili ni lindo langu, huu mwaka wote niko mm hapa.” Alniambia.

Mambo ndo kwanza yanaanza.

Itakuwaje? Tukutane kesho kwenye mwendelezo wa kila siku.

SITASAHAU YANYONPATA WAKAT NAFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZLIZOKWWISHA TUMIKA 10

Tulipoishia

“ hakuna babu anayelinda hapa. Hili ni lindo langu, huu mwaka wote niko mm hapa.” Alniambia.

Endelea nayo.

Hakika nilishangaaa. Yalikuwa ni maajabu, macho yalinitoka isivyo kawaida na kichwa kilizid kuniuma. Maumivu yalkuwa makal isivyo kawaida. Nilinyongonyea nikawa nimekishika kichwa na pale pale nilianguka chini mzima mzima.

……………………..

Nilizinduka nikajikuta nipo hospital, mbaya zaidi sikuwa kwenye wodi ya kawaida, nilikuwa kwenye wodi ya vichaa.

“ Kwanini nipo hapa?” Nliwaulza wenzangu.

“ Hakuna alyenijibu. Kila mmoja alikuwa bize na yake. Haraka haraka nlshuka ktandani. Niliangaza kushoto na kulia nikamuona mama na baba wakiwa wanakuja nilpokuwa mimi.

“ Mwanangu pole sana.” Aliniambia mama.

“ imekuwaje nipo hapa?” Niliwauliza.

“ Inamaana haukumbuki yaliyotokea?” Aliniuliza baba.

“ Nakumbuka mara ya mwisho nilikuwa naongea na mlnz wa lodge! Baada ya hapo sjui nni kilitokea.” Niliwaambia. Baba na mama waliangaliana kisha baba akanishika mkono.

Aliniambia siku naongea na mlinzi wa lodge, wiki moja nyuma nilianguka na kupoteza fahamu, aliniambia baada ya kuzinduka nilianza kufanya vitu vya ajabu! Anasema eti nilianza kufukuza watu hovyo na pia nilikuwa naokota makopo.

“ Aaaah”

“ Hivyo ndvyo ilivyokuwa mwanangu.Baadhi ya watu wanaokujua walitupigia simu ndio tukaja. Tulikukamata kwa nguvu na kukuleta hapa hosptali. Hii ni hospital ya vchaaa.”

“ Inamaana nimekuwa kichaaa?”

“ Kwa matendo yako inaonesha hvyo! Moja ulkuwa unafanya vitu visivyoeleweka! Hebu fikiria nyumba unayao lakin ulikuwa unalala mtaani.” Aliongea baba. Maneno yake yalinivunja nguvu kabisa.

“ Laakin naanzaje kuwa kchaaa?”

“ Ukiuliza hivyo unakosea! Kla mwanadamu anaweza kuwa kichaaa, lakn pamoja na hilo bnafsi niliamua kufatilia. Licha ya kukuleta hapa hosptali, pia nilienda kwa mganga kumuuliza kuhusu hili. Alipoangalia alsema unavita na majini. Kuna mambo ulkuwa unayafanya ambayo yalikuwa yanawakera na kuharibu mipango yao, hvyo waliamua kukunyeshwa dawa ndio mana ukawa hiv.”

“ inamaana mzee sudy alkuwa ni jinni?” Niljuliza.

“ Hapana..hapana..” Nilijiambia, haraka nlimuomba baba aende kwa mzee sudy. Nilmpa ramani kama alvyonpa mzee sudy. Baba muda ule ule aliondoka na kuniacha na mama.

“ sasa nipo sawa. Nazani naweza kuruhuswa kurudi nyumbani.” Nlimweleza mama.

“ Subir tupate majibu kutoka kwa waataalamu.” ALiniambia.

…………

Masaa mawli mbele, baba alirudi na majibu yaliyonichanganya .

“ Ulposema niende hakuna nyumba zaidi ya shule. Pia mtaa wote ule hakuna mtu anayeitwa mzee sudy.” Aliniambia.

“ Hapana..hapana..” Nlmwambia nikiwa nataka kushuka kitandani.

“ Unataka kwenda wapi?”

“ Kwa mzee sudy, bila shaka umekosea. Umeenda sehemu ambayo sio.’ Nilmwambia, lakini kabla hajanijbu nilikumbuka kaul ya mlinz wa kwenye ile lodge kuwa mlnz wa pale ni yeye wala sio mzee sudy.

“ Ulkuwa mchezo.” Nilijkuta nmetamka.

“ Ni kweli ulkuwa mchezo! Na kama sisi tungekuleta hospital haraka haraka pasipo kwenda kwa mganga bila shaka had sasa ungekuwa kchaaa.” ALiniambia baba. Licha ya maelezo hayo walinisihi niendelee kukaa hospitali.

Nilikubali.

Siku ya tatu niliamua kuomba ruhusa, licha ya hali yangu kutokuwa nzuri nilimtaka daktar aniruhusu nirudi nyumban! Nilimuahidi kurudi siku ya pili kwa uangalizi zaidi.

Alkubali.

Nlitoka hosptali na kuelekea nyumban! Majirani na baadh ya watu wengine walinishangaa. Wengi wao walinikwepa. Nadhani waliamni mimi ni kchaaa. Sikuwajali. Nilienda hadi nyumbani kwangu. Niliingia ndani na kuangalia mazingira ya chumba changu.

Yalikuwa yapo vile vile.

Nilitoka nje na kuelekea nyumban kwakina ashura.

“ Kwanni nikutane njiani na Ashura akiwa na kwato? Na kwanin alkuja kunilaumu kwa yeye kukosa mtoto.” Nlijiulza nikiwa naelekea nyumban kwake. Mitaa kadhaaa kufika, kauwoga fulan kaliniingia! Nilkumbuka ilivyokuwa ile siku usiku.

‘ Akiwa mchawi si anaweza kuniua huyu mshenzi?” Nilijiulza.

“ Potelea mbali! Liwalo na liwe. Haiwezekani anifanyie ujinga ! Leo atanieleza kwanin alisema mmi ni chanzo cha yeye kukosa ujauzito! Pia atanieleza sababu ya kunitokea usiku akiwa na makwato yake.” Niljiambia.

Nilijitutumua bila woga nikaenda kugonga mlango wao.

‘ Karibuuu.” Nilisikia sauti ya alex ndani.

‘ Ahsante” Niljibu.

Alex alkuja kufungua mlango.

“ Rich..” ALinshangaaa.

“ Usinishangae..namtaka mkeo sasa hivi.” Nilimwambia.

“ Aaaah! na ukichaa wako unataka kumfanya nin mke wangu?”

“ Mim sio kichaa aiseee.. mlete mkeo nje hapa..” Nilimwambia. Mabishano yetu yaliwafanya watu waliokuwa ndan waje. Tukiwa tunabishana nilimsiia ashura akimwambia babu yake abaki ndani yeye anatoka kuangalia kuna nini.

“ Siwez kukuacha uende huko nje peke yako.” Babu yake alijbu, nae almfata mwanae kwa nje. Wote walitoka nje.

“ Aaaah!” Nliduwaa baada ya kuwaona. Babu yake ashura alikuwa mzee sudy.



SITASAHAU YALYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 11

“ Aaaah!” Nliduwaa baada ya kuwaona. Babu yake ashura alkuwa mzee sudy.

Kwa kasi ya umeme nlimvamia mze sudy tukaanguka wote chini! Puuu. Haraka nilsmama na kumkalia kwa juu.

“ Puuuu..puuuuu..puuuu.” Nilmpiga mfululizo pasipokumpa nafasi ya kujitetea. Aljaribu kunisukuma nitoke juu ya mwil wake lakini alishndwa. Alex nae alkuja kujarbu kunitoa lakin alishindwaaa.

Nilmpiga sana.

“Wewe ndio chanzo cha mm kuwa kichaaaa..” Nilimwambia huku nikiwa nampiga.

Kwakushirkiana na majirani pamoja na mke wake, alex alifankwa kunitoa juu ya mwili wa mzee sudy. Nae kwa hasira alnipga usoni! Bahat mbaya alnipiga nikiwa nimeshikwa. Nilipojitahidi nitoke nilipe kisasi ilishindikana. Majirani walkuwa wamenishika vzuri sana.

“ Puuu..puuuu.” ALnpiga.

“ Alex hebu acha..usijichukule sheria mkononi.” ALiongea mwenyekt wa mtaaa. Alex aliniacha. Mwenyekiti alitutaka wote tuingie ndan tuongee .

Tuliingia.

“ Naomba kla mmoja aeleze upande wake! Nataka tuyamalze haya hapa! Sitak maswala ya polisi wala maswala ya ofisini! Nyie wote ni wananchi wangu hivyo nnawajibu wa kuwalinda kwa kla kitu.” Aliongea mwenyekiti ksha akanipa naafsi ya kujieleza.

Nilieleza yote! Mwanzo mwisho.

“ Hapana..mmi sijawah kuja kwako na kukuambia wewe ndo chanzo cha mmi kutopata ujauzto..sijawahi kufanya hivyo mimi.’ ALjitetea ashura.

“ Kwahiyo mm kchaa? Yaan nitunge tu?” Nilimuuliza.

“ Kwani wewe nani had usitunge? Inashindkana nni wewe kutunga?” ALniulza. Sikumjibu. Nilimtazama tu kwa hasira .

“ Ashura! Naomba tuwe wawazi kwa kila jambo hapa… Huyu ni mtu mzima. Hawezi kutoka huko na kuja hapa kuyaongea haya , hilo haliwezekani, lazma kuna kitu! Na swala la kumwambia yeye ndio chanzo cha wewe kutopata mtoto lnawezekana. Naomba ongea ukweli..”

“ Mm sijawahi kwenda kwa huyu mtu? sijawah kabisaa. Hebu mwenyekiti fikiria tu, hata swala la kusema sijui miguu yangu inakwato! Hiv hapa unaona kwato kwenye miguu yangu?” ALiuliza ashura.

“ Sioni kwato! iLa kwakuwa umekataa sio mbaya! Acha tumuulze na babu hapa? Kwa maelezo ya rich ni kuwa kwa mara ya kwanza mlikutana lodge, kisha baadae saa nane usiku alifika nyumban kwako ukampa dawa ambayo ilimfanya akawa kchaa?’

“ Sio kweli kabisa..,huko lodge mmi nikafanye nini?” ALiuliza mzee sudy.

Kataaa yao niliona inanichosha! Nilikata shauri nikasimama.

“ Sikia mwenyekiti! Hawa watu wanajfanya wajanja! Tutapambana nao kwa njia nyingine, acha waendelee kujifanya wajanja..” Niliwaamba. Nilijiweka sawa na kuelekea mlangoni, lakn kabla sijakifika kitasa cha mlango, alex alinishka began na kunitaka nirud nikae.

“ Nikae nfanye nini?” Nlimuuliza.

“ Kaaa tu.” ALniambia.

Nlkubal na kukaaa.

‘ Ndugu mwenyekit aliyoyaongea Rich hapa ni kwel! Ni kwel mke wangu alimfata na kumwambia kuhusu mtoto! Nasema hivyo kwakuwa siku ambayo Rich anasema mke wangu alienda kwake ni siku ambayo mke wangu alienda kwa babu yake huyu mzee sudy, na aliniambia kaambiwa kuna mtu anazuia hilo.”

“ Mume wangu…”

“ Kaa kmya tafadhali! “ ALongea kwa ukal alex.

Aliendelea.

‘ Hapo nje nlikuwa nagombana na rich bas tu! iLa ukwel wote naujua, Japo mke wangu alnficha na babu pia alnifcha.” Alongea alex.

Mzee sudy alivuta hewa kwa ndani kwa nguvu sana! Ksha akaitoa nje na kumtaka radhi mwenyekiti.

“ Naomba nsamehe sana! Nilkataa na mjukuu wangu alkataa kwakuwa hatukutaka mumewe ajue kitu! ila kwakuwa kashajua haina haja ya kuficha tena. Yote yanayosemwa hapa ni kweli, ila ashaura sio jinni, ule usiku nlmchezea tu akili huyu kijana ili kumtesa. Maana alichokfanya kwa mjukuu wangu sikukipenda kabisaa.”

“ Nimefanya nn mzee?’

“ Ulimfunga uzaz alex na mkewe, zle salama ulzokuwa unakusanya unazan kaz yake nn? Kwasababu ya wewe kuwa na maniii ya alex kwenye zle salama , basi ashura kamwe asingepata mimba! Hivyo ili kumtibu kwanza ilibid kukudhibiti. Na ndio mana niliamua kukufanya uwe kichaaa na pia ndo mana niliamua kuchukua salama zote zilzokuwa kwako na pia kukupa gundu ya watu kutokukuuzia salama .” Aliniambia.

Looh! Niljikuta nmelowa. SIkuwa najua kama kaz ile inawafanya watu wasiweze kuzaa tena.

“ Lakini haya ni mambo ya kishirikina, na kaka yangu hana kabisa ushirikna! Kaka yangu n msom mkubwa? Kaka yangu ni mtu wa sayansi. Uchawi na haya mambo wapi na wapi?” Nilijiulza moyoni.

Sikupata majibu.

Kutokana na maelezo ya mzee sudy, mwenyekit alinitaka niache ile kazi! Pia alitupatanisha kisha kila mmoja akaondoka. Nilirudi hospitali. ILe nafka tu, nlikutana na mama pamoja na baba. Walnifokea sana baada ya kugundua nmetoka pale bila ya wao kupata taarifa.

Nilkwasihi wanisamehe wakanisamehe.

Tuliingia wodini.

‘ Kaka yako anataka kuogea na wewe.” Aliniambia baba. ALitoa simu yake na kumpigia kwa watsup. Simu iliita kisha ikapokelewa.

“ Brooooooo shikamooo.”

“ Usiniite broooo..nataka salama au hela zangu… una sku mbli tu! Lasivyo kitakachokupata usishangae.” ALiniambia na kukata simu.

SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZ YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 12

“ Usiniite broooo..nataka salama au hela zangu… una sku mbli tu! Lasivyo kitakachokupata usishangae.” ALiniambia na kukata simu.

Niliduwaaa.

Macho yalinitoka misiri ya fundi saa kapoteza nati. Niliwaangalia baba na mama lakini sikuwaona. Kwa sekudne kadhaa nilikaa kimya kama mwendawazmu! Baba na mama waliniuliza kulkoni lakini sikuwasikia kutokana na mawenge.

“ Rich..rich..’ Baba aliniita huku akinitiksa tikisa.

“ Ungempigia kaka yake kwanza…yeye ndiye aliyesababsha hi hali.” ALiongea mama! Baba alkubali, alsogea pembeni na kumpiga kaka.

Hakupokea.

“ Hebu niambie kaka yako kasema nin?” ALiniulza.

“ Anataka hela yake..”

“ Alikukopesha?”

“ Hapana. Alnpa kle kazi niliyokuambia! Sasa kazi imeshndikana, halafu kumbe ile kaz sio salama kabisa kwa jamii! Wote ambao nachukua salama zao hawataweza kupata watoto tena.” Nilimwambia.

Baba kwa mshangao alijiziba mdomo.

………………….

Baada ya kutafakar kwa kina sana, baba aliniambia niondoe hofu, kwakuwa Elgius ni kaka yangu bas hawez kunifanya chochote kbaya! Aliniamba kama ataendelea kuning’ang’aniza nmpe hela yake bas niwasiliane naye yeye.

“ Sawa.’ Nlimjibu .

“ Kweeh.” Mlango wa wod yetu ulfunguka akaingia daktar akiwa na file mkononi.

“ Rich unaendeleaje?” ALiniuliza.

“ Npo sawa kabsa..naendelea vzur.” Nilmjibu.

“ Ok sawa..sasa sisi hatuna tena chakukutibu! Hali yako naona ipo sawa. Kila kitu kwenye mwili wako kimeimarka. Hivyo unaruhusiwa kurud nyumbani.” ALiongea. Kwa pamoja na wazazi wangu tulimshukuru akaondoka.

Baba alienda ofisin akamalizia taratibu na kufanya malpo mengine kisha tukaondoka! Siku ya pili wao walirudi iringa .Wakati wote wamefika pale kuniuguza,walikuwa wanakaa ndugu yetu aitwae seleli.

……

Nikiwa peke yangu nyumban nilikumbuka kaul za kaka kuwa atanifanya kitu kibaya. Lcha ya kias fulan kunipa hofu niliamua kuzipuuza, kwanza halikuwa kosa langu salama kupotea, pia mwenyekiti aliniambia nisifanye tena ile kazi pale.

Nilijlaza kitandan nikifkir kitu gani naweza kufanya kuendeleza maisha yangu!

Sikukipata.

“ Kaka aliniwah kuniambia niende marekani nikakataaa.. acha nimuambe anifanye mpango niende.” Niliwaza. Haraka nlchukua simu yangu na kumpigia.

Baada ya salamu nilmueleza mpango wangu.

“ Aaah! Yaani baada ya kuzitafuta salama zangu unawaza kuja huku? Hvi unaakili wewe?’ ALiniulza kwa ukal sana.

“ Hiv unazani nafanya utan ninavyokuamba nataka salaam zangu au hela?”

“ Lakin kaka…”

“ Hakuna cha lakini… wewe unazani utani! Ngoja sasa nikuonyeshe mimi sio wa mchezo mchezo.’ ALikata simu. Sikujihangaisha nae. Niliiweka simu pembeni na kujilaza kitandani. Haikuchukua muda nililala.

“ Meryc..mercy..mery..” Nilitamka pasipo kujielewa.

Gafla nilishtuka.

Nilikuwa peke yangu chumbani!

“ uuuh!” Nilihema. Hli jina la mercy, ni jina ambalo mara nying nimekuwa nalitaja. Toka nikiwa mtoto nilkuwa nalitaja sana pasipokumjua mercy mwenyewe .Hata nikiwa nafanya mapenzi, mara kadhaa nimekuwa nalitaja kiasi cha wapenz wangu kuchukia na wengine kuniacha.

“ Hili swala la mercy nalo spaswi kuliacha hvi hiv! inabidi nifanye jambo.” Nilijiambia Nililivuta shuka gub gubi nikalala.

Dakka tatu mbele, mlango wangu uligongwa. Kabla ya kufungua nliangalia saaa. Ilkuwa ni saa nane usiku.

“ Nani wa kuja kuniamsha saizi?” Nlijiuliza. Kinyonge nljweka sawa. Niliwasha taa ukutani na kwenda kuufungua mlango.

“ Samahani! Mim ni mgen hapa.. naomba msaada wa sehemu ya kulala..’ ALiniambia.

Sikumwelewa, kwanza nilijipikicha macho. Nilihis naota. Haikuwa kawaida, nyumba yetu ilikuwa mbali sana na barabara. Haikungia aklin mtu atoke barabaran aje agonge mlango wangu.

“ We ni nani?” Nilmuuliza.

“Tafadhal naomba kwanza nikae..nitakueleza kila kitu.” ALinambia. Kabla hata sijamkaribsha ndani alingia na kukaaa. Nikiwa namtafakari vzur, simu yangu iliita. Niliitazama alikuwa kaka.

“ Mmmh!” Nilijikuta nimeguna.

SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILIZOKWISHA TUMIKA 13

“ Mmmh!” Nilijikuta nimeguna.

Kwa tahadhar nilmtazama yule jamaa kisha nikaisogelea simu yangu. Niliipokea.

‘Nisikilize kwa makin sana! Kwakuwa ni mdogo wangu nakupa nafasi nyingne ya kuishi! Watu ninaofanya nao kazi hawanaga dogo! Ukizingua unakufa! Huyo mtu alyekuwa kwako hajapotea njia.” Alniambia na kukata simu.

Gafla, kwa kas ya umeme yule mtu alinirukia. Nikiwa nashangaa nilijkuta nimelala chini na kisu nimewekewa shingoni.

“ Kwaheriii..” ALiniambia huku akikikandamza kisu chake shngoni kwangu.

“ Triiiiiiiiiiiiiiiiiiii.” Mlio ulisikika kwenye kifaa kilichokuwa shngoni kwake.

“ MUNGU wako mkubwa sana…umepona..” ALiniambia. Alsmama haraka haraka na kutoka mle ndani. Jambo lilifanyika kwa muda mfupi sana. Haraka nilifungua mlango kumuangala nje sikumuona.

“ kaka.. anataka kuniua kwel?’ Nilijiuliza. Pasipokujielewa haja ndogo ilinitoka na kulowesha nguo yangu. Nlitetemeka kama nimepigwa na shoti ya umeme.

………………………………

Asubuh sana ya siku ya pili nliamua kuingia mtaani! Skuona njia nyngine zaidi ya kumtafutia kaka salama zake. Kwakuwa sikuwa na hela nilipanga kupita kwenye mshimo ya lodge na guest house. Niliamin lazima nitazikuta salama tu.

Nilizunguka lodge zote, lakn ajabu sikuzikuta salama.

“ Kaka umeamua kuangalia shimoni badala ya kuja kununua kwangu?” Dada wa mapokez aliniuliza.

“ We si ulikataa kunuzia.”

“ mmmh! mwenzagu siku ngap zile nahsi kama sikuwa mm! kabsa nahsi nilirogwaaa.”

“ Ni kwel ulichezewa..ila sasa nataka hzo salama japo sina hela.”

“ Aaah! Unataka nkupe bure ukauze upate hela nyngi.”

“ Haipo hvyo..”

‘ Hapana aiseee, bila elfu 25 sikup salama.. sikup ng’ooo.” Aliniambia. Niljaribu kumbembeleza lakini ilikuwa bure! Alkuwa kashafanya maamuzi yake. Sikuwa na namna niliondoka.

“ Hakika hawa walifungwa ndio mana kipndi kle walikataa na sasa wanakubali.” Nlwaza. Nlirudi nyumban, watu wa mtaan hakuna hata mmoja aliniuliza wala kuniletea salama, licha ya gundu kutolewa. Nazani Hii ilitokana na taarfa ya uzazi wao kupotea ikiwa watanipa salama.

Nlirudi nyumban na kujifungia ndani.

“ Napata wap salama?” Nlijiulza.

Nikijiulza hayo, simu yangu iliita. ALikuwa kaka. ALiniambia nimebaki na masaa 36 ya kukamilisha kaz aliyonipa. Aliniambia nkishndwa bas yule mtu ataniua. Niliogopa sana aiseee. Muda ule ule nilitoka nje tena. Nlizurula kila sehmu lakini sikupata ktu.

Giza lilipongia, nilienda kwenye uchochoro wa kwa mangi! Walev wengi wa bar ya DX uwa wanafanyia mapenzi pale baada ya kulewa. Nilitega na kutulia kimya kuwasubri waje.

“ Wakiacha salama zao tu, haraka sana naziokota.” Nilijiambia.Nilijibanza kwenye kona kimya kuwasubri, dakka kum na tano mbele, Nilimuona mage na jamaa ambaye skuwa namfahamu wakienda kwenye ule uchochoro.

“ Yes.” Nilijisemea moyoni.

Nilitulia kimya ili wasinione.

Dakika saba mbele walitoka kule kwenye giza na kuweka nguo zao sawa.

“ Tayri.” Nilijiambia. Haraka haraka nilienda pale walipofanyia! Nliwasha toch ya smu na kumulika. Looh! Hapakuwa na kitu.

“ Inamaana wamefanya bila kondomu?” Nilijiuliza.

“ Yule jamaa boya sana..anafanyaje bila kondomu.” Nilijiuliza.

Nlrudi kwenye kona yangu na kusubir wengine. Haukupita muda mwiing walifika. Dakika kadhaa mbele nao waltoka! Lakin kama ilivyokuwa kwa wale wa mwanzo, nilipoenda nao likuwa vle vle. Hakukuwa na salama.

“ Hawa watu mbona wajnga sana! Wanafanyaje mapenzi bila salama?” Nilijiuliza sana.

Nliendelea kusubr, lakin hadi bar inafungwa, wote waliingia kwenye ule mchochoro hawakuacha salama. Hii iliniumiza kichwa sana.

“ Kesho inabdi nlete box la kondom na nimkabz meneja wa hii bar! Tena inabidi nisilete mmi asije kunshtukia.” Nlwaza.

Kinyonge nlrudi nyumbani.

Njiani smu yangu iliingia ujumbe! Ulikuwa umetoka kwa kaka.

“ Yule jaamaa anakuja usiku wa leo kuangalia kama kaz unafanya au unaleta tu masihara..” Ulisomeka ujumbe.

“ Nafanyaje?” Nilijiuliza. Haraka nliwahi lodge jiran . Niliongea na muhudumu akaniuzia salama mpya.

“ Hizi mpya nakupa tu! Hata ukitaka box kumi nakupa lakini zile zenye manii lazima unpe hele..tena unipe cash.’ ALiongea yule muhudumu. Skumjibu, nilpokea salama alzonipa na Haraka nilijweka sawa na kuwahi nyumban. Nilifungua mlango wangu nikawasha taaa. Kwa umakin mkubwa nlienda sehmu ninayopikiaga chakula na kutafuta mende.

Katka pekua pekua nilipata mende wawili.

“ haraka nilivua suruali yangu na kumuweka mende mmoja.” Nlivaa kwenye maungo yangu. Kama ilivyo siku zote, mende kila alpotaka kutoka alintekenya hali iliyonifanya nijisikie raha sana. Raha ile ilifanya nifike mshindo.

Haraka niliivua ile salama na kuvaa nyingne ikiwa na mende ndani, tofaut na mwanzo safar hii mende licha ya kunitekanya naniliua yangu haikusimama wala kushtuka. Muheshimwa ni kama alikuwa kalala usingizi wa fofofo.

Nlivuta hisia na kujarbu kumtiksa lakin hakuznduka.

Nikiwa nawaza nfanye nn, mlango wa chumba changu uligongwa. Sauti ya alyegonga ilipoingia tu sikioni nilimkumbuka.Puuuh. Moyo ulidunda.

Nani huyo? Tukutane kesho kwenye muendelezo.

SITASAHAU YALIYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 14

Nikiwa nawaza nfanye nn, mlango wa chumba changu uligongwa. Sauti ya alyegonga ilipoingia tu sikioni nilimkumbuka.Puuuh. Moyo ulidunda.

“ Nafanyaje?” Nilijiuliza.

Ubongo ulichakata hali ya hatari iliyokuwa mbele, kwa kas ya ajabu ulifanya kaz na kunpa majibu! Pale pale paspokushangaa wala kujiuliza mara mbil nilifungua salama zote zlzokuwa kwenye paketi.

Haraka sana nkawa nazimiminia manii kutoka kwenye ile salama niliyojichua nayo kwakutumia mende.

“ Uuh.’ Nilihema baada ya kumalza kisha nikaenda kumfungulia mlango. Aliingia paspokuongea lolote. ALikagua kagua ndani akaziona zile salama.

“ Saf..japo ni chache ila safi.” ALiniambia! Pasipokuongeza neno aliondoka.

Nilizitazama zile salama nkwa nimesmama kwa dakka zaid ya saba kisha nikaenda kukaa kitandani.

“ Nitaweza tu.” Nilijiambia na kulala kitandani.

………………….

Asubuhi ya sku ya pili kama nilivyopanga! Nilimseti dereva yebo wa mbali napale akapeleke box la salama kwenye ile bar. Nlmwambia wakimuulza imetoka wapi aseme angaza wamemtuma azisambaze. Yule boda alkubali. ALichukua box na kulipeleka kwenye ile bar.

Baada ya boda kupeleka mimi niliingia mtaan! Nilizurula hovyo pasipo mpangilio. Nilienda huku na huku, nilikagua mashimo ya taka taka na uchochoron! Nilipona kasha la kondom nilipapekua kupita maelezo.

“ Kaka unatafuta nini?” Saut tamu sana ya kke iliingia sikion mwangu! Haraka niliinua macho kumtazam aliyeyasema yale.

Niliduwaaa.

Alikuwa msichana mmoja mrembo sana.

Alikuwa mweupe sana, kwa kumuangalia tu wala usingejiuliza swali kama alikuwa mrangi au la. Alikuwa msichana mzuri haswa, shepu nzuri balaaa. Mwili wake ulikuwa mwembamba huku kwa mbali hipsi zake zikiwa zinaonekana.



“ Nakuuliza wewe kaka! Unatafuta nini kwenye shimo langu la taka taka?”



“ aaaa..aaaaa..aaaa’ Nilishkwa na kigugumizi.



“ Lily nawe! Hvi unategemea chizi huyu atakuambia nini la maana. Hebu achana nae..” Aliongea shoga yake.



“ Haonekani kama chizi.” ALijibu Lily! Waliniacha nimeduwaa wakaenda ndani kwao. Niliwasindikiza kwa macho hadi wakaingia ndani! Njia nzima yule mwngne mwenye sura mbaya kama mimi alikuwa akingangania eti mimi ni chizi.



Maneno yake yalinfanya nikumbuke kaul ya rafik yangu mmoja aitwae paul! Kpindi tupo shule aliniambiaga mara zote mademu wazuri uwa wanaongozana na mademu wenye sura mbovu sana, na mara nying wale wenye sura mbovu na muonekano wa ajabu ndio wanajifanya wajuaji sana.



“ Paul alkuwa sahihi.” Nilijiambia.

Kuondoa nuksi niliamua kuondoka kwenye lile shimo la taka.



Lakini nikiwa hatua kadhaa kutoka pale, yule dada mrembo aliniita. Kinyonge na kwa wasiwasi sana nilienda.



“ Kuna chakula hapa..njoo ule kisha uendelee na kazi yako..’ ALinambia.



“ Ahsante dada! Npo sawa.” Nilimjibu.



“ Acha aibu bana! Chakula kiko kingi tu ndani.”Alniambia huku akifungua mlango na kunitaka niinge ndani! Sikuwa na jins nliingia, lakini ile naingia tu, yule dada mwenye sura mbaya aliniwahi kwa maneno ya shombo sana. Alnitaka nisikanyage kapeti wala sofa.



Alnitaka nikae eneo lle lile la mlangoni.



“ Acha tabia mbaya Ana..hebu mwache akae..kaa pale wewe..” ALnambia lily akiwa analionesha sofa.



“ Mwenzako yupo sahhi! Nitachafua sofaaa.’ Nilmwambia.



Yule binti mwngine ambae nilikuja kumjua anitwa Ana alniletea chakula! Nilikula haraka haraka nikamaliza. Nliwashukuru sana kwa wema wao! lily alniamba nisijali.



“ Chukua hivyo vyombo kaviweke kule kwenye sink! Tena kavioshe kabisaa… hakuna mtu wa kukusafishia hapa..” Alongea Ana kwa nyodo zote.



“ Usifanye hivyo bana.” ALongea Lily



“ Usijali..” Nilimjibu na kuelekea eneo aliloniambia. Nikiwa kwenye varanda, kabla sijakata kona kuingia jikon ambako ndiko nilitakiwa kwenda kuviosha, macho yangu yalitua kwenye chumba cha pili! Kwenye kona ya kile chumba niliziona salama tatu zikiwa zimeshatumika.



Haraka niligeuka nyuma kuangalia kama kuna mtu! hakuwepo, haraka haraka nilwah pale konani na kuzichukua zile salama, lakni ile nataka tu kuziweka mfukoni, lily alitokea.



SITASAHAU YALIYONIPATA WAKAT NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOKWSHA TUMIKA 15



Haraka niligeuka nyuma kuangalia kama kuna mtu! hakuwepo, haraka haraka nilwah pale konani na kuzichukua zile salama, lakni ile nataka tu kuziweka mfukoni, lily alitokea.



“ Kulikoni? Unachukua nn huko?” Aliniuliza.



“ Amechukua kitu?” ALidakia Ana kutokea barazani! Haraka alimpita lily na kunifata niliposmama. Alinikuda roba na kunitaka niseme nilichochukua! Aliingiza mkono wake mfukoni mwangu na kuzitoa zile salama.



“ Aaaah! wewe ni mshirikina?” Aliongea kwa sauti kubwaaa.



“ Unatembeaje na salamaaaa zlizotumika?” Aliniulza.



Sikuwa na lakufanya zaidi ya kuwatazama tu! Akili yangu iliwaza yasiyowezekana! Haikuniingia akilin zile salama kukaa pale! Kla nlipofikiria niliona ni kama mtego hivi. Haikuwa sawa hata kodogo.



“ Hawa watu wanaanzaje kunikarbisha ndani kwao wakati hawanijui?” Nilijiuliza. Sikuwa na majibu! Muda wote niliwaza nilivyoingia inga mle ndani .Nilikosa kabisa majibu! Nilihisi kuna jambo lisilo la kawaida.



Ana baada ya kuzitoa salama mfukon alinikuda roba kwa nguvu sana.



“ Hizi salama wewe za nini? Kwanin unatembea na salama zilzotumika?” Aliniulza.



Nlimtazama kwa tahadhari sana huku nikiisoma akil yake! Nilimuangalia machon kwa sekunde kadhaa akakwepesha macho yake! Nilimgeuka lily na kumkazia macho! Naye hakuwa na ujasiri wa kuniangalia machoni! Haraka sana alikwepesha macho.



KuKwepesha kwepesha macho kulinifanya niwaze ktu.



Baada ya kukifkir iko kitu nilcheka. Tena nilicheka kwa nguvu sana. Ana na Lily waliangaliana. Niliviweka vyombo chni kisha kwakujiamini sana nilimsogelea Ana.



“ We ni nani? ’ Nlimuuliza nikiwa nimemkazia macho. Kwa hofu alirudi nyuma. Alnitsha kupiga kelele na kujaza watu! Wala sikuogopa. Nilimpa ruhusa. Nilimwambia apige kelele kama anavyotaka .



Hakupiga.



Nilimpita na kumfata Lily. Naye nilimkazia macho na kumuulza yeye ni nani! Kama ilivyokuwa kwa ana nae aliktaa kabsa kuniambia chochote kile. Nilijikuta nacheka tena. Nilicheka kama kichaa hiv nikawa nawatazama.



“ Paaa.paaaaa…paaaaaa.’ Nilipiga makofi.



“ Hongereni sana…hongereni sana..” Niliwaambia.



“ Hongera ya nini?”



“ Mpango wenu umefanyika kama vle mlivyotaka! Kwanza mlnivamia kwa maswal pale jalalani, ksha mkaniita ndani kwenu na kunipa chakula. Kisha baadae mkaweka mtego wa salama na kuniambia nipeleke vyombo jikoni. Lengo lenu nizione hzi salama ksha nizichukue." Niliwaambia.



Macho yaliwatoka kwa mshangao. Muonekano wao ulonesha nilichosema ni sahihi.



“ Mnataka nini kwangu? Na kwanni mmenfanyia hivi..eeeeh?” Niliwauliza.



“ Kusema ukwel tu…” Ana altaka kuongea lakini alikatishwa na Lily. ALmtaka akae kmya, Kisha taratbu sana lily alinisogelea na kunishika mkono. Alpiga hatua na kutaka twende barazani.



Nlkataa.



Sikuwa tayar kwenda barazan.



Niliutoa mkono wake na kutaka kuinga kile chumba ambacho niliona salama mlangon. Nikiwa nalivuta pazia, haraka sana Lly alitoa bastola na kunioneshea.



“ Nilionekana mwema lakini sio mwema kama ulivyofkiria. Uwa naongea mara moja tu! Na nikisema unatakwa kufanya kile ninachokuambia.” Alniambia.



“ Achia hilo pazia na haraka sana geuka kunifata.” Aliniamba. Taratibu nlliachia pazia na kumfata . Kabla sijamfikia nilikata shauri! Oblangata yangu iliniambia niingie kle chumba. Shauku ya kujua klichokuwa ndani ilkuwa kubwa kupita maelezo.



Pasipokujal bastola yake niligeuza na kueleka kwenye kile chumba! Kabla sijaingia Ana alniwahi na kukaa mbele yangu.



“ Acha niingie.” Nilimwambia.



“ Humu huingii aiseee.” ALiniambia.



“ Kwakuwa mmekataa kuniambia nyie ni wakina nan nitaingia! Tena nitaingia na hamtanifanya chochote kle.” Niliwaambia. Nilimshka Ana kwa nguvu na kumtoa mbele yangu! Nilisukuma mlango, haraka sana Lily aliniwahi.



“ Huwezi kuinga.” ALiniambia. ALnvuta mkono nikaanguka chini! Nikiwa chn alinyanyua mguu juu na kunipiga nao tumboni! Niligumia kwa maumivu makali.



“ Nlikuambia! Mmi sipo vle unavyofikiria” ALiniambia. ALinshika mkono na kunivuta kwa juu! Nilsmama, nilijaribu kumpga teka lakni alilipangua kiurahisi sana. Hakuwa mwanamke wa kawaida. Alikuwa anazijua sanaa zote za mapigano.



“ Hatuna haja ya kuendelea na haya yote! Naomba kuwa mpole. Kwa pamoja naomba twende barazani tukaongeee.”Alniambia. Alinnyanyua msobe msobe na kunipeleka barazani. Sikuwa na namna, ilibidi niwe mpole.



“ Kwanini unatafuta salama! Na unazipeleka wapi?”Aliniuliza swali.



“ Nyie ni wakina nani?” Nami nilmuulza swali.



“ Naona tunaongea kwa maswali! Ila haina shida, nitakuambia mimi ni nani kwakukuingia kwenye kile chumba.” ALiniambia. ALinitaka nisimame. Nilismama tukaelekea kwenye kile chumba. Lily alisukuma mlango nikaingia.



Loooh.
 
SITASAHAU YALYONIPATA WAKATI NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZLZOKWSHA TUMIKA 16



Loooh.



Chumba kilkuwa kimejaa salama! Kulikuwa na roba zaidi ya tatu! Zote zimefungwa salama zilzokwsha tumika.



“ Unazipeleka wapi hizi zote?” Nilimuuliza.



“ Aahahaha.ahahahaha..” Lily alicheka.



“ Unacheka nini?” Nilimuulza.



“ Nacheka kwakuwa swal uliloniuliza ni swali ambalo hata mimi nlitaka kukuulza. Nahitaji kujua na wewe unazipeleka wapi salama ulizokuwa unaziokota barabarani.?” Alinuliza. Nilishindwa kumjbu! Hvyo nilimuangalia tu!



Ukmya ulitawala.



“ Tukiendelea kuangaliana hiv tutakesha hapa! Ni vyema tukaelezana. Wewe unatafuta salama, na sisi pia tumekuwa tunafanya kazi hio ya kutafuta salama zilzokwsha tumika. Tulivyosikia na kukuona unaztafuta tulitaka kujua ni za nini. Hvyo ndio mana nikafanya njama na shoga yangu li uje huku. Lengo letu sio baya ni kujua tu.”



“ Kukweli mmi sifahamu znatumka kwenye nni! ILa nimepewa tu kaz ya kuzitafuta.” Niliwaambia.



Kishingo upande waltiksa vichwa vyao kukubaliana na mim! Waliniambia hata wao hawajui zle salama ni za nini! ila wapo pale kuzilinda. Bos wao ndye anayezkusanya na kuziweka pale.



Hawakuonekana kama wanadanganya.



Nliwaomba niondoke wakanishi nisimwambie mtu kuhusu nilchokona pale! Niliwatoa hofu ksha nikaondoka. Nikiwa Mita tatu kutoka pale, nilmuona Lly na ana wakitoka nje kuniangalia. Sikuwajal. Nilongeza mwendo na kuondoka kabsa eneo lile.



…………………..



Niliendelea kuingia majalalani na kutoka! Nilizunguka maeneo yote yenye ushawish wa watu kufanya ngono lakini niliambulia patupu.



“ Kpnd cha nyuma wakat sizihtaji hizi salama nlkuwa naziona, lakni leo nazhtaji hata sizioni kabisa.” Nilijiambia.



Nlizunguka na kuzunguka lakin skuambulia kitu.



Had giza linaingia sikufanikiwa kupata salama hata moja! Hatari ya kuuwawa niliona mbele yangu! Sikuona kama ni busara kwenda nyumbani pasipokuwa na salama. Hvyo taratbu nilikata kona ma kurudi tena nlikotoka.



“ Yanpasa kuongea na Lily.” Nlijiambia.



“ Ndio..” Niliwaza. Nlirudi hadi kwenye ile nyumba. Nikiwa mlangoni, niliwasikia wakiongea ndani mambo yalyonishtua kidogo.



“ Me nilikuambia, yule kaka hajui kitu! Angekuwa anajua wala asingeang’ahika kuokota hovyo mjalalani.” Alongea Ana.



“ Lakni ujue ni mdogo wake kabisaaa…yeye na Elgius ni mtu na kaka yake. Inakuwaje asijue kitu?” Aliuliza Lily.



“ Watu wenye hela wanamambo meng sana ujue.. We fikiria kwa utajir aliokuwa nao elgius unazani angekuwa mtu mwingne angeruhusu kaka yake afanye kazi ile. Bla shaka angemfanya awe msimamizi.” Alijibu Ana.



Nlichoka.



Pale pale nliishiwa nguvu na kukaa chini!



Dakka kadhaa mbele! Bila ya watu wa ndan kujua.Nilisimama na kuondoka eneo lile. Njia nzima kchwa changu kiliuma sana kwa maswali! Nilijiulza na kujiulza meng yasiyokuwa na majibu! Sikumwelewa kabsa kaka.



“ Paaaaah!’ Niligongwa na gari. Mzima mzima nikiruka juu na kutua chini. Puuuuh. Pale pale nilipoteza fahamu.



……………..

Nilizinduka na kujikuta hospitali.



“ Pole sanaaa..” Aliniambia dokta.



“ Ahsante….” Nilijibu kwa tabu sana.



“ Umechukuwa muda mrefu sana kuzinduka! Tulianza kupata mashaka.” ALiongea dokta huku akichoma sindano na kuniwekea dripu.



“ Kweeeh” Mlango wa wod ulisukumw akaingia mbaba mtu mzim ambae sikuwa namfahamu

“ Eeeh! Afadhali umezinduka..maana hapa nlishaanza kuchangayikwa.” ALiniambia. Alichukua mfuko chin ya kitanda na kunikabdh simu yangu. ALinieleza yeye ndye aliyengonga na kunleta pale hospital! ALiniomba samahani na kunitaka nmsamehe kwa kilichotokea.

“ Ahsante kwakunijali..” Nilimwambia. Niliwasha simu yangu.

Ile kuwaka tu! Ujumbe uliingia upande watsup kutoka kwa kaka.

“ Pole kwa matatzo..nasikia umegongwa na gari.” Ulisomeka ujumbe. Nilguna baada ya kuona hio taarfa, ksha nikamgeukia yule mbaba kumuulza kama kuna mtu yeyote kampa taarifa.

“ Hapana..nilitaka kuwapa taarfa ndugu zako lakni niliogopa! Hivyo nilizima simu yako na kusubir upone ili uweze kuwaaambia wewe mwenyewe.” ALiniambia.

“ Kaka kajuaje? INamaana anawatu wananifatilia?” Nilijiulza. Nikijiulza hilo, ujumbe mwingne ulingia kutoka kwa kaka.

“ Nimekusamehe kuhusu hela na zile salama..ishi maisha yako kwa amani sasa.” Ulsomeka ujumbe.

Niliiweka simu pemben na kujlza kitandani! Licha ya msamaha wake! Bado nafs yangu ilkosa aman kabisa. Sikuwa na raha hata kidogo.

…………………………….

Wiki moja mbele nilruhuswa kutoka hospitali, nilimpigia baba kuwa naenda, lakin tofauti na matarajio yangu, sauti ya baba haikuonesha kama yupo sawa. Jibu jibu yake ilionesha kuna jambo. Sikujali. Siku ile ile nlitafuta gari na safari ikiaanza.

Nilifka.

Niligonga mlango ukafungulwa na kaka.

“ Aaaah! umerudi lin?” nilmuuliza kwa mshangao. Wakati mmi nikiwa na mshangao, kaka ali…………..

SITASAHAU YALIYONKUTA WAKAT NAFANYA KAZI YA KUNUNUA SALAMA ZILZOTUMIKA 17

“ Aaaah! umerudi lin?” nilmuuliza kwa mshangao. Wakati mmi nikiwa na mshangao, kaka alinibusu mashavuni na kunpga piga mgongoni.

“ Pole kwa yote mdogo wangu..pole sana..” Aliniambia.

“ Ahsante.” Nlimjbu na kujitoa mwlni mwake.

Alnshka mkono tukaingia ndani.

Tukiwa bado hatujavifikia viti na kukaaa, baba aliongea kaul iliyonifanya nimtazame mara mbl mbili. Sikumwelewa kabsa.

“ Hujanisikia?” Baba alimuuliza kaka.

“ Nitaondoka mzee.”

“ Nilikuambia nikirud hapa nisikukute. Kwanin bado upo hapa?” Aliuliza kwa ukali sana baba.

Niliduwaaa.

“ Kaka kafanya nn hadi baba amfukuze nyumbani? Kuna nn hapa?” Nilijiulza moyoni pasipokuwa na majibu.

Mara zote nilizokuwa namtembelea baba alikuwa akimlaumu kaka kwa uamuzi wake wa kwenda kukaa mbal na wao! Alilaumu sana, sasa kitendo cha kumfukuza nyumbani kwake sikukielewa kabsa. Nlihisi uenda ni yale aliyonifanyia mimi!, lakini kwa hali ilivyo niliona sio. Ilinipasa nikae chini na kumuuliza baba kulkoni.

“ Atakuambia kaka yako mwenyewe. Ila sitaki kumuona tena hapa.” Aliongea baba. Haraka nlimgeukia kaka.

‘ Umefanya nn bro?” Nilmuuliza.

Hakunijibu.

“ Kama unamfukuza kwasababu ya kazi alyonipa naomba msamehe ! Mwenye kosa hapa sio yeye, ni mmi. Tena ilivyo bahat mbaya kanipa hela nyingi lakni kaz yenyewe haijafanyka, na salama nlzonunua zote zmepotea.”

“ Hii haihusiani na kaz niliyokupa mdogo wangu..hii inahusiana na maisha niliyoamua kuishi.” ALiongea kaka. Akisema hayo, honi ya gar ilipiga nje. Dakka tatu mbele alyepiga honi aligonga hodi. Lafudhi yake ilikuwa ya kiiingereza.

Kaka alienda kumfungula mlango, lakini kabla hajaingia baba haraka sana alienda kumzuia.

“ Nilisema sitak uingie ndan kwangu! Toka nje harakaaa..” ALiongea baba.

Nilduwaaa.

Yule mtu alkuwa mzungu mwenye asil ya Norway.

“ There is no peace here, lets go.” Kaka almwambia yule mzungu.

“ Baba unifanya nni? Unafukuzaje wageni?” Nilimuulza/. Hakunijibu, alimsogelea yule mzungu na kumsukuma nje, kaka naye alifata kwa nyuma, baba albamiza mlango kisha akainama chin machoz yakawa yanamtoka.

Sikuelewa.

Nlimfata anieleza klichotokea hakunieleza, haraka niltoka nje kumfata kaka. Alnpa ishara niingie kwenye gari, nlfungua mlango lakini kabla sijaingia nilishikwa mkono na baba.

“ Huyu sio kaka yako! Undugu sis na yeye umeisha.” ALisisitiza baba.

‘ Hiv haya yanatokana na kaz aliyonipa au kuna lngne?” Nlmuulza baba.

Hakunjibu, kaka na yule mzungu walwasha gar na kuondoka .

………………………..

Nlkaa kwa baba nikiwa na mawazo meng sana. Nilmuulza baba kila sekunde sababu ya kufanya yale. Nilmuulza tena na tena lakn hakunipa jbu lililoeweka. Nltaman kumpigia kaka kumuuliza lakn bahati mbaya sikuwa na simu.

Wakti nimekuwa kichaaa smu lnpotea. Hvyo skuwa na namba yake wala skuwa na smu.

“ Nafanyaje?” Nljiulza.

Nilamua kumafata mama kumuulza.

Naye baada ya kuniambia klchotojkea akawa analia. Wote hawakuwa na ujasiri wa kuniambia ktu.

Nlkta tamaaa.

Majira ya jioni nlmuomba mama aniazime hela nikanunue simu!

“ Akiba yote tulyokuwa nayo tumeituma hospital, hapa nna hela za vicoba za watu! Naomba nikikupa unirudishie mapema sana , kabla ya jumamosi jayo.”

“ Usijal mama. Nikirudi kwangu nitakurudishia.” Nlmwambia. Mama aliniazima laki mbili,. Muda ule ule nilienda mjn, nlnunua simu na kusajili line. Kwakuwa majina ya simu iliyopotea nilyasave kwenye email skupata shida sana kupata namba ya kaka.

Nilipoweka tu email yangu majin yote yalitokea. Haraka sana niliitafuta namba ya kaka na kumpigia.

Alipokea.

“ Siwez kuongea lolote kwenye simu! Njoo hotel ya la vede. Nipo chumba namba 75.” ALiniambia.

Nilikata simu haraka na kuelekea La vede Hoteli.

Kwanini wazazi hawamtaki Kaka yake rich? Kuna nini kimetokea?

MWISHO
 
( 1-6)
🥹[emoji174][emoji91]

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji177][emoji177][emoji2788]

EP 01
"Norah, we Norah samahani kidogo" Alisema Prosper baada ya kufungua geti ili Norah mtoto bosi aingize gari ndani. Norah alishika Breki na kutoa kichwa nje ya kiyoocha gari. "Unasemaje wewe!" Aliuliza Norah kwa sauti kali.

"Mbona mkali hivyo? Haya vipi sasa kuhusu lile jibu langu?" aliuliza Prosper. Ilibidi Norah atoke nje ya gari. "Hivi wewe Prosper una matatizo ya akili eeh" aliuliza Norah huku akiwa ameshika kiuno.

"Inawezekana kwasababu matatizo yangu ya akili yanasababishwa na kukipenda wewe, nikubalie Norah" Alisema Prosper."Nahisi umevurugwa wewe sio bure yani mimi ndio wa kuwa mtu kama wewe, kazi yenyewe kufunga na kufungua geti" aliongea Norah huku akimsogelea Prosper na kumtemea mate usoni.

Belinda mdogo wake Norah ambaye alikuwa kabaki ndani ya gari, aliamua kutoka garini na kumtuliza dada yake. "We Norah nawe kwani Prosper kakutukana mpaka umtemee mate? Kila mtu ana haki ya kueleza hisia zake haijalishi atakataliwa au atakubaliwa lakini hivi ulivyomfanyia Prosper sio uungwana" Aliongea Belinda.

"Huyu kazidi huyu, kila siku ananiuliza jibu langu vipi, yani akiniangalia nina hadhi ya kuwa naye au hata kutembea naye barabarani? Wewe mbwa! Niheshimu mimi ni mtoto wa bosi wako?" alisema Norah kisha akaingia kwenye gari na kwenda kulipaki kwenye maegesho yake.

Pale getini alibaki Norah na Belinda. "Yani dada yangu sijui anachoringia ni nini haswa, hajui maisha yanabadilika haelewi hilo mh shauri yake, usijali Mwaya kaka Prosper ila kesho nilitaka nikutoe out kidogo, twende sehemu tuongee unielewe maisha yako, mimi nitakusaidia hata mtaji ukafanyanye biashara ndogondogo inaniuma sana jinsi unavyotumikishwa hapa nyumbani, juzi nilichukia sana. Norah kakojolea kwenye kopo ndani anakuita mlinzi ukamwage mkojo yani!

Alisema Belinda!

JE NINI KITAENDELEA? ITAKUWAJE KAMA BELINDA AKIJUA KUWA MTU ANAYETAKA KUMSADIA NI BILIONEA ALIYEKUJA NYUMBANI KWAO NA KUJIFANYA MLINZI WA GETINI KUMBE LEO LAKE ANATAFUTA MKE???? ITAKUWAJE SASA.. NIJEEEE AU ???!


NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji2788]

EP 02
Siku iliyofuata Belinda aliamua kumtoa out Prosper Mlinzi wao. Walitoka asubuhi kusudi wawahi kurudi ili Prosper aendelee na lindo lake. Kazi kubwa ya Prosper ilikuwa ni usiku lakini mchana, mara nyingi alikuwa anatumia mda huo kulala kusudi usiku asisinzie akiwa kwenye lindo lake.

Basi cha kwanza Belinda alimpitisha Prosper kwenye duka la nguo za thamani kwani prosper hakuwa na nguo nzuri za mtoko. Alimnunulia full wearing, yani suti ya nidhamu, kiatu cha bei mbaya na uzuri duka waliloingia ukitaka kuvalishwa unavalishwa hapohapo.

Prosper alionyeshwa bafu akaoga vizuri kisha baadae alipotoka bafuni alitinga suti yake kali na kiatu cha thamani alichonunuliwa na Belinda. Kwa upande prosper kuvaa vile halikuwa jambo geni hata kidogo, ila alipoenda kuomba kazi ya ulinzi kwa mara ya kwanza kwao Belinda alienda na mavazi ya kifukara kusudi aonewe huruma na kupewa kazi lakini lengo lake halikuwa kupata kazi, bali alikuwa anatafuta mke mwenye upendo wa dhati. Na katika nyumba hiyo aliyoomba kazi aliwaona mabinti wawili, wazuri kupindukia Belinda na Norah "

Basi Prosper alipomaliza kuvalishwa alitoka nje yani sehemu ya mapokezi alipo Belinda. Ile tu Belinda anamuona haraka alimkumbatia "Waooo your looking soo. Mwaaa! " Alisema Belinda akimbusu Prosper kwenye paji la uso.walishikana mikono na kutoka nje lilipo gari lao wakapakia garini, Belinda aliendesha gari mpaka UTULIVU HOTEL hapo walishuka garini na kwenda kuketi eneo la garden. Waliagiza vinywaji wakawa wanakunywa polepole huku wakiongea.

"Prosper unajua kila mtu ana vitu ambayo anavipenda, mi napenda mwanaume wa kawaida tu mpole yani kiufupi nimevutiwa na jinsi ulivyo licha ya kuwa huna. Ki...." Kabla Belinda hajamalizia kauli yake Ghafla alishtukia akipigwa risasi eneo la bega alidondoka chini akigaragara huku damu nyingi zikimvuja, hata Prosper mwenyewe alishindwa kuelewa ile risasi ilitoka wapi kwani aliangaza macho kila kona mpigaji hakuonekana!

JE NINI KILIENDELEA? UNAHISI NI NANI ALIYEMPIGA RISASI BELINDA? KUMBUKA KWAO BELINDA WAPO WAWILI TU NORAH NA BELINDA, NORAH NDIO MKUBWA LAKINI BELINDA NDIO KIPENZI CHA WAZAZI WAKE? JE UNADHANI PROSPER ATAELEWEKA! HAKIKA USIKOSE SEHEMU INAYOFUATA....


NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NINI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji2788]

EP: 03
Prosper na Belinda wakiwa wamekaa eneo la garden pale UTULIVU HOTEL mara ghafla Belinda akashtukia amepigwa na risasi ya bega, alidondoka chini huku akipiga kelele na kugaragara kama mbuzi aliyeponyoka kwenye kisu cha mchinjaji, damu nyingi zilimtoka. Prosper alitazama kila kona ya hoteli ile lakini hakufanikiwa kumuona aliyempiga Belinda risasi.

Haraka alimchukua Belinda na kumpakiza garini, mbio alimuwahisha hospitali. Wauguzi walimpokea, na haraka wakamuingiza Belinda kwenye chumba cha huduma ya dharura wakati huo Prosper akiwa nje. Aliwaza sana akaona atoe taarifa kwa ndugu na wazazi wa Belinda kusudi nao wajue kilichotokea. Alianza kumpigia simu baba yake Belinda, akamuelezea kila kitu.

"Prosper! Nadhani hunijui vizuri na hata huna aibu ya kuniambia ulitoka na binti yangu kipenzi out. Hivi unaakili wewe? Yani kijakazi wa getini unatoka out na binti yangu na unaniambia kabisa upuuzi huo?" Alifoka sana baba yake Belinda, "Mzee Nisamehe na wala sikujua kama yatatokea haya" Prosper alijitetea.

"Nisubiri tu hapo hospitali yani usiondoke! Nakuambia leo ndio utajua kuwa watoto wa matajiri hawachezewi kijinga namna hiyo" Alisema baba yake Belinda kisha akakata simu na kumuacha Prosper akiwa amezubaa tu.

[emoji24][emoji24]

Baba Belinda alimpigia simu Norah mwanaye ambaye hakuwa nyumbani wakati huo, akampa taarifa na kumwambia wakutane, walikutana na kisha wakaanza safari ya kwenda hospitalini. Walipofika hospitalini walimkuta Prosper amekaa sehemu ya mapokezi, kaulamba suti safi na iliyoonekana ni mpya kabisa. "Baba huyu mlinzi sio bure huyu ndiye kamloga Linda huoni hata nguo inaonekana kanunuliwa na Linda, yani vijana wanaotoka kwenye familia za kimaskini wanapenda sana kutumia uchawi na madawa kwenye mapenzi na tusipokuwa makini atatuloga nyumba nzima" Norah akamwambia baba yake.

"Hebu subiri kwanza! " Alijibu baba yake Belinda na kwenda pembeni kidogo kupiga simu. Punde lilifika gari jeusi, lenye vioo vya Tinted walishuka wanaume wawili waliojazia mbavu, wakamtwaa Prosper na kumtia gari kisha wakaondoka naye na kumuacha baba yake Belinda na Norah pale hospitalini.

"Hawa vijana nimewaambia wakamuulie mbali huyu fukara, nimewaambia wakimaliza kazi waje wachukue milioni moja, acha akafilie mbali hiyo ndio dawa ya mafukara wanaojipendeleza kwa watoto wa matajiri. "Alisema baba yake Belinda.

JE NINI KILIENDELEA? PROSPER ATAUWAWA AU ITAKUWAJE? HAKIKA USIKOSE SEHEMU IJAYO UTASISIMKA SANA.


NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji519]

EP: 04.
"Jamani hebu simamisheni gari tuongee kidogo ni kwa faida yenu lakini" Prosper aliwaambia wale watu waliopewa kazi na baba Belinda ya kumuua. "Max hebu park gari pembeni tumsikilize huyu shoga kwamba anasemaje na ole wake atuambie vitu ambayo havina impact kwetu" Roja Alimuambia dereva Max.

Max akapack gari kando ya barabara"Haya ongea we mjinga" Roja alimuamru Prosper. "Ni kweli yule mzee kuwatuma muniue sikatai kwasababu na nyie mnatafuta pesa, pia mzee yule ametoa amri hiyo akijua mimi ni masikini siwezi kumuoa mwanae, mimi nina pesa ya kumlisha mzee yule yeye na familia mpaka siku ya vifo vyao" Aliongea Prosper Roja akapiga kibao kikali cha macho. "Bwege wewe umechanganyikiwa naona leo ulivuta bangi sio bure na leo bangi zako utazijutia hebu Max washa gari tuendelee na safari.

"Hapana Roja hebu msikilize aongee amalize usimdharau usiyemjua" Alisema dereva Max. "Haya ongea" Roja alimwambia Prosper. "Nataka tu kusema kwamba pesa, magari, mali ni vitu vya kupita, na ni vya kutafuta hivyo mzee Raymond anaona kama pesa alizonazo, majumba na magari yatadumu milele kumbe hajui hivyo ni vitu vya kupita tu vinaweza kuyeyuka kama barafu Juani, duniani tunachotafuta ni amani, utulivu wa moyo na zaidi thawabu zitakazotuingiza kwenye ufalme wa mbinguni" Aliongea Prosper, Roja akampiga kofi lingine kali la macho, lilimuingia Prosper vilivyo hadi akatoa sauti ya kilio [emoji24][emoji24] .

"Hatukuja kuhubiri hapa sema unachotaka kutuambia hii ni nafasi ya mwisho nakupa ukiongea utumbo hakuna rangi utaacha kuona" Roja alimwambia Prosper. "Nachotaka kuwaambia mmepewa shi ngapi ya kunitoa mimi uhai?" aliuliza Prosper.

"Max unaona maswali anayouliza huyu mwehu" Roja alimwambia dereva Max. "Hapana we mjibu tu kwasababu huyu ni marehemu mtarajiwa" Alijibu Max. "Haya tumepewa milioni kwani wewe unasemaje" Alijibu Roja huku akitoa sigara kubwa na kuwasha akaanza kuvuta. "Hahahahhaaaa yani milioni tu ndio iwasababishe mumtoe mtu roho?" Aliuliza Prosper huku akicheka sana. "Wewe sasa naona umeanza kutukashifu sio" Roja aliuliza huku akimpulizia Prosper moshi wa bangi machoni.

"Hapana maana naona hiyo pesa ni ndogo isitoshe mpo wanne inamaana mtagawana laki mbili na hamsini tu pesa ambayo naweza kuitumia kwa siku kula na yatima au wajane, basi naombeni simu yenu nimpigie mtu awaletee milioni hamsini pengine itawasaidia muache kazi hizi za kuua" Alisema Prosper ikabidi Roja acheke sana kwa kebehi.

"Roja mpe simu tuone halafu ole wake aite polisi, yani ukiongea na simu ongea kwa sauti sawa" Max alimwambia Prosper huku wakimpatia simu.

"Hallo Vicent" Alisema Prosper baada ya kupiga simu ikapolewa. "Naaam bosi" Sauti upande wa pili wa simu ilijibu na kuwafanya Roja na Max wabaki kinywa wazi baada ya kusikia Prosper akiitwa bosi, kidogo wakawa kama wanamwamini hivi.

"Vicent nenda bank, utoe milioni 60 uniletee maeneo ya msitu wa Simba, utanikuta huku sawa?" Prosper alisema kwa amri. "Sawa bosi nakuja sasa hivi" Alijibu Vicent kisha Prosper akakata simu . Bado Roja na Max walikuwa wamezubaa hawaamini wanachokisikia, waliona kama maigizo lakini dakika ishirini mbele wakashangaa......
JE NINI KILIENDELEA? HAKIKA USIKOSE SEHEMU IJAYO UTATETEMEKA SANA KAMA SIO KUSISIMKA

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji177][emoji177][emoji1357]

EP : 05 & 06
Baada ya dakika 20 mbele lilifika gari la kifahari eneo lile walipo Max, Roja na Prosper. Bado tu Roja na Max walikuwa hawaamini kabisa mambo wanayoyaona mbele ya macho yao. Wakashangaa kumuona Vicent akishuka kwenye gari lile la kifahari akiwa ameshika Brifcase yenye pesa ndani mkononi. "Bosi mzigo wako huu hapa" Alisema Vicent huku akimkabidhi Prosper Brifcase ya pesa.

"Ahsante sana rudi kazini ukaendelee na majukumu yako" Alisema Prosper huku akipokea ile Brifcase ya pesa. Vicent alirudi kwenye gari lake na kuanza safari yake ya kurejea kazini. "Mzigo wenu huu hapa bado mna nia ya kuniua?" Prosper aliwakabidhi Max na Roja mzigo wao na kuwauliza swali hilo.

Roja aliifungua ile Brifcase, macho yake yakakaribishwa na noti noti nyekundu tupu "Mheshimiwa ahsante yani ndio maana nilikuwa namwambia Roja awe mtulivu akusikilize kwanza mpaka umalize kuongea nadhani hapo amejifunza kutomdharau asiyemjua" Alisema dereva Max.

"Msijali ndio maana nimeona niwape milioni 60 kabisa kusudi mgawane milioni 15 kila mtu, ahsante nanyi kwa kunisikiliza" Alisema Prosper huku akitengeneza suti yake vizuri.


"Hapana Roja hapa atapata milioni 1 ambayo ilikuwa tupewe na Raymond baba yake Belinda" alianza kusema Max. "Kwanini mimi nipewe milioni moja" Alisema Max kwa ukali. "Kwasababu kwanza hukutaka kumsikiliza muheshimiwa mpaka tulipokushurutisha sisi, na pia umempiga muheshimiwa vibao, kwahiyo halali yako ni milioni moja pesa ya mtu ambaye uliona ni wa maana sana kuliko wengine huyo baba Belinda" Alisema Max haraka Roja akachomoa bastola, Max naye akachomoa, wale wawili waliobakia nao wakachomoa na kunyoosheana. "Hiyo pesa isipogawa sawa kwa wote nasema tunatoana roho" alisema Roja.

"Hapa ukibisha hulambi kitu mwanaharamu wewe" alijibu Max. Roja akamfyatulia risasi na kwa ushapu wa hali ya juu Max akikwepa yani ikamkwaruza tu kidogo pembeni ya shingo, naye Max hakuzubaa akamfyatulia Roja risasi ya kichwa palepale Roja akapoteza maisha.

Max na wenzake watatu wakapakia kwenye gari na kutimka zao, Prosper alianza kuondoka zake mdogo mdogo eneo lile akirudi Hospitali kusudi akamjulie hali Belinda kwani moyo wake bado ulikuwa unampenda. "Belinda ana upendo wa dhati sana acha nikamjulie hali Mwanamke aliyepigwa risasi kwa ajili yangu, yani hata baba yake akiamua kuniua aniue tu, ila nipo tayari nife kwa ajili ya Linda. "Aliongea Prosper peke yake huku akitembea. Alipakia daladala na kurudi hospitalini lakini alimkosa Belinda, madaktari walimuambia kuwa wazazi wa Belinda walikataa mwanao alazwe hivyo wamemtoa hospital wanaenda kumtibia nyumbani. "Any way Acha niende huko huko nyumbani kama ni kufa acha nikafe" alisema Prosper kimoyomoyo

🥱🥱🥱
Belinda hakulazwa hospitali siku ile alitibiwa na kupewa dawa za kwenda kutumia nyumbani. Baba Belinda akiwa nyumbani amepumzika na familia yake akiwemo Norah bintiye mara akapigwa simu na msimamizi wake wa kampuni kubwa inayomuweka baba Belinda mjini. Akapokea akijua ni taarifa nzuri ya michongo ya pesa lakini kumbe........
JENI NINI TENA KIMETOKEA KWENYE KAMPUNI YA BABA BELINDA? KUMBUKA PROSPER NAYE YUPO NJIANI ANAELEKEA KWAO BELINDA? ITAKUWAJE? HAKIKA USIKOSE.....
 
( 7-12 )
NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji848][emoji177][emoji3]🥱

EP : 07
Usiku baba Belinda akiwa nyumbani amepumzika na familia yake akiwemo Norah bintiye mara akapigiwa simu na msimamizi wa kampuni yake kubwa inayomuweka mjini. Akapokea akijua ni taarifa nzuri ya michongo ya pesa, mara akasikia.

"Hallo bosi kumetokea majanga huku kwenye kampuni jengo lote la kampuni limeungua moto" Sauti upande wa pili wa simu ilisikika ikimtaarifu Mr. Raymond baba yake Belinda. "Oooh shit! chanzo cha moto ni nini jamani " Aliuliza Mr. Raymond huku akikuna kichwa chake kwa kuchanganyikiwa. "Ni shoti ya umeme bosi" Sauti upande wa pili wa simu ilisikika ikiongea, Mr. Raymond akakata simu yake. "Baba kwani nini kimetokea" Norah bintiye aliuliza baada ya kuona baba yake kama kavurugwa vile.


"Jengo la kampuni limeungua moto" alijibu Mr. Raymond huku machozi yakimtoka. "Uuuuu umasikini huo tayari umeshabisha hodi Mungu wangu yani sijui itakuwaje na vile kampuni ilikuwa inaendeshwa kwa mikopo sijui tutapata wapi pesa za kulipa mikopo" Alisema Norah wakati huo familia nzima walikuwa kama wamepagawa sio Mr. Raymond, mkewe wala watoto wake akiwemo Belinda wote walikuwa wamepagawa kwani kampuni hiyo ndiyo ilikuwa inawafanya waishi mjini.

Wakiwa wanalia kwa kuomboleza mara wakasikia "hodi" Mr. Raymond akashuka kidogo. "Jamani hiyo sio sauti ya Prosper kweli hebu kafungue mlango" Alisema Mr. Raymond huku akiwa amepigwa na butwaa, hakuamini kama Prosper anaweza kuwa hai mpaka muda ule kwani tayari alishamkabidhisha kwenye mikono ya wauwaji.

Mama Belinda alienda kufungua mlango na ndipo akakutana na Prosper, alimkaribisha ndani, Prosper aliingia. "Mzee shikamoo"Prosper alimsalimia baba Belinda. "Marahaba" alijibu Mr. Raymond huku akitizama pembeni kwa aibu kwani alitarajia kupewa taarifa na wale wauwaji kwamba Prosper amekufa.

"Mzee najua hauna furaha baada ya kuniona lakini nataka niwaambie kuwa pesa na magari ni vitu vya kupita, leo una pesa na unatumia pesa zako kuangamiza wanyonge, kuua lakini kumbuka kuna maisha mengine baada ya haya na pia kuna hukumu kuu siku ile ya kihama, pesa na magari utaziacha hapa duniani, ulitoa amri mimi nikauwawe lakini Mwenyezi Mungu kaniokoa" alisema Prosper huku akibubujikwa na machozi.

"Haaaa baba kumbe ulitoa amri Prosper auwawe, mbona nilipokuuliza kaenda wapi ulisema kaenda kwao, hayo ndio malipo yako sasa ona kampuni imeungua na unadaiwa mikopo kibao, heri tuonje umasikini ili tujifunze kuishi na watu" Belinda alimwambia baba yake lakini muda huo mzee Raymond alikuwa ni wa kulia tu.

"Oooh mzee pole kumbe mmepata majanga Dah pole sana mzee" Prosper aliongea huku akiwatia moyo mmoja baada ya mwingine akahamia kwa Norah. "Dada Norah poleni sana majanga kama haya yanatokea kwa mipango ya Mungu hatujui ni kitu gani Mungu kakipanga hivyo tunapaswa kushukuru kwa yote" Prosper alimwambia Norah. "Na wewe hebu nitokee hapa! Wewe jua kuhusu kazi yako ya ulinzi mambo ya familia yetu hayakuhusu na sasa sijui utapata wapi pa kula mbwa wewe nyumba hiii itapigwa mnada sijui utalinda wapi?" Alisema Norah kwa hasira. Prosper akakaa kimya.

"Heri yake yeye ana fani ya ulinzi wewe una fani gani? Yeye nyumba ikipigwa mnada anaenda kuomba kazi kwingine wewe utaenda wapi na kusoma hujasoma kwasababu tu una kiburi cha utajiri!" Belinda alimwambia Norah. Hakika usiku ule ulikuwa ni usiku wa majuto kwa familia ya mzee Raymond. Kesho yake asubuhi watu watu wanaodai pesa zao mbali na wale wa mikopo ya bank walikuja kudai baada ya kusikia kampuni ya Mr. Raymond imeungua. Mr. Raymond alikuwa ni wa kulia tu hajui awajibu nini watu wale kwani kila mmoja alikuwa amemchachamalia balaa.!

"Jamani wote jumla mnadai shilingi ngapi?" aliuliza Prosper. Kila mmoja alisema anachodai, Prosper akapiga mahesabu na kubaini kuwa mzee Raymond anadaiwa milioni mia na sana madeni tu ya kawaida.

"Basi acheni nampigia mtu alete hizo pesa" Alisema Prosper kwa ujasiri na kuwafanya watu wote waduwae kwani aliongea akiwa siriasi, Norah alicheka sana mara akashangaa Prosper aki......

JE NINI KILIENDELEA SASA? HAKIKA USIKOSE SEHEMU IJAYO UTASISIMKA SANA

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAGUTA MKE[emoji177][emoji177][emoji177][emoji178][emoji519]

EP 08 & 09
Prosper alichukua simu ya Belinda kisha akaongiza namba ya Vicent, akampigia, Vicent alipopokea tu Prosper akaweka loudspicker[emoji344] ili kila mtu asikie. "Haloooo Vicent" alisema Prosper. "Naaam bosi" Vicenti akaitikia na kumfanya Norah aliyekuwa ametega sikio kusikiliza maongezi yale acheke kinafiki[emoji2955][emoji1787] "eti Bosi kwahiyo unatuletea maigizo hapa labda bosi wa utumbo [emoji2961][emoji2961]" Alisema Norah kwa kejeli , wala Prosper hakujali aliendelea kuongea. "Naomba uende hapo benki [emoji542] unitolee tena milioni mia na sitini, kwenye ile nyumba niliyokuelekeza kuwa kuna mabinti wawili wazuri nataka nioe mmoja wao, fanya hivyo!" Prosper alitoa Amri. "Sawa bosi si pale kwa yule mzee tajiri sana, mzee Raymond?" Vicent aliuliza . "Yah!" Prosper alijibu na kukata simu.

"Hahahaha umaridadi bwana yani anaongea utadhani ni bosi, hapo pengine anaongea na mtu ambaye wanatanianaga, tena naomba usiwe unanisema kwa watu kuwa unanipenda mpende Belinda kishoia mwenzio" Alisema Norah akimwambia Prosper kisha akampandisha na kumshusha, akatema mate pembeni.

Prosper hakujali, alijiamini kwani alijua ule ndio muda muafaka wa kujidhihirisha kuwa yeye ni nani, walikaa kimya wakisubiri, huku mama Belinda pamoja na Norah wakikonyezana na kucheka sana. Nusu saa baadae mara wakasikia kengele ikilia kuashiria kuna mtu getini anabisha hodi. "Halafu Prosper unajitoa ufahamu eee umesahau kuwa wewe ni mlinzi wa getini hebu kamfungulie huyo anayebisha hodi huko usitutibue" Alisema Norah.

"Belinda kanisaidie kumkaribisha mgeni wangu eti mama" Prosper alimwambia Belinda kisha Belinda akatoka nje , punde alirudi na mgeni aliyevalia suti safi ya kikazi, mkononi alishika Brifcase kubwa, akimkabidhi Prosper huku watu wote wakiwa wametuwaa. Prosper akaiweka ile Brifcase mezani ile anaifungua tu baba Brenda alidondoka na kupoteza fahamu huku mama Belinda, Norah na watu wote waliokuwa mule ndani wakiwa wameduwaa tu.
Prosper aka.....
JE NINI KILIENDELEA? HAKIKA USIKOSE SEHEMU IJAYO UTASISIMKA SANA!

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji177][emoji519]

EP 10 & 11 & 12
Prosper akazitoa zile pesa kwenye Brifcase na kuzitandaza mezani wakati huo Norah na mama yake walikuwa bado tu wameduwaa, walikuwa hawaamini kabisa wanachokiona, kwao ilikuwa sawa na ndoto ya mchana.

"Jamani mimi nitawasaidia kulipia tu haya madeni madogo madogo ambayo ni milioni 160 hayo Mengine mtalipa wenyewe" Prosper alimwambia mama Belinda na Norah.

"Hata hivyo baba utakuwa umetusaidia sana japo kwa jinsi mzee anavyodaiwa hakika umasikini tayari ushabisha hodi, Dah ama kweli ndio maana waswahili wakasema binadamu wote ni sawa, kumbe pesa, mali na magari ni vitu vya kupita tu"Alisema mama Belinda huku machozi yakimbubujika, hakuwa yule mama Belinda aliyekuwa akitoa maneno ya kebehi sasa alikuwa mpole kama vile kamwagiwa maji ya baridi. Prosper alizigawanya zile milioni sitini kwa watu wote waliokuwa wanamdai Mr. Raymond baada ya pale wakampatia Mr. Raymond huduma ya kwanza kwani alikuwa amepoteza fahamu.

Mr Raymond alizinduka, alikuta madeni yake yote madogo madogo yamelipwa. Alishukuru sana na kusema. "Prosper Nisamehe sana kwani nilitoa maagizo uuwawe kisa wewe ni masikini unayetaka kumuoa mwanangu, sikujua maisha yanabadilika kama tarehe zinavyobadilika au misimu ya mwaka, ona leo hii licha ya kunisaidia kulipia hela zote hizo bado nadaiwa,. bado umasikini unaniita hakika nitauweka wapi uso wangu mimi, niacheni tu nife" alisema baba Belinda huku akihema sana, presha iliyosababishwa na madeni ilikuwa imepanda hakuchukua muda alifariki, vilio vilitanda, ndugu walikuwa mbali walipigiwa simu, mazishi yalifanyika lakini baada tu ya mazishi kufanyika hazikupita siku siku mbili, Bank zote zilizomkopesha mzee Raymondzilianza kudai, hatimaye vitu vyote vya mzee Raymond vilipigwa mnada,

Familia ya mzee Raymond haikuwa tena na hata sehemu ya kulala, Prosper aliwachukua na kuwapeleka kwake alipojenga, alimchukua Norah, mama yake, na Belinda. Walipofika hawakuweza kuamini kabisa walichokiona, Prosper aka.......

JE NINI KILIENDELEA HUKO NYUMBANI KWA PROSPER? MAMBO NDIO KWANZA YANAANZA USICHEZE MBALI ! ITAKUWAJE SASA WAKATI PROSPER KAWACHUKUA MAADUI ZAKE NA KUISHI NAO PAMOJA? JE NORAH NA MAMA YAKE WATAJIFUNZA AU NI KAMA VILE WASWAHILI WANASEMAVYO KUWA TABIA NI KAMA RANGI YA NGOZI YA MWILI KATU HAIWEZI KUBADILIKA??????! HAKIKA USIKOSE.....
 
( 13-18 )

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji177][emoji24][emoji24][emoji2788]

EP 13.
Prosper alianza kuishi na familia ya marehemu mzee Raymond kwa upendo wa hali ya juu, alihudumia familia hiyo kwa kila kitu, mavazi, chakula na mahitaji mengi tu ambayo mengine hata hayakuwa ya muhimu.

"Mama mimi nina nina jambo nataka kuzungumza nanyi" Alisema Prosper wakiwa wamekaa mezani wanakula. "Ongea tu baba " Mama Belinda alijibu. "Ni muda mrefu sasa toka nimeanza kuishi nanyi, nimepita nanyi katika shida na raha na sasa tunaishi wote kwa amani na upendo. Ninachotaka kusema ni kwamba kwa sasa nataka kuoa, nataka nimuoe Belinda" Alisema Prosper.

"Ooooh thanks jesus" Belinda Alishukuru kwa Mungu kwani walikuwa na kamda karefu mno hawajaongelea mapenzi yao kutokana na matatizo yaliyowakumba.

Basi Norah kusikia vile alitupa kijiko mezani kwa hasira akaamka na kwenda chumbani kwake akiwa amenuna sana. Hakupenda kabisa Belinda aolewe kabla yake ile hali yeye ndio mkubwa!

Mama yake alimfuata chumbani "Norah kulikoni umezira kula, au umechukia uliposikia mdogo wako anaolewa. Wewe huoni kuwa ni jambo la kheri hili tunaunganisha undugu na Prosper" aliongea mama Belinda kwa hisia kali sana.

"Hapana mama kwanza huyu kaka alianzaga kunitongoza mimi, leo iweje amuoe Belinda, hata kama niliwahi kumeharau lakini mambo hayo si tulishamaliza kwa msamaha, kwanini lakini" Aliongea Norah huku akilia, make-up yote aliyojipaka usoni ikaharbika kwa machozi yaliyouloanisha uso wake chapachapa, hakika aliumia sana.

"Sasa unatakaje we sema tu mwanangu" Mama Norah alimuuliza bintiye, aliwadekeza sana mabinti zake hakutaka wakose raha maishani.

"Najua Prosper hawezi kunioa mimi tena, kama ni bahati nilishaichezea ila mama huyu kaka ana mali nyingi sana na cha ajabu hatukuwahi kuwaona ndugu zake na kila tukimuuliza anasema tusiongelee mambo hayo inamaana kuna madhila aliyowahi kupitia yakamfanya akose ndugu, hivyo sisi ni kama ndugu zake, unaonaje tumuue siku ya harusi kwa kumuwekea sumu kwenye chakula" Alisema Norah mama yake akashtuka sana huku macho yakimtoka mithili ya mtu aliyemeza tonge la moto likakwama koooni!

JE MAMA ATAFUATA USHAURI WA BINTIYE KIPENZI? NA IPI HATIMA YA PENZI HILI LA PROSPER NA BELINDA AMBALO LIMEANZA KUPIGWA VITA KIMYA KIMYA! HEBU TUONE MAMA ALIVYOSEMA ILI UJUE KUNA WATU NA VIATU

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji2958][emoji2788][emoji177][emoji177]

EP 14..
"Huyu kaka ametusaidia sana, alilipa madeni ya marehemu baba yako, na licha ya kwamba tulimkosea lakini baada ya mali za mume wangu kutaifishwa tukabaki hatuna mbele wala nyuma ametuchukua na sasa tunaishi naye bila tabu, huoni tukimuua tunakosea, wewe kama shida yako ni kuwa na Prosper usijali, nashauri tumuue Belinda, najua Belinda akifa Prosper atahamia kwako kwani alianza kukutaka zamani kabla ya Belinda" Alisema mama Belinda.

"Heee mama tumuue Belinda, hivi upo serious kweli mama, yani hata uchungu hauna" Aliuliza Norah kwa mshangao. "Nasema hivyo kwasababu Belinda sio mwanangu wa kumzaa, Belinda tulimuokota akiwa mdogo ila yeye hajui anajua mimi ndio mama yake, hata wewe na watu wengine tuliwaficha! . Baba yako alikuwa anampenda sana Belinda na ni kwasababu tulimuokota!" alisema mama Belinda na kuzidi kumshangaza Norah.

"Mh kumbe Linda sio mdogo wangu, yani vile alivyokuwa akimdekea baba na baba anamtetea sometymes kumbe aliokotwa" Norah aliongea huku akizidi kushangaa. "Ndio hivyo ila usimwambie mtu maana hata yeye mwenyewe hajui" Alisema Mama Belinda.

"Mh bora life pengine ningezaliwa mwenyewe baba angekuwa anampenda sana kama alivyokuwa akimpenda Linda, alimpenda sana Linda kumbe sio mwanae life tu" Norah alikubaliana na ushauri wa mama yake kuwa badala ya kumuua Prosper, mtu mwenye moyo wa dhahabu ni bora siku hiyo ya wamuue Linda!

Basi kidogo moyo wa Norah ulifarijika, maisha yaliendelea huku mipango ya harusi ya Linda na Prosper ikifanyika kwa kasi sana. Prosper aligawa kadi kwa watu mbalimbali. Hatimaye siku ya harusi iliwadia, ilikuwa ni harusi kubwa ya kukata na shoka, yani haikuwahi kutokea kwani ilifanyika bichi yani ufukweni mwa bahari, hakika ilikuwa ni harusi ya kipekee na ya aina yake.

Norah alisimamia kitengo cha mapishi, huku mama yake akikaa meza moja na maharusi. Ndoa ilifungwa bila pingamizi, na baada ya Prosper na Linda kuvalishana pete kwa furaha hatimaye muda muafaka wa chakula ukawadia. Kwa kweli Linda alikuwa na furaha kubwa sana ilikuwa ni siku ya kipekee kwake aliyokuwa akiiota miaka na miaka.

Basi Norah alipakua sahani tatu za maharusi. Akampa maelekezo binti ambaye ni msaidizi wake kuwa katika sahani tatu alizopakuwa, yani ya Linda, Prosper na mama yake, ahakikishe akifika mezani anampa Linda ile sahani nyeupe" Norah alimsisitiza sana Doris msaidizi bila kumwambia kwanini ile sahani asimpe mtu mwingine, lakini ukweli ni kwamba chakula cha sahani hiyo kiliwekwa sumu. Basi Doris akachukua Trei la chakula na kupeleka chakula kwenye meza ya maharusi. Lakini alipoweka tu chakula mezani, mara akashangaa.....

JE NINI KILITOKEA CHA KUSHANGAZA? MPANGO WA NORAH UTAFANIKIWA AU LITAIBUKA LIPI???? LIKE YAKO NDIO ITAKUFANYA UONE SEHEMU IJAYO

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2788][emoji2788]

EP 15
Doris alipoikaribia meza ya maharusi alipatwa na kitu kama kiini macho, akashangaa pale alipokuwa amekaa Belinda anaona mama Belinda ndio amekaa na pale alipokuwa amekaa mama Linda anaona Linda ndio amekaa.

Ilibidi asimame kidogo na kuanza kujiuliza, "Hee inamaana hawa watu wamebadilisha viti au ni mimi naona vibaya" Alijiuliza Doris lakini ukweli ni kwamba watu walikuwa wamekaa vilevile kama walivyokuwa wamekaa awali. Akajikuta akienda kumpa mama Linda ile sahani nyeupe yenye sumu akijua anampa Linda, na nyingine mbili zilizobakia akimpatia Prosper na Linda. Akarudi jikoni.

"Umempa ile sahani nyeupe Belinda" Norah alimuuliza Doris. "Ndio na tayari wameshaanza kula. Doris Alijibu kwa ujasiri bila kujua tayari alishayakoroga mambo kiajabu ajabu bila kujua nini kilitokea mpaka akaona mawenye kama sio mazingaombwe. "Ok na nyie pakueni muendee kula" Norah aliwaambia wapishi huku akitoka nje na kwenda kuangalia kwenye jukwaa la maharusi nini kinachoendea.

Ile anatoka nje na kuangalia pale jukwaani, mara alishtuka "Oooh my goodness!" Alisema Norah kwa mshangao huku akirudi ndani alipo Doris baada ya kuona Doris amempa mama Belinda ile sahani nyeupe yenye yenye sumu. Alipofika ndani alimuuita Doris pembeni kusudi wapishi wengine wasisikie "We Doris nini umefanya lakini, nani kakuambia ile sahani nyeupe umpe mama kwanini hufuati maelekezo lakini!" Norah alimgombeza Doris.

"Lakini dada mbona nimempa Belinda" Alijibu Doris huku akilia, moyoni alihisi kuonewa. "Kwahiyo mama ndio amegeuka kuwa Belinda?" Norah alizidi kugomba sana. "Lakini dada kwani kuna shida gani mama yako akila hicho chakula cha sahani nyeupe mbona chakula ni kile kile tu" Doris alimuuliza Norah swali hilo lililoonekana kuwa gumu kama kumwambia mtoto wa chekechea atoe difiniton ya Low of achmedecy principle. Ilibidi tu amtulize Doris kwasababu alijua akiongea sana siri itabainika.

"Basi Doris usiwe shaka mdogo, mambo haya yaishie hapa hapa usimwambie mtu mwingine sawa!" Alisema Norah. "Sawa dada" Doris aliitikia lakini alihisi kitu ila akaacha mambo yaende tu hivyohivyo.

Basi haraka Norah akaenda pale kwenye jukwaa la harusi na kumuita mama yake nyuma ya jukwaa ambapo hapakuwa na mtu, "Mama tumekoroga mambo chakula ulichokula wewe kina sumu ambayo inaua taratibu kwa kuozesha viungo vya ndani moyo utaanza kufeli hatimaye figo yani ndani ya masaa 24 unakufa. Nimempa maelekezo Doris kuwa sahani nyeupe ampe Linda nashangaa kakupa wewe" Alisema Norah huku akihema sana. Mama Belinda alitokwa na macho ya mshangao huku kijasho cha woga kikiacha kumchemka akajikuta akitetemeka mno kwa woga.

"Kwahiyo sasa?" Aliuliza mama Linda huku machozi yakimlengalenga.

JE NINI KILIENDELEA SASA? IPI HATIMA YA MAMA LINDA? YAJAYO YANAFURAHISHa[emoji1787][emoji1787] UNAKOSAJE SASa

Unapolike hakikisha unacoment ili uweze kuona nyingine[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA ANAYETAFUTA MKE[emoji178][emoji178][emoji178][emoji519]🥱

EP 16 & 17

"Kwahiyo sasa?" Mama Belinda aliuliza huku akiweweseka kwa wasiwasi sana. "Mama hapa hakuna cha Kwahiyo, twende hospitalini vinginevyo nitakupoteza mama yangu. Walianza kuondoka kuelekea hospitali bila mtu mwingine kujua walipoenda.

[emoji519][emoji519][emoji519]
Bado Harusi ilikuwa inaendelea lakini mama wa bibi harusi na dada kipenzi wa bibi harusi walikuwa hawaonekani, walipoitwa madada wa bibi harusi watoe zawadi, Norah hakuonekana ile hali ndiye dada pekee wa Linda, hali hiyo ilimfanya bibi harusi atokwe na machozi na kuona kama dada yake amemsusia kwenye harusi yake. Hatimaye ikawa sasa ni zamu ya mama mzazi wa bibi harusi, ajabu naye hakuwepo hali hiyo ilimfanya Mc atoe tangazo kuwa kama kuna mtu mwenye namba zao awapigie simu.

[emoji24][emoji24][emoji24]
Haraka dada yake mama Belinda alizunguka nyuma ya jukwaa na kumpigia simu Norah, simu ya Norah iliita kisha ikapokelewa. "We Norah mpo wapi na mama yako yani mnahitajika harusini mtoe zawadi lakini hampo?" Aliuliza dada yake mama Linda. "Tupo hospitalini mama yupo hoi sana hajiwezi" Alisema Norah kwa sauti ya kilio na kukata simu yake. Dada yake mama Linda akabaki kinywa wazi bila kujua afanyeje, alienda moja kwa moja kwa Mc na kumnongoneza taarifa hizo mbaya alizozipata.

[emoji15][emoji15][emoji15]
MC, akaona atumie busara kidogo ili asije akamvuruga bi, harusi. "Jamani mama wa bibi harusi pamoja na dada wa bibi harusi wameenda kuandaa ukumbi ambapo usiku maharusi na ndugu zao watafanya party [emoji322] Kwahiyo hata huko wataweza kutoa zawadi." Alisema Mc kidogo moyo wa Linda ukatulia lakini Prosper akawa anajiuliza tu mwenyewe Party gani tena hiyo ya usiku ile hali haikuwepo kwenye ratiba. Anyway au labda mama kaamua kutufanyia Suprise" alisema Prosper, wakati huo yeye waliitwa wazazi wake wakatoka watu aliowaweka kwani yeye hana wazazi.

[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Hatimaye harusi ilimalizika salama. "Jamani kinachofuata sasa ni nini tunaelekea kwenye hiyo party au maana usiku umeshaingia" Aliuliza Prosper. Ndipo Mc akaona atumie muda huo kueleza ukweli. "Jamani mimi nilidanganya tu kusudi nisilete mvurugiko kwenye harusi ila ukweli ni kwamba mama Belinda yupo hoi hospitalini hajiwezi" Mc alipotamka tu maneno hayo Belinda akaanguka chini na kupoteza fahamu. Alikuwa anampenda sana mama yake, laiti angejua sio mama yake, na angejua kinachoendelea kwa kweli asingemhurumia hata kidogo.

Basi watu walimchukua Linda na kumpakiza kwenye gari huku Prosper naye akipanda kwenye gari hiyo na watu wengine wakaelekea hospitalini, kabla hawajafika Linda akazinduka na kuanza kulia sana, mshenga wake alimtuliza mpaka wakafika hospitalini.

Walipofika hospitalini waliingia ofisini kwa doctor na kuulizia hali ya mama Linda. Doctor aliongea maneno ambayo yaliwafanya wote waliokuwepo pale waduwae, yalikuwa ni maneno ya husuni sana na kuhofisha nafsi ya Prosper na Linda.

JE DOCTOR ALISEMAJE? IPI HATIMA YA MAMA LINDA? USIKOSE SEHEMU IJAYO HAKIKA UTASISIMKA SANA.


NILIVYOMPENDA MLINZI WA GETINI KWETU BILA KUJUA NI BILIONEA AMAYETAFUTA MKE🥱🥱🥱[emoji116]

EP 18
"Doctor mama anaendelea na kipi kimemsibu?" Prosper aliuliza. "Mmmh vipimo vinaonyesha kwamba mama amepewa chakula chenye sumu" Alisema Doctor watu wote wakashtuka ila Doris akashtuka kwa sauti "Haaaaaa" Norah alimtizama na kumkonyeza. "Mh kumbe kile chakula nilichopewa nikampe Belinda kilikuwa na sumu, sasa mbona anataka kumuua mdogo wake, Dah kweli Mungu acheni aitwe Mungu yani hata sijui nilichanganyikiwaje nikajikuta nampa mama yake hiki kile chakula, Mungu hakupanga Linda afe kifo chake kilikuwa hakijafika" Alijisemea Dorah Mwenyewe kimoyomoyo wakati huo Doctor alikuwa anaendelea kuongea.

"Sumu aliyowekewa kwenye chakula inaua taratibu kwa kuozesha viungo vya ndani, kumtibu inawezekana lakini tayari sumu hiyo ishakimbilia kwenye figo na kuharibu figo zote jambo ambalo linaweza kusababisha kifo endapo mgonjwa hatapata figo nyingine aidha kutoka kwa mwanandugu."Alisema Doctor Edward Wiliam na kuwafanya Prosper na Belinda washangae sana.

"Mh sasa itakuwaje? Kwani doctor kuna uwezekano wa mwanandugu kuchangia figo"aliuliza Prosper. "Ndio iwapo figo zako mbili zipo sawia basi utachangia kwasababu yeye zake zote zimefeli Kwahiyo utamchangia moja" Doctor Edward Wiliam alijibu.

"Basi Doctor mimi nipo tayari kumchangia mama mkwe wangu figo hata ikibidi sasa hivi" Alijibu Prosper huku machozi yakimbubujika. Alifanya hivyo kusudi kipenzi chake asikose raha. Hakutaka Belinda akose raha.

"Jamani sasa nani mbaya huyo aliyeweka sumu kwenye chakula?" aliuliza Belinda. "Jamani hayo tutajadiliana badae tuokoeni kwanza maisha ya mama" Alisema Norah kisha wakatoka nje wakamuacha Doctor na Prosper. Ebwanaee kuchangia figo sio jambo la kitoto arifu, mtu akikuchangia figo mshukuru mpaka kifo chako.

Zoezi lilifanyika nchini kenya ambapo doctor alimwandikia Rufaa mama Belinda, wakaondoka na Prosper kuelekea Kenya kwa ndege ili wawahi. Belinda Norah na watu wengine walirudi nyumbani.

Linda alikuwa na mawazo sana alikuwa akifikiria ni nani huyo aliyekosa aibu akampa sumu mama yake. "Dada Linda mbona una mawazo sana" Doris alimuuliza Linda. "Yani sijui ni jini gani huyo aliyetaka kumtanguliza mama yangu mbele za haki ila ningemjua walahi ni bora nisifike mbinguni" Alisema Linda huku akilia. "Dada mimi namjua" Doris alisema, Linda akashtuka. "Acha nikuambie" Kabla Doris hajaongea kitu Norah akatokea..

JE NINI KILIENDELEA SIRI INAELEKEA KUBAINIKA JE ITABAINIKA? Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91] MoTo nichekishie mziki huo weweeee
 
Ipo vizuri na inatoka funzo pande zote za maisha
Hakuna maisha rahisi
Hakuna Pesa inayopatikana kirahisi
Hakuna namna kupata vitu vya halali kwa waganga.
Wanaume tujihadhari sana nanununuzi wa ngono kila roho ina namna zake za kuishi hapa duniani
 
Hizi stori zinanikumbusha Ukusanyaji wa kondom wakati wa sherehe za mwenge.MKUU KUNA KITU UNAKIJUA KUHUSU SHAHAWA
 
Back
Top Bottom